Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 896
utawaweza hawa? tatizo mimi nachojua, akishindwa ODINGA wameshindwa CHADEMA, lakini tunashukuru tz sasa hivi kimya hakuna maandamano, M4C imehamia Kenya
SIRI KUBWA YAFICHUKA KUHUSU UCHAKACHUAJI WA MATOKEO YA KURA KATIKA UCHAGUZI MKUU 2013 NCHINI KENYA NA KUSABABISHA MIKUTANO KIBAO KUTAFUTA KUOKOA HALI KUSITOKEE MACHAFUKOSiri kubwa yabainika nchini Kenya muda si mrefu kuhusu utitiri wa matokeo kutoka mashinani na jinsi gani yalivyokua yakichakachuliwa na Injinia wa kampuni ya Simu Safaricom kabla ya kukabidhi matokeo hayo kwa tume ya uchaguzi na vyombo vya habari nchini humo.
Safaricom ni kampuni ya simu iliojitolea kusaidia tume ya uchaguzi kutoka mashinani na kutarajiwa kuzikabidhi kwa wahusika bila ya kuvurugwa kwa namna yoyote ile lakini uhalisia wa mambo haukua hivo.
Hali hiyo ilionekana kumkera sana meneja mkuu wa kampuni hiyo ya simu mara baada ya kubaini kwamba hadi hivi sasa sehemu kubwa ya matokeo yanayorushwa hewani kamwe hayafanani na yale yaliopokelewa na kampuni yake tangu awali kiasi cha kumfanya kuchapisha katika rundo la makaratasi 'matokeo halisi' anayodai kuwa ni tofauti kabisa na yale yanayoendelea kuzungushwa kote katika vyombo vya habari nchini humo.
Kwa msingi wa hali hiyo ya sintofahamu katika uchaguzi wa Kenya kuna madai kwamba kuna misururu ya mikutano inayoendelea hadi hivi sasa nyuma ya pazia kutafuta namna gani ya kudhibiti taarifa hizi zisiwafikie wananchi wa nchi hiyo kwa ujumla wao na pengine kusababisha hasira na michafuko.
Ni hayo tu kwa sasa.
SIRI KUBWA YAFICHUKA KUHUSU UCHAKACHUAJI WA MATOKEO YA KURA KATIKA UCHAGUZI MKUU 2013 NCHINI KENYA NA KUSABABISHA MIKUTANO KIBAO KUTAFUTA KUOKOA HALI KUSITOKEE MACHAFUKOSiri kubwa yabainika nchini Kenya muda si mrefu kuhusu utitiri wa matokeo kutoka mashinani na jinsi gani yalivyokua yakichakachuliwa na Injinia wa kampuni ya Simu Safaricom kabla ya kukabidhi matokeo hayo kwa tume ya uchaguzi na vyombo vya habari nchini humo.
Safaricom ni kampuni ya simu iliojitolea kusaidia tume ya uchaguzi kutoka mashinani na kutarajiwa kuzikabidhi kwa wahusika bila ya kuvurugwa kwa namna yoyote ile lakini uhalisia wa mambo haukua hivo.
Hali hiyo ilionekana kumkera sana meneja mkuu wa kampuni hiyo ya simu mara baada ya kubaini kwamba hadi hivi sasa sehemu kubwa ya matokeo yanayorushwa hewani kamwe hayafanani na yale yaliopokelewa na kampuni yake tangu awali kiasi cha kumfanya kuchapisha katika rundo la makaratasi 'matokeo halisi' anayodai kuwa ni tofauti kabisa na yale yanayoendelea kuzungushwa kote katika vyombo vya habari nchini humo.
Kwa msingi wa hali hiyo ya sintofahamu katika uchaguzi wa Kenya kuna madai kwamba kuna misururu ya mikutano inayoendelea hadi hivi sasa nyuma ya pazia kutafuta namna gani ya kudhibiti taarifa hizi zisiwafikie wananchi wa nchi hiyo kwa ujumla wao na pengine kusababisha hasira na michafuko.
Ni hayo tu kwa sasa.
hahhahahahahahahahahahhaha mkuu hujasikia Mnyika anasema kamiss maandamano so analianzisha soon mpaka kwa waziri wa maji.
Mind you, this is a cream piece of information only shared with JF members.
Kumbe kama Bongo tu.......
kuna bundi yuko huko, kinana!!
utawaweza hawa? tatizo mimi nachojua, akishindwa ODINGA wameshindwa CHADEMA, lakini tunashukuru tz sasa hivi kimya hakuna maandamano, M4C imehamia Kenya
kinana anahusikaje? Wakati yeye ni mwenyekiti msamimizi wa eac
magufuli kahamia kambi ya chadema?utawaweza hawa? tatizo mimi nachojua, akishindwa ODINGA wameshindwa CHADEMA, lakini tunashukuru tz sasa hivi kimya hakuna maandamano, M4C imehamia Kenya
kinana anahusikaje? Wakati yeye ni mwenyekiti msamimizi wa eac
SIRI KUBWA YAFICHUKA KUHUSU UCHAKACHUAJI WA MATOKEO YA KURA KATIKA UCHAGUZI MKUU 2013 NCHINI KENYA NA KUSABABISHA MIKUTANO KIBAO KUTAFUTA KUOKOA HALI KUSITOKEE MACHAFUKOSiri kubwa yabainika nchini Kenya muda si mrefu kuhusu utitiri wa matokeo kutoka mashinani na jinsi gani yalivyokua yakichakachuliwa na Injinia wa kampuni ya Simu Safaricom kabla ya kukabidhi matokeo hayo kwa tume ya uchaguzi na vyombo vya habari nchini humo.
Safaricom ni kampuni ya simu iliojitolea kusaidia tume ya uchaguzi kutoka mashinani na kutarajiwa kuzikabidhi kwa wahusika bila ya kuvurugwa kwa namna yoyote ile lakini uhalisia wa mambo haukua hivo.
Hali hiyo ilionekana kumkera sana meneja mkuu wa kampuni hiyo ya simu mara baada ya kubaini kwamba hadi hivi sasa sehemu kubwa ya matokeo yanayorushwa hewani kamwe hayafanani na yale yaliopokelewa na kampuni yake tangu awali kiasi cha kumfanya kuchapisha katika rundo la makaratasi 'matokeo halisi' anayodai kuwa ni tofauti kabisa na yale yanayoendelea kuzungushwa kote katika vyombo vya habari nchini humo.
Kwa msingi wa hali hiyo ya sintofahamu katika uchaguzi wa Kenya kuna madai kwamba kuna misururu ya mikutano inayoendelea hadi hivi sasa nyuma ya pazia kutafuta namna gani ya kudhibiti taarifa hizi zisiwafikie wananchi wa nchi hiyo kwa ujumla wao na pengine kusababisha hasira na michafuko.
Ni hayo tu kwa sasa.
magufuli kahamia kambi ya chadema?