Copa America 2021 Final: Argentina Vs Brazil

Copa America 2021 Final: Argentina Vs Brazil

Hello!!! Sikutaka kusema chochote, nilisubiria hadi mpira uishe,...

Nilikuwa naomba usiku na mchana ili tu Messi10 ashinde taji akiwa na timu yake ya Taifa...

Mungu si Athuman, amefanya kweli. Hata wasipompa Ballon D'or yake ya 7 kwangu ni sawa tu japo watakuwa wamepingana na Johan Cruyff ambbae aliwahi kusema "Probably he may win 5, 6 or 7 Ballon D'or"

All in all, Big up kwa Team Messi10 wote popote mlipo...

Ninafraha kubwa isiyokifanika....
Ahsante Ahsante Ahsante Mungu wa kweli kwa ushindi huu wa kihistoria kwa huyu "mchawi wa mpira kuwahi tokea ktk Dunia hii". Tuilikuwa tunasikitika, kufedheheka na kushangaa kila uchwao kwamba wewe [MUNGU] ndiyo uliyemleta mfalme huyu wa soka hapa Dunia kutoka Sayari nyingine..sasa iweje umunyime kombe na timu yake ya Taifa!!???.

Ahsante Mungu... Sasa ruksa kwa Mfalme huyu kustaafu Mpira muda wowote anaotaka kuanzia sasa, maana ameshashinda Kila taji katika burudani hii ya Soka hapa Duniani.

"I Rest My Case"....
Ballon anabeba bila ubishi kamanda
 
Hahaha yan mkuuu nimetaman kutuma Voice notee daah..furaha niliyo nayo basi tu yan Wamemsema sana huyu mwamba lkn Mungu mwema finally ni bingwa na taifa lake.
Vamooooooooooooooos[emoji238][emoji1033][emoji1033][emoji1033]

LaaaaaSeleccion 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻♥🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷♥️♥️♥
 
Hello!!! Sikutaka kusema chochote, nilisubiria hadi mpira uishe,...

Nilikuwa naomba usiku na mchana ili tu Messi10 ashinde taji akiwa na timu yake ya Taifa...

Mungu si Athuman, amefanya kweli. Hata wasipompa Ballon D'or yake ya 7 kwangu ni sawa tu japo watakuwa wamepingana na Johan Cruyff ambbae aliwahi kusema "Probably he may win 5, 6 or 7 Ballon D'or"

All in all, Big up kwa Team Messi10 wote popote mlipo...

Ninafraha kubwa isiyokifanika....
Ahsante Ahsante Ahsante Mungu wa kweli kwa ushindi huu wa kihistoria kwa huyu "mchawi wa mpira kuwahi tokea ktk Dunia hii". Tuilikuwa tunasikitika, kufedheheka na kushangaa kila uchwao kwamba wewe [MUNGU] ndiyo uliyemleta mfalme huyu wa soka hapa Dunia kutoka Sayari nyingine..sasa iweje umunyime kombe na timu yake ya Taifa!!???.

Ahsante Mungu... Sasa ruksa kwa Mfalme huyu kustaafu Mpira muda wowote anaotaka kuanzia sasa, maana ameshashinda Kila taji katika burudani hii ya Soka hapa Duniani.

"I Rest My Case"....
Mkuu wametusema sana yan sana..saiv sasa sijui watajificha kwenye kichaka gani maana hali yao tete sana..Messi alikua ana deserve kbs this trophy yan Mungu mkubwa.
Kuna Facts izi hapa chini..
Screenshot_20210711-060308.jpg
 
Hello!!! Sikutaka kusema chochote, nilisubiria hadi mpira uishe,...

Nilikuwa naomba usiku na mchana ili tu Messi10 ashinde taji akiwa na timu yake ya Taifa...

Mungu si Athuman, amefanya kweli. Hata wasipompa Ballon D'or yake ya 7 kwangu ni sawa tu japo watakuwa wamepingana na Johan Cruyff ambbae aliwahi kusema "Probably he may win 5, 6 or 7 Ballon D'or"

All in all, Big up kwa Team Messi10 wote popote mlipo...

Ninafraha kubwa isiyokifanika....
Ahsante Ahsante Ahsante Mungu wa kweli kwa ushindi huu wa kihistoria kwa huyu "mchawi wa mpira kuwahi tokea ktk Dunia hii". Tuilikuwa tunasikitika, kufedheheka na kushangaa kila uchwao kwamba wewe [MUNGU] ndiyo uliyemleta mfalme huyu wa soka hapa Dunia kutoka Sayari nyingine..sasa iweje umunyime kombe na timu yake ya Taifa!!???.

Ahsante Mungu... Sasa ruksa kwa Mfalme huyu kustaafu Mpira muda wowote anaotaka kuanzia sasa, maana ameshashinda Kila taji katika burudani hii ya Soka hapa Duniani.

"I Rest My Case"....
dj walete Team CR7 case yao imefunguliwa...
 
😂😂😂😂 ila Argentina wahuni sana wanapiga buti ile mbaya sasa ngoja waguswe wao utadhani wamepigwa risasi ya kichwa 🤣🤣🤣🤣 hii exaggeration ya kuumia inaharibu utamu wa game. Yaani hii mechi ya leo ukilinganisha na nusu fainali za EUROCUP kuna tofauti kubwa sana.
BAK pole sana kamanda wangu
 
😂😂😂😂 ila Argentina wahuni sana wanapiga buti ile mbaya sasa ngoja waguswe wao utadhani wamepigwa risasi ya kichwa 🤣🤣🤣🤣 hii exaggeration ya kuumia inaharibu utamu wa game. Yaani hii mechi ya leo ukilinganisha na nusu fainali za EUROCUP kuna tofauti kubwa sana.

Hahaa Mkuu, hii game ilikua na rafu nyingi....lakini kuna baadhi ya wachezaji kama watatu wa brazil walistahili red card ila basi tu refa aliamua kunyuti 🤣🤣🤣

Casemiro
Richarlisson,
Fred na
Paqueta


Pia ni kawaida ya hawa watani wa jadi wakikutana ni rafu tupu
 
Hahahahaha Waargentina wangapi walistahili red card!? Nilimuonea huruma sana Neymar alipoanza kulia kama mtoto. Ana mapenzi makubwa sana na nchi yake.

Hahaa Mkuu, hii game ilikua na rafu nyingi....lakini kuna baadhi ya wachezaji kama watatu wa brazil walistahili red card ila basi tu refa aliamua kunyuti 🤣🤣🤣

Casemiro
Richarlisson,
Fred na
Paqueta


Pia ni kawaida ya hawa watani wa jadi wakikutana ni rafu tupu
 
Natumai England na Italy itakuwa bonge la game na si ajabu extra time na penalties. Italy wanajituma sana hivyo wana nafasi nzuri ila nataka Kombe libaki kwa Mama.

Copa America hainaga amsha amsha
 
aibu Yao sahiv Mkuu!!! Sisi ni mwendo wa kutamba 2... Oiiiiiiiiiiiii
Hahah yan sijui watajificha wap...asee huyu kijana kwnz leo kocha wake ndo anasema amecheza game ya Colombia na hii ya Brazil akiwa na matatz ya hamstring..yan jamaa alikua yulo very desperate ashinde ubingwa na Mungu si Athuman ndoto imetimia
# [emoji1033][emoji238][emoji238]
 
Back
Top Bottom