Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Kabisa mzee maana wametusema sana..lkn pa1 na yote wanajificha tu kwenye kichaka cha international trophy lkn deep down The man is the #G.O.A.T na wengi wanalijua ilo ni the most complete player in each aspect of football...ni vile tu huu ubish wa international trophy ni kichaka cha watu kubishana kwenye media kupata cha kusema lkn Stats zinaongea vzr tu na numbers don't lie..Tusbr mda utaongea leo.Dua zote kwa Argentina mkuu, Walau Team Messi tupate cha kuzungumza
Jamani hivi kwa wenye Dstv kuna chaneli gani ya kawaida naweza ona hii mechi ukiondoa zile za package ya juu??
Hii mechi ni leo Jumamosi au kesho Jumapili July 11?
Mbona hesgoal Hamna au site nyingine mkuuTustream tuu mkuu
Hesgoal.com game inawekwa robo saa kabla ya kuanzaMbona hesgoal Hamna au site nyingine mkuu
Mechi yenyewe ni sa ngap inawezekana nimechanganya mafailiHesgoal.com game inawekwa robo saa kabla ya kuanza
Umemaliza kila kituKabisa mzee maana wametusema sana..lkn pa1 na yote wanajificha tu kwenye kichaka cha international trophy lkn deep down The man is the #G.O.A.T na wengi wanalijua ilo ni the most complete player in each aspect of football...ni vile tu huu ubish wa international trophy ni kichaka cha watu kubishana kwenye media kupata cha kusema lkn Stats zinaongea vzr tu na numbers don't lie..Tusbr mda utaongea leo.
#Vamooooooos[emoji1033]
Soma mwanzo wa uzi huuMechi yenyewe ni sa ngap inawezekana nimechanganya mafaili
Neymar alivopania hii game..anaongea sana lkn uwa ni mtu rahis sana kutoka mchezoni akiwa frustrated na uwa haijawah kuisha vzr ukiongea sana game izi unapokutana na Messi.
Wakuu mwenye link naomba
Mkuu tenga muda uwe unasoma uzi, kila kitu kimeandikwa mbonaMweny link atupie
Ili uwe complete player unatakiwa kuwa na nini?Kabisa mzee maana wametusema sana..lkn pa1 na yote wanajificha tu kwenye kichaka cha international trophy lkn deep down The man is the #G.O.A.T na wengi wanalijua ilo ni the most complete player in each aspect of football...ni vile tu huu ubish wa international trophy ni kichaka cha watu kubishana kwenye media kupata cha kusema lkn Stats zinaongea vzr tu na numbers don't lie..Tusbr mda utaongea leo.
#Vamooooooos[emoji1033]