CORD Raises Credibility Concerns Of Results Being Released.

please keep us posted! thanks
 
mmmmhhhhhhhhhhhhhhhh kama kawa iweje Kibaki leo awe saupporter kwa Kenyatta ilhali last time Kenyatta alimsupport Raila hapo kuna kitu I see ukabila bado unawasumbua Wakenya yah dispite of everthing Kenyata do to Kibaki still they belong to the same tribe
 
In the press: Generally they are not happy with the tallying process: Mr Musyoka says the integrity of the tallying in question and should be stopped. "This is not a call to mass action," he says. He however, urges supporters to remain calm as the coalition explores various options including moving to court.

ALL THE SIGNS NOW ARE THAT KENYATTA IS THE NEXT TENANT TO KILIMANI STATE HOUSE, it bitter pill to some but that is the reality bandugu. CORD have already tallied the results from the party agents finding that they are losers



 
Wacha hizo wewee. Lini Kenyatta alimu-support Odinga? You must be out of knowledge !!
 
worn or won;clarify nigga

Mwingereza (Mzungu) mwenye lugha yake asingeuliza swali kama hilo kwa maana angeelewa mtoa mada sio Mwingererza bali ni Mtanzania ambaye anajifunza, sisi wote(Watz) kiingereza siyo lugha yetu hivyo kukosea ni kawaida, kwa maana bado tunajifunza!

 
Huyo MJALUO anataka nini kutawala sio lazima, Mwaka 2007 alimshinda Mwai Kibaki lakini kwa vile Wakenya (Wakikuyu, Wakamba, Wataita na makabila mengine) hawawakubali Wajaluo kutawala toka enzi za Jomo Kenyatta tusubiri.
Wenyewe wanazungukana kwani Marafiki wa Odinga wanamwambia kashinda kwa 67%
Wakati wafuasi wa https://www.jamiiforums.com/kenyan-...i-wao-ameshinda-kura-za-jumla-nchi-nzima.html
Nanukuu (Kwenye facebook na Radio za kenya friends of Raila Odinga wametangaza wazi kwamba bosi wao ameshinda nafasi ya Urais baada ya wao kujumlisha kura za nchi nzima za vituo vyote. Hii ndo habari mpya ya mchana huu.
Hongera kwa Chadema waliomsapoti Odinga.
)



Hii hata kwetu inatokea Kura zinahesabiwa kihalali wanaoshindwa wanasema wameibiwa wakati hata zilizoharibika hawazihesabu
Tusuburi maana walidai kuna Vijana wa4 walichezea Computer ya BOMAS hivyo kumuongezea Kura Kenyatta kwa 400,000 kila zikiongezeka na yenyewe inaongeza. Sasa wamerudia na bado Kenyatta anaongoza

SUBIRINI MATOKEO HALALI
 
Akiongea na waandishi wa habari mgombea mwenza wa urais wa muungano wa CORD nchini Kenya Kalonzo Musyoka amedai kuwa wanaoushaidi kuwa wameibiwa kura.Kalonzo ambaye alikuwa makamo wa pili wa rais ktk serIkal iliyomaliza muda wake .

CHANZO: DW
 
akiongea na waandishi wa habari mgombea mwenza wa urais wa muungano wa cord nchini kenya karonzo musyoka amedai kuwa wanaoushaidi kuwa wameibiwa kura.karonzo ambaye alikuwa makamo wa pili wa rais ktk serkal iliyomaliza muda wake .

Sasa Makamu wa Raisi na Waziri Mkuu wanalalamikia kuibiwa kura na Serikali wanayoiongoza! Duh!!!!!!!
 
Africa, my continent Africa, with Western politics. Are we ready for democracy?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…