Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,503
Akina Stephen Kalonzo Msyoka wanajua wazi kua wameshatanguliza pua sasa wanataka kuwachanganya wakenya. Walianza kulalamikia Teknologia tume ikaamua kutumia mikono kuhesabu kura. Kama kura zingekua zinaibiwa nadhani Kibaki angahakikisha anachakachua za Mwakilishi wa Othaya aliyemfukuza kwenye msafara wake na akashiliki kumnadi mpinzani wake.
Mkuu, Kuitisha press conference kutoa dukuduku lako huwezi kulinganisha na "has reportedly".
Is it true that apart from the Kenyans understood of International Issues they can opt to vote for Uhuru Kenyatta as their favourite in the Presidential post while knowing that he is facing International criminal charges in the Hague?.Let we think twice when discussing 04/03 Kenya Polling results.
lakini wana hoja maana haiwezekani mtu kituo umepiga kura wewe na familia yako lakini matokeo ni zero, ina maan hata wewe mwenyewe hujajipigia?
we unashangaa! Inawezekana kweli, mtu hajajipigia, wewe unafikiri, matatizo yetu Waafrika madogo basi!
Hebu angalia na hapa ........
Hapo vipi ??? '...reportedly....' !!???
Kenyatta leading in Kenya elections: Early poll results
Zeenews Bureau
Nairobi:
Early poll results in the presidential elections have indicated that Deputy Prime Minister Uhuru Kenyatta is reportedly leading over Prime minister Raila Odinga.
Kenyatta is leading with 53 per cent of vote while Odinga has managed to secure 42 per cent votes on the basis of results from 40 per cent of polling stations, as per BBC report.
Source: Kenyatta leading in Kenya elections: Early poll results
Ina maana umesahau au umechanganyikiwa?
Sasa kumbe unacholalamika ni nini wakati unafahamu maana ya neno REPORTEDLY.
Kwa kukusaidia zaidi, hili neno linatumika kwenye habari ambayo haijakuwa official, kwa maana nyingine muhusika hajaiweka kwenye public domain officially.
Sentensi imetumika hapo kwa sababu idadi ya kura bado haijatolewa na chombo kinachoshughulika na usimamizi wa uchaguzi.
Kwa ujanja wao wameanza kuchimba mahandaki kujificha na aibu kwa visingizio ambavyo wameviona baada ya kugundua kama ofisi ya na kiti cha Rais hawatakalia.
Maneno kama "We'll respect the vote results" kwa sasa kwao ni msamiati.
Mara ya kwanza walisema tatizo ni safaricom kudoctor the results. Sasa katika hii manula work wanamlaumu nani?
HAIAMINIKI. Itaaminikaje kwa watu wenye fikra na mawazo pevu wakati haijawa official. Ndiyo maana nikasema unapoona wanasiasa wa Africa wanaanza kuitisha press conference kulalamikia kura, historia inaonyesha kuwa lazima watakuwa na wasiwasi wa kushindwa katika uchaguzi.Kwa maana hiyo habari ambayo ni '...reportedly...' inaaminika au haiaminiki ??
Kama inaaminika, basi tunaamini kuwa Uhuru Kenyatta anaongoza uchaguzi wa Kenya, na pia Uhuru Kenyatta amelalamikia ubalozi wa Uingereza kwa kuingilia maswala ya uchaguzi Kenya !!
HAIAMINIKI. Itaaminikaje kwa watu wenye fikra na mawazo pevu wakati haijawa official. Ndiyo maana nikasema unapoona wanasiasa wa Africa wanaanza kuitisha press conference kulalamikia kura, historia inaonyesha kuwa lazima watakuwa na wasiwasi wa kushindwa katika uchaguzi.
Tume ya uchaguzi ndiyo yenye mamlaka ya kutoa officially matokeo ya uchaguzi.
Kinana yuko nairobi... lolote lawezekana CCM wanapokua mahali
EA observers vow to be fair in Kenyan elections
BY THE GUARDIAN REPORTER
4th March 2013
Abdulrahman Kinana
The leader of the EAC Election Observer Mission, Abdulrahman Kinana, has contended that the joint Mission will give Kenyans an opportunity to freely choose leaders of their choice.
Kinana made the remark when leaders of the East African Community (EAC)-Common Market for Eastern and Southern Africa (Comesa)-Inter-Governmental Authority in Development (IGAD) Election Observer Missions of Kenya General Elections held today paid an official visit to the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) offices in Nairobi, Kenya.
He also assured Kenyans that the team of observers will promote transparency and reinforce integrity and legitimacy of the election process.
Yaani baada ya kura kuanza kuhesabiwa ndiyo wanakuwa hawana imani na tume ya uchaguzi. Typical African politicianMakamu wa Raisi na Waziri mkuu wanalalamika kua hawana imani na tume ya uchaguzi. Kwa kitendo walichofanya cha kukataa matokeo kabla hayajahesabiwa nadhani round two ikiwepo wakenya wengi watawanyima kura.
Tena basi serikali za nchi za Africa. Makubwa haya.Halafu mkuu wa Serikali atalalamikiaje kuibiwa kura na serikali anayoinognoza?
Akiongea na waandishi wa habari mgombea mwenza wa urais wa muungano wa CORD nchini Kenya Kalonzo Musyoka amedai kuwa wanaoushaidi kuwa wameibiwa kura.Kalonzo ambaye alikuwa makamo wa pili wa rais ktk serIkal iliyomaliza muda wake .
CHANZO: DW