BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Duh!hii banana kick ya khatari sana.
Utakuja kushangaa messi anachezeshwa kama first line midfielder line moja na Macherano ila bado anakua ndo kiungo wa kutengeneza mashunbulizi ya Argentine1 S. Romero
4 G. Mercado
8 A. Fernández
9 G. Higuaín
10 L. Messi
13 Ramiro Funes Mori
14 J. Mascherano
16 M. Rojo
17 N. Otamendi
19 É. Banega
22 E. Lavezzi
Alivyokua anafunga viatu vyake kamba nkahisi kuna jambo......Kwenye hii dunia kama humpendi Messi ishi chini ya ardhi ,Messi very balanced player ana assist,anapiga free kick vizuri ,anapiga dribbling accuracy ya nguvu,anashambulia very aggressively,ana motivate team yake ,anabeba mzigo wa team ,ukimuambia a defence ana defend ,anapiga penetrating pass sijaona ,anakusanya msitu wa mabeki etc
Mimi ni fan wake mkubwa sana ,huwa namfuatilia sana kuna mtu naangalia nae hapa match nilimuambia lile ni goal tayariAlivyokua anafunga viatu vyake kamba nkahisi kuna jambo......
Bonge la faulo.......kamba!!!
Kuna hatari ya USA kula tano leoMimi ni fan wake mkubwa sana ,huwa namfuatilia sana kuna mtu naangalia nae hapa match nilimuambia lile ni goal tayari
Mwaka huu Messi ndo mchezaji hatari sana anayefunga kwa free kick pia
Yeah hadi 6 si unajua match kama hii mwishoni unakata tamaa kabisaKuna hatari ya USA kula tano leo
Simuoni Di maria leoYeah hadi 6 si unajua match kama hii mwishoni unakata tamaa kabisa
sio pengo sana, watu wanaongoza 3-0Simuoni Di maria leo
4 bilasio pengo sana, watu wanaongoza 3-0
Hivi fikiria Messi angekua selfish haya magoli yote wanapewa assist akina Higuin ingekuwaje?Wachezaji aina ya Messi huzaliwa mara moja sana baada ya miaka kadhaa!!
Leo Messi katika katika ubora uliotukuka.
This is what called "unselfish play"Hivi fikiria Messi angekua selfish haya magoli yote wanapewa assist akina Higuin ingekuwaje?