Kanda ya Africa mashariki ndiyo pasua kichwa zaidi. Geukia kwa Mseveni ni balaa, itazame Tanzania haisemeki, Kenya ndiyo balaa tupu. Bora hata ya Kagame aliyeamua kufanya udikteta wa wazi tu kuliko hawa wa Tanzania, Kenya na Uganda wanaopretend kulinda democrasia na huku wanaiba kura.Viongozi wa Afrika ndivyo walivyo!!! siku zote lazima wahakikishe wanapindisha chaguzi.
Ya kweli haya umeandika? Naona unaongozwa na hisia zaidi mkuu wangu.Mkuu mambo mengine hayahitaji kuwa degree ndo uweze kuyaelewa. Jiulize swali jepesi tu kwa nini matokeo yote yanayotangazwa kwa ujumla wake yanatoka kwenye ngome ya Uhuru? Kwa nini wasitangaze matokeo kutoka kwenye ngome za Odinga?
who told u that!!its only you who have not learnt,,,,get a life,kENYANS are matureAkishinda Uhuru it is against common sense and logic but with Kenyans you never know
Kama haya yana ukweli, basi Kibaki atakuwa amejichafua mwenyewe. Alikuwa awe neutral aache nchi kwa amani na yeye akaishi kwa amani baada ya kuachia madaraka. Sasa kama ataacha migogoro nyuma, kwa hakika atakuwa amejiharibia sana.
Mfa maji haishi kutapatapa, hizi ni kauli za mshindwaji. Ni mbaazi akikosa maua. Hii inatokana na hoja tu ya kwamba, kwenye server kama ma engineer wamebadili data huyo mkurugenzi kazitowa wapi data halisi na kuzichapa kwa hard copy.
Mkuu mambo mengine hayahitaji kuwa degree ndo uweze kuyaelewa. Jiulize swali jepesi tu kwa nini matokeo yote yanayotangazwa kwa ujumla wake yanatoka kwenye ngome ya Uhuru? Kwa nini wasitangaze matokeo kutoka kwenye ngome za Odinga?
Two People have been arrested in regard to Hacking of IEBC
Sources indicate that the I.E.B.C realized that their system had been hacked into. The programmer was given instruction to input a permanent difference between UHURU and RAILA with more than 400,000 votes.
It had been realized that it could not be changed under any circumstances (after being programmed), unless they posted the data a fresh. 2 guys have been arrested, while 2 others are on the run.
There is a lot of scrutiny at BOMAS and people are on high alert. Any form of inaccurate tally is put aside and INDIVIDUALS involved personally HELD RESPONSIBLE
Having detected this at around 3pm yesterday, the Commission had no option but to fully go manual. It would have been worse had it not been detected.
The figures are already changing. Poll results the main TVs are showing is old data.
Tupe source mkuu, hizi story za namna hii kila anayeshindwa anaweza kuzitengeneza ili kupata huruma ya jamii.
Please, kwa maslahi ya wakenya na kwa ustawi wa wakenya acheni kueneza uvumi wa aina hii, ambao utasababisha hasira zisizo za lazima na kupelekea kuuana kama kwa mwaka 2007.
Tafadhari kama hakuna reliable source, tusiendelee kuweka kwenye mitandao habari hizi.
KUFICHULIWA KWA SIRI KUBWA ZA UCHAKACHUAJI WA MATOKEO YA
UCHAGUZI MKUU NCHINI KENYA YASABABISHA MATOKEO YOTE
YA URAIS KUSITISHWA MARA MOJA KUTANGAZWA
Matangazo ya kura za urais nchini Kenya zasitishwa ghaflla mpaka hapo kesho tangu KUFUJA KWA UCHAKACHUAJI MKUBWA wa matokeo na Injinia asiye mwaminifu pale makao makuu ya kampuni ya simu nchini humo SafariCom.
Kila mahali hadi hivi sasa ni watu kuchanganyikiwa hasa katika kundi lililokua likipendelewa na hayo matokeo ya kuchonga. Pamoja na yote, watu wengi wameonyesha kushangazwa sana na matamshi ya Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Kinana, kule kukimbilia kwake kuhimiza vyama vikubali matokeo ilhali akifahamu kashfa hii nzito tayari imesababisha tume kushitisha matangazo zaidi ya matokeo.
Sote tuendelee kuwaombea majirani zetu kamwe wasisukumwe tena kwenye vitendo vya umwagaji damu kwani Mwenyekiti wa Tume ameweka wazi kwamba kamwe hatoendelea tena kuyatumea matokeo toka SafariCom.
Naam, kwa taarifa zaidi hatua hiyo ya tume imeelezewa kufikiwa kufuatia kwa kujulishwa kwao kutokea kuchezewa kwa kiasi kikubwa hivyo kaahidi kutangaza matokeo rasmi hapo kesho moja kwa moja toka kwenye makaratasi toka mashinani.
CHAIN OF CRISIS MEETINGS AFTER SAFARICOM ENGINEER 'DOCTORING'
2013 ELECTION RESULTS IS EXPOSED AT LAST
The whole SECRET IS OUT with regard to a THORN IN DOCTORING eletoral results in Kenya's 2013 Elections.
The SafariCom Chief Executive Director has released a MOST DAMNING SECRET on how one of his company's Engineers had been busy changing the election results send to the electoral body via SafariCom.
The Engineer who has been maliciously busy changing grassroots election results in favour of 'one of our own' had lately sparked suspicion and skepticism in his boss and the entire unsuspecting public following his deliberate move to re-programme a gap between the leading lights in that country's political scene as well as the pace at which he divulges the altered statistics to the National Panel at the Bomas of Kenya.
If it were not Safaricom top leadership's ethical wish to see the results from the grassroots reach Bomas of Kenya without any re-engineering, perhaps another lase of countrywide disharmony would have exploded t this displeasure.
The CEO is reported raised 'very serious concerns' on on the fact that provisional election results are grossly different from what his company has so far received from various grassroot poll centres in the country.
To this end, many surprises are on the way yet to be witnessed. Mind you, this is a cream piece of information only shared with JF members.
Two People have been arrested in regard to Hacking of IEBC
Sources indicate that the I.E.B.C realized that their system had been hacked into. The programmer was given instruction to input a permanent difference between UHURU and RAILA with more than 400,000 votes.
It had been realized that it could not be changed under any circumstances (after being programmed), unless they posted the data a fresh. 2 guys have been arrested, while 2 others are on the run.
There is a lot of scrutiny at BOMAS and people are on high alert. Any form of inaccurate tally is put aside and INDIVIDUALS involved personally HELD RESPONSIBLE
Having detected this at around 3pm yesterday, the Commission had no option but to fully go manual. It would have been worse had it not been detected.
The figures are already changing. Poll results the main TVs are showing is old data.
Haaah, haaaaah, mwaga sera reporter wetu. Kwa hiyo habari hazijawafikia wananchi?ni wananchi wa makaburini au hawahawa walio hai
Tupe source mkuu, hizi story za namna hii kila anayeshindwa anaweza kuzitengeneza ili kupata huruma ya jamii.
Please, kwa maslahi ya wakenya na kwa ustawi wa wakenya acheni kueneza uvumi wa aina hii, ambao utasababisha hasira zisizo za lazima na kupelekea kuuana kama kwa mwaka 2007.
Tafadhari kama hakuna reliable source, tusiendelee kuweka kwenye mitandao habari hizi.
Mkuu LUKOLO,
Ni kweli kabisa maana JamiiForums yetu ni ya viwango na hivyo ''Vyanzo/source'' ya habari inatokea wapi ni muhimu.
Maana mitandao ya kijamii Kenya mingi wakati huu wa uchanguzi wa 2013 Kenya imefungiwa kwa kukosa viwango vyetu vya JamiiForums ya Tanzania.
Hivyo inawezekana jamaa zetu waKenya wamekosa mahali pa kupandikiza taarifa zisizo sahii kupitia JamiiForums.
Uwezo Tunao, hutoshi kuwa source, vinginevyo utuambie kwamba wewe ni mfanyakazi wa safari com au ni mmoja kati ya wajumbe wa tume ya uchaguzi. Sawa inawezekana kumetokea matatizo katika mtandao na kusababisha matokeo kuchelewa, lakini huu uvumi usienezwe ilihali hakuna uthibitisho. Mtasababisha maafa, hebu wahurumieni wanawake, wazee na watoto watakaopoteza maisha bila hatia.
Mfa maji haishi kutapatapa, hizi ni kauli za mshindwaji. Ni mbaazi akikosa maua. Hii inatokana na hoja tu ya kwamba, kwenye server kama ma engineer wamebadili data huyo mkurugenzi kazitowa wapi data halisi na kuzichapa kwa hard copy.
Source????
Hii mahali pake ni kwenye jukwaa la Shigongo until proven otherwise......
Kwa wafuatiliaji wa uchaguzi wa 2007 huyu Raila ndiye wa Kwanza kuwaruhusu wafuasi wake waingie mitaani. Leo hii ameanza tena, wafuasi wake wameanza chokochoko mapema kuweka mabandiko kwenye mitandao ya kijamii wakiwaandaa wafuasi kisaikolojia kuwa wanaweza kuonewa. YETU MACHO ILA DUNIA ITAMJUA SOON.
Mkuu uwezo tunao, si kwamba sikukuamini ila nilitamani taarifa yako ijitosheleze. Ni vema unapotoa taarifa, ukasema wewe upo eneo la tukio, au umeambiwa na waliopo kwenye tukio, au ni mhusika wa karibu katika hilo tukio. lakini hizi habari za kusema mimi ni source bila maelezo hazitoshi kukuamini kwa kuwa wengi tu wanaweza kupika story na kusema ni za kweli wakati hazipo kabisa.Taarifa hii nilipoileta hapa jana, dakika 10 tu mara baada ya kupatikana nyuma ya pazia na nikaziita humu kama 'CREAM INFORMATION kwa ajili ya JF Members tu'.
Naam, nilienda mbali kidogo kwa kujibu washutumu wangu humu kwamba taarifa hizi ni ukweli na ukweli mtupu na kwamba Source waliokua wakihoji sana ni mimi mwenyewe (UWEZO TUNAO), lakini pamoja na hayo yote wengi humu bado tu waliendelea tu kuonyesha kubeza kila kitu humu na kuanza kushambulia mkarimia taarifa pamoja na CHADEMA yangu lakini leo sasa watu tunashuhudia kitu gani vile ...????
Jamani wana-JF wenzangu, chonde kidogo tuache hizi tabia kama vile 'unaambiwa tuseme na Mbongo mwenzetu kwamba mwenzetu Ulimboka katekwa na kutoweka kusikojulikana' lakini kwa hulka ya kujidharau sisi wenyewe eti kamwe hutokaa uamini kitu mpaka taarifa hiyo toka nchini Tanzania kuhusu Mtanzania mwenzetu kama ambavyo ulivyopata kuambiwa na Mtanzania mwenzako eti mpaka ikatangazwe na vyombo vya kimataifa ndipo upate kuamini kitu hapo.
Mkuu 'Lukolo', mbaya sana hivyo wakubwa ...
Wewe nawe unaboa sana sasa! Haya ya CDM hapa yamefikaje? Ndio nyinyi tunaosema mmesahau mpaka kuhudumia familia zenu kisa,uchaguzi wa Kenya aaarrrgh!