Bata Boy Official
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 259
- 309
Hii kibo zone ipo wapii??Kibozone Pub na Tip top
Dah mkuu hii kitambaa cheupe nnaiskia nlikuwa sjaichukulia siriaz...ipo wapii??Huduma imeboreshwa zaidi, saizi ni takeaway, bar zote hapo sinza wanapatikana. Angalizo ukiamua kwenda kitambaa cheupe inabidi uvae Kinga mbili
Kwaninii mkuu???Kitambaa cheupe ila vaa mask
Mbezi malamba mawiliHii kibo zone ipo wapii??
HAPANA KINGA MBILI HAITASAIDIA...Huduma imeboreshwa zaidi, saizi ni takeaway, bar zote hapo sinza wanapatikana. Angalizo ukiamua kwenda kitambaa cheupe inabidi uvae Kinga mbili
Kitambaa achana nayo mapigo yako sio hapo. Wamejaa mabishoo wa chuo na Vijana wa ovyo.Dah mkuu hii kitambaa cheupe nnaiskia nlikuwa sjaichukulia siriaz...ipo wapii??
Kibao kata wale wanaocheza uchi uchiii kama ilivokuwa kona baa zamani wapoo????
Kabisaaa pale wapo watu flan gentlemen and queeens not slayKitambaa achana nayo mapigo yako sio hapo. Wamejaa mabishoo wa chuo na Vijana wa ovyo.
Pigo zako we ni Kibozone flan.
hahahahahha ni burudani tu mkuu hakuna kingineTatizo huo mkoa wanaume mnadeka sana...π€£ hivi kweli hili nalo la kukukera hadi unatumia povu pasipo na ulazima....π
By the way, pombe pombe tu ilimradi ulewe....π kwani tangu lini mfungwa akachagua gereza...π€
Duh kumbeeMbezi malamba mawili
Huwa ni siku gani na siku ganiii???Mbezi malamba mawili
aongezee na mask
Ya kweli hayoo jombaa???aongezee na mask
maana wana visamaki hatari sana
ndiyo ya kweli:Ya kweli hayoo jombaa???