Corona: Baada ya njaa na bei za chakula kupanda, Kenya yasalimu amri

Corona: Baada ya njaa na bei za chakula kupanda, Kenya yasalimu amri

Utakuta ni nyinyi ndo mlituonyesha maabara mnayopima tukaikagua hadi sasa ndo tunaamina kwamba mna uwezo wa kupima scientifically bila kuongeza mapapayu ndani ya samples [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Alafu baada ya kukagua aabara yenu ndo unakuja hapa kutunisha misuli ya hewa
Njaa ndio maabara?. Tanzania tuliacha kupima muda mrefu, tunatumia "body temperature pekee, kwa watalii na mtu mwingine yeyote anayeingia na kutoka Tanzania, hata hao Madereva tunawapima joto mwili na kuwapa " Certificate ", hatutaki ujinga wa kupima. Hahahaha, Hahahaha. Tanzania hoyeeeee.
 
Njaa ndio maabara?. Tanzania tuliacha kupima muda mrefu, tunatumia "body temperature pekee, kwa watalii na mtu mwingine yeyote anayeingia na kutoka Tanzania, hata hao Madereva tunawapima joto mwili na kuwapa " Certificate ", hatutaki ujinga wa kupima. Hahahaha, Hahahaha. Tanzania hoyeeeee.
Tanzania au wafanyibiashara wameshafanya yao[emoji23][emoji23]
 
Njaa ndio maabara?. Tanzania tuliacha kupima muda mrefu, tunatumia "body temperature pekee, kwa watalii na mtu mwingine yeyote anayeingia na kutoka Tanzania, hata hao Madereva tunawapima joto mwili na kuwapa " Certificate ", hatutaki ujinga wa kupima. Hahahaha, Hahahaha. Tanzania hoyeeeee.
Hapo kwa border mmekubali kueka maabara itakayopima madereva wanaongia Kenya, hii ndo sababu huu mzozo umetatuliwa !
 
Hapo kwa border mmekubali kueka maabara itakayopima madereva wanaongia Kenya, hii ndo sababu huu mzozo umetatuliwa !
Gazeti lenu ndio limepotosha, msikilize waziri na uwasiliane na wafanyakazi wa pale mpakani, au madereva watakuambia ukweli. Tanzania habari ya kupima tulishasitisha, huku Corona ni kitu cha zamani, zaidi ya kupima joto mwili, hatupimi mtu yeyote, njoo pale Namanga ndio utajionea. Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha
 
Utakuta ni nyinyi ndo mlituonyesha maabara mnayopima tukaikagua hadi sasa ndo tunaamina kwamba mna uwezo wa kupima scientifically bila kuongeza mapapayu ndani ya samples 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Alafu baada ya kukagua aabara yenu ndo unakuja hapa kutunisha misuli ya hewa
With 213 covid 19 new cases in Kenya, Kenya is now a "hot spot" in East Africa as far as Corona virus is concerned!
In fact we respect you very much otherwise we could have closed all the entry points to Tz.
 
Njaa ndio maabara?. Tanzania tuliacha kupima muda mrefu, tunatumia "body temperature pekee, kwa watalii na mtu mwingine yeyote anayeingia na kutoka Tanzania, hata hao Madereva tunawapima joto mwili na kuwapa " Certificate ", hatutaki ujinga wa kupima. Hahahaha, Hahahaha. Tanzania hoyeeeee.
Hampimi vipi? Tz si juzi tu waziri mkuu katangaza kesi 66? Ama hawa walikuwa wanaugua dengue? 😂
 
Hampimi vipi? Tz si juzi tu waziri mkuu katangaza kesi 66?
Ama hawa walikuwa wanaugua dengue? [emoji23]
Hao 66 ni wale waliokua wamelazwa Hospital mbalimbali za Tanzania. Tunapima wale wenye dalili na waliokwenda Hospital, kama joto mwili lipo sawa na huonyeshi dalili zozote kama hao madereva, hatupimi mtu yeyote.
 
Kwa kanchi Kama Djibouti ambako n sawa n kaunti yenu moja...h aha ha
Sowhat.

What does a nations size dictate this. Singapore is smaller than Tanzania yet richer and more powerful on every aspect .Hako kanchi kadogo (Djibouti) kako na port in one of the most strategic location in Africa ,kako na bases za the most powerful armies dunia mzima na kako na many treaties na powerful nations worldwide kama china( which voted for them.

Yet we won by gaining as many votes by lobbying our friends and allies worldwide. Tanzanians should stop comparing physical sizes of nations and start looking at what those small countries have to offer .
 
Sowhat.

What does a nations size dictate this. Singapore is smaller than Tanzania yet richer and more powerful on every aspect .Hako kanchi kadogo (Djibouti) kako na port in one of the most strategic location in Africa ,kako na bases za the most powerful armies dunia mzima na kako na many treaties na powerful nations worldwide kama china( which voted for them.

Yet we won by gaining as many votes by lobbying our friends and allies worldwide . Tanzanians should stop comparing physical sizes of nations and start looking at what those small countries have to offer .

Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
Djibouti ni ndogo kwa kila kitu, haina "influence" yoyote hapa Africa na duniani, sema umuhimu wa Djibouti hapa Afrika ni Upi, kwani Bandari ya Djibouti inahudumia nchi zipi muhimu zaidi ya Ethiopia, hizo military bases zinaleta umuhimu gani duniani zaidi ya hizo nchi zenye wanajeshi wao?.

Mkubwa na umuhimu wa nchi duniani hutokana na

1) Uchumi wa nchi
2) Ukubwa wa soko lao la ndani
3) Maendeleo ya nchi katika Technology
4) Natural resources
5) Military capability
6) Advanced manufacturing sector

Djibouti katika hivyo haina hata kitu kimoja, unawezaje kusema Djibouti ni nchi muhimu na kulinganisha na Singapore au Israel?
 
Djibouti ni ndogo kwa kila kitu, haina "influence" yoyote hapa Africa na duniani, sema umuhimu wa Djibouti hapa Afrika ni Upi, kwani Bandari ya Djibouti inahudumia nchi zipi muhimu zaidi ya Ethiopia, hizo military bases zinaleta umuhimu gani duniani zaidi ya hizo nchi zenye wanajeshi wao?.

Mkubwa na umuhimu wa nchi duniani hutokana na
1)Uchumi wa nchi
2)Ukubwa wa soko lao la ndani
3)Maendeleo ya nchi katika Technology
4)Natural resources
5)Military capability
6)Advanced manufacturing sector

Djibouti katika hivyo haina hata kitu kimoja, unawezaje kusema Djibouti ni nchi muhimu na kulinganisha na Singapore au Israel?
Strategic location matters ..port ya Djibouti , military bases za nearly 10 superpowers juu ya strategic location. Kumbuka Singapore developed due to its strategic location in the shipping lanes(malacca strait) .. Djibouti is also well placed just like Singapore . Kumbuka. Eastern Africa yote, Port yao ni number 2 after Mombasa port . It might look like a small national but do not underestimate its diplomatic prowess.
 
Strategic location matters ..port ya Djibouti , military bases za nearly 10 superpowers juu ya strategic location. Kumbuka Singapore developed due to its strategic location in the shipping lanes(malacca strait) .. Djibouti is also well placed just like Singapore . Kumbuka. Eastern Africa yote, Port yao ni number 2 after Mombasa port . It might look like a small national but do not underestimate its diplomatic prowess.

Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
Umuhimu wa port ya Djibouti ni UPI?, nchi ngapi zinahudumiwa na Port ya Djibouti zaidi ya Ethiopia?. Huyo aliyekuambia port ya Djibouti ni namba mbili ni nani?.

Wacha kuzungumza vitu toka kichwani mwako ili kujiliwaza, Port ya Djibouti haina umuhimu wowote wa kibiashara hapa Africa, umuhimu wa nchi ya Djibouti upo ni kwa ajili ya vita tu, Djibouti ipo karibu sana na nchi za kiarabu hasa Saudia ya Yemen, nchi ambazo mataifa ya USA, China na Iran yana maslahi katika eneo hilo,lakini kibiashara, Djibouti is not strategically located at all.

Nchi ambazo ni very Strategically located interms to port accessibility are
1)Tanzania
2)Mozambique
3)Kenya
 
Umuhimu wa port ya Djibouti ni UPI?, nchi ngapi zinahudumiwa na Port ya Djibouti zaidi ya Ethiopia?. Huyo aliyekuambia port ya Djibouti ni namba mbili ni nani?.

Wacha kuzungumza vitu toka kichwani mwako ili kujiliwaza, Port ya Djibouti haina umuhimu wowote wa kibiashara hapa Africa, umuhimu wa nchi ya Djibouti upo ni kwa ajili ya vita tu, Djibouti ipo karibu sana na nchi za kiarabu hasa Saudia ya Yemen, nchi ambazo mataifa ya USA, China na Iran yana maslahi katika eneo hilo,lakini kibiashara, Djibouti is not strategically located at all.

Nchi ambazo ni very Strategically located interms to port accessibility are
1)Tanzania
2)Mozambique
3)Kenya
Djibouti, Egypt ,moroco, South Africa, Kenya, Ivory Coast
Hiyo ya Tanzania pelekea your friends hapo vijiweni

Kenya beats you in port handling and capacity.

Djibouti and Egypt are in the most strategic location in the world.

Tanzania is shit when it comes to ports

Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom