Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Unamuogopa Neymar, maneno yako yanajielezaNeymar alivopania hii game..anaongea sana lkn uwa ni mtu rahis sana kutoka mchezoni akiwa frustrated na uwa haijawah kuisha vzr ukiongea sana game izi unapokutana na Messi.
Mechi rasmi ni saa tisa lakini vile vikorombwezo vya football analysts ndiyo vinaanza saa nane usiku, mimi huwa sipendi kuvikosa ni kama appetizer kabla ya full course. 😜
Kamanda, natamani sana Argentina watwae...lakini kwa baadhi ya mechi nilizofatilia hapo nyuma napata wasiwasi kidogo... brazil ya mwaka huu iko vizuri.
Dua zote kwa Argentina mkuu, Walau Team Messi tupate cha kuzungumza
Jumatatu
Kuna taarifa nimeikuta insta, kuna mashabiki wa brazil wanaishabikia Argentina...mkuu, umeiona?