Copa America 2024 in USA

Yaani Wafaransa bado mnaumizwa na Argentina? Kwani aliyewatoa akina Mbappe kule Euro ni Argentina na Spain tena? 😆🤣. Siko mbali na mada.
Mkuu mbona wafaransa hawashiriki copa America 😊😊 copa America yupo Colombia na ndio ninampa nafasi kubwa ya kuwa bingwa, kuna ubaya?
 
Leo Mshindi wa tatu nani anashinda Wadau?
 
Wakuu,samahani,Dstv wanarusha hii final?..na kama wanarusha ni channel namba ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…