Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Upo sahihi ila baada ya hapo akikaa sawa hatokaa awe katika hali hiyo tena.Jipe muda
Mwaka mmoja kwa mtu uliyempenda kweli bado ni muda mchache
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi ila baada ya hapo akikaa sawa hatokaa awe katika hali hiyo tena.Jipe muda
Mwaka mmoja kwa mtu uliyempenda kweli bado ni muda mchache
I have been using this method for years, imenisaidia sana kutokuwa crazy with breakups. My first breakup hit me very badly to an extent i never expected.Tafuta mtu mdogo kiumri wa yule mliyeachana, furahia purukushani za penzi jipya, utamsahau automatically tu!
Hii ni njia ya muda mfupi ya kudeal na maumivu 🩹, ila ni effective 🫠🙃
Hayupo pekeyake. Trust me, ukiwaza kuwa kulikuwa na mtu anambato kipindi mko pamoja that must be a strong reason to move on.Ndiyo Bado nampenda ,.. ila naogopa namwogopa , nayahofia matendo ..
Hajabadilika..
She was earning more than me at that time , I know you know namaanisha Nini na mwanamke wa kisasa akiwa hivyo anakuwa na tabia Gani.
vtoto vya 2000 navijua Bora upate mshangazi tuuuh Hana mambo mengiTafuta mtu mdogo kiumri wa yule mliyeachana, furahia purukushani za penzi jipya, utamsahau automatically tu!
Hii ni njia ya muda mfupi ya kudeal na maumivu 🩹, ila ni effective 🫠🙃
Hii njia sio nzuri kwa mtu aliependa kama jamaa.I have been using this method for years, imenisaidia sana kutokuwa crazy with breakups. My first breakup hit me very badly to an extent i never expected.
Kuanzia next relationship, nimekuwa mtu wa kujiengua mapema zikianza redflags and im never feeling hurted. Yani kama kafa paka vile hamna msiba wala matanga. On to the next one really fast.
Njia pekee ya kumsahau X ni kukumbuka mabaya aliokutendea na zile dharau.Hii njia sio nzuri kwa mtu aliependa kama jamaa.
Wewe uliumizwa ukaheal baada ya hapo ndio ukaanza huo mchezo wa kuacha ukiona redflag.
Walio na hali za mleta uzi wengi hupenda kucompete na maex zao, yaani moyo wake bado upo kwa ex wake, hata akiwa na mahusiano mapya kesho ex wake akimhitaji ni chap kwa anaenda.
Huyu apone na amsahau na ajiapize hamrudii ndio aanze upya ila hiyo unampenda huyu na uko na huyu, ni kucheza makidamakida na mioyo ya watu upigww bisu bure.
Sasa unapoanza mahusiano mapya si dopamine inazalishwa upya kwa wingi. Huna ujanja uta relax tu na kumsahau mshenzi aliyepita.Kuingia kwenye mahusiano mapya kwa mategemeo ya kusahau maumivu ni njia mbovu, usijaribu.
Sijui ila naonaga haiwork out hiyo kitu, labda wewe uwe ndo ulimuacha ila kama uliachwa na ukawa unastruggle kurudi sio rahisi.Sasa unapoanza mahusiano mapya si dopamine inazalishwa upya kwa wingi. Huna ujanja uta relax tu na kumsahau mshenzi aliyepita.
Una struggle vipi kurudi kwa mtu ambaye hakutaki?Sijui ila naonaga haiwork out hiyo kitu, labda wewe uwe ndo ulimuacha ila kama uliachwa na ukawa unastruggle kurudi sio rahisi.
Ndio hali inayowakuta wengi wanaoshindwa kumove on kwa kudhani wawapendao watabadili mawazo au tabia na warudiane.Una struggle vipi kurudi kwa mtu ambaye hakutaki?
Aisee sasa nyie wanaune mnawafuatia nini haoo wanawake wenye madegree wakati wee huna mihela bwana? Njoo tuoe hawa warembo wa form 4bNdiyo Bado nampenda ,.. ila naogopa namwogopa , nayahofia matendo ..
Hajabadilika..
She was earning more than me at that time , I know you know namaanisha Nini na mwanamke wa kisasa akiwa hivyo anakuwa na tabia Gani.
Pole mkuu. Ngoja waje wenye breaks zao
Uwe unamkula mara moja moja akiwa huko huko mpk utakapo move onNdiyo Bado nampenda ,.. ila naogopa namwogopa , nayahofia matendo ..
Hajabadilika..
She was earning more than me at that time , I know you know namaanisha Nini na mwanamke wa kisasa akiwa hivyo anakuwa na tabia Gani.