BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,666
- 1,053
Pesa za kibongo ni @ sh350,000/= × 200 sawa sh 70,000,000/= mbona kidogoHivi unavyosema alikiba kutoa PPE 200 ujue MABUMUNDA au MISUKULE yake itaanza kumpaisha pasipo sababu? Hivi unajua hata gloves ni PPE? Unajua bei ya PPE(Gloves) ni Buku....Kama akitoa Gloves 200 ni laki 2.
Sent using Jamii Forums mobile app