Copa America: Habari matukio na video za mechi na yote yaliyojiri utayapata hapa

😀😀Congrats Albiceleste,thank u very much The King, Higuain and Lavezzi kwa kuwashikisha adabu US Babies..

The King Dunia nyingine Asee!!, MESSI Haters mtajinyonga one day kwa wivu asee. Messi Yuko on fire guyZ jamanii, na kombe linatuhusu
 
Wakuu jana nilipotea ghagla tu wakati wa mechi yetu, kati ya Argentina na USA,,kwani Internet ilikata, lkn hata hivyo hakijaharibika kitu waleta results wapo wengi tu,PNC,GUASSA AMBONI,MUSSOLIN5,MWEKUNDU,MCUBIC na wengineo wengi tu ambao sijawataja asanteni sana Mungu awabariki
 
Ngapi ngapi mpaka sasa wakuu??

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…