Corona: Baada ya njaa na bei za chakula kupanda, Kenya yasalimu amri

Corona: Baada ya njaa na bei za chakula kupanda, Kenya yasalimu amri

Umuhimu wa port ya Djibouti ni UPI?, nchi ngapi zinahudumiwa na Port ya Djibouti zaidi ya Ethiopia?. Huyo aliyekuambia port ya Djibouti ni namba mbili ni nani?.

Wacha kuzungumza vitu toka kichwani mwako ili kujiliwaza, Port ya Djibouti haina umuhimu wowote wa kibiashara hapa Africa, umuhimu wa nchi ya Djibouti upo ni kwa ajili ya vita tu, Djibouti ipo karibu sana na nchi za kiarabu hasa Saudia ya Yemen, nchi ambazo mataifa ya USA, China na Iran yana maslahi katika eneo hilo,lakini kibiashara, Djibouti is not strategically located at all.

Nchi ambazo ni very Strategically located interms to port accessibility are
1)Tanzania
2)Mozambique
3)Kenya
Hivi hujui Djibouti is the largest transhipment port in Africa.
Meli kubwa husimama Djibouti na kutransafer cargo to smaller ships which then come to shitty ports kama Dar.

Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
 
Djibouti , Egypt ,moroco, South Africa, Kenya ,ivory coast
Hiyo ya Tanzania pelekea your friends hapo vijiweni

Kenya beats you in port handling and capacity .
Djibouti and Egypt are in the most strategic location in the world .

Tanzania is shit when it comes to ports

Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
Djibouti inatumiwa na nchi zipi, si useme, umuhimu wa Djibouti ni upi?, hujui lolote kazi ni kupiga Domo.

Bandari ya Tanzania inategewa na nchi zifuatazo, Rwanda 90%, Zambia 95%, Malawi 95%, Burundi 98%, Eastern DRC 70%, Uganda 20%.

Bandari ya Kenya inategemewa na; Uganda 80%, South Sudan 90%, Rwanda 10%, Eastern DRC 30%. Ipi kati ya hizi mbili ni more strategic?
 
Huna lolote wala hujui lolote wewe, Djibouti inatumiwa na nchi zipi, si useme, umuhimu wa Djibouti ni upi?, hujui lolote kazi ni kupiga Domo.

Bandari ya Tanzania inategewa na nchi zifuatazo, Rwanda 90%, Zambia 95%, Malawi 95%, Burundi 98%, Eastern DRC 70%, Uganda 20%.

Bandari ya Kenya inategemewa na; Uganda 80%, South Sudan 90%, Rwanda 10%, Eastern DRC 30%. Ipi kati ya hizi mbili ni more strategic?
The question is which of the two is already bigger than the other .

Hahhahaa

Na hiyo strategicness yenyu na bado nyninyi ni maembe tu.
 
Ati Tanzania is the most strategic port africa ..hahaaa
Hivi huna aibu ukitext vitu vingine .


Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
Kwasababu hujui unachozungumza, Bandari ya Mombasa inategenewa na nchi chache sana kulinganisha na Tanzania, mizigo mingi inayohudumiwa na bandari ya Mombasa ni mizigo ya Kenya, Kenya kusafirisha chai kwa wingi na huagiza mizigo mingi toka nje zaidi ya Tanzania.

Bandari ya za Tanzania hutumiwa na nchi nyingi kuliko Kenya. Umuhimu wa bandari ni pale hiyo bandari inapotegemewa na nchi nyingi, sio nchi moja au tatu kama ilivyo Kenya.
 
eddy25r,

Sikiliza wewe, acha kucheza santuri ya babu yako Charles Njonjo. Kazi ya ujamaa ilikuwa ni kuunganisha nchi, hii nadharia (concept) ya nchi haikuwa ya kiafrika, tuliletewa tuu na wazungu.

Huwezi kujenga nchi kama kuna migawanyiko baina ya vikundi vya watu. Tanzania yenye makabila zaidi ya 120 is the most linguistically diverse country in Africa (fourth in the world after Papua New Guinea, Vanuatu and Solomon Islands).

We had to do something drastically to build our Nation and ujamaa was the only way at the time. We won that tribalism battle, you don't know that because you don't have a warrior blood in you. You never won any war or built anything from scratch as a Nation, other than copying everything from abroad.
 
Wakenya msiache kupima Corona maana nyie hamueleweki!!! kila siku Pima, Pima, Pima!!! Halafu kwa kuwa wamekuwa wengi wenye Corona na huwezi kuwahudumia, funika kichwa chini kwenye udongo halafu jitoe ufahamu useme, hawa asymptomatic hawaambukizi!! Halafu waachie warudi nyumbani wakaambukize wengine halafu Pima, Pima, Pima wazungu si wanakupa pesa? Japo ni Deni sio neno! Pima, Pima wakati sisi tunalima!! Tutakutana sokini!!
 
Wewe jamaa umekomaa na port utanzani uchumi wa nchi unajengwa na port tu pekee, lakini tukiwambia ukweli huwa mnakasirika, ukweli ni kwamba wakenya huwa ni washamba sana yahani badala ya kwenda shule kuondoa ujinga nyie mnaenda kujifunza Kingereza lugha ya mzungu matokeo yake ndio hayo tuyahona unakomaa na port
Unakichukia kingereza wakati kitambulisho chako kina sehemu kimeandikwa kwa Kingereza
 
Umuhimu wa port ya Djibouti ni UPI?, nchi ngapi zinahudumiwa na Port ya Djibouti zaidi ya Ethiopia?. Huyo aliyekuambia port ya Djibouti ni namba mbili ni nani?.

Wacha kuzungumza vitu toka kichwani mwako ili kujiliwaza, Port ya Djibouti haina umuhimu wowote wa kibiashara hapa Africa, umuhimu wa nchi ya Djibouti upo ni kwa ajili ya vita tu, Djibouti ipo karibu sana na nchi za kiarabu hasa Saudia ya Yemen, nchi ambazo mataifa ya USA, China na Iran yana maslahi katika eneo hilo,lakini kibiashara, Djibouti is not strategically located at all.

Nchi ambazo ni very Strategically located interms to port accessibility are
1)Tanzania
2)Mozambique
3)Kenya
Leo vile tumeshinda hicho kiti ndio mnaiponda port ya djibout kisa point zenu zionekane valid[emoji23][emoji23]
Ikija swala la lamu port, mnaiunga mkono port ya djibout..
Kweli mchawi utamjua na maneno yake tu
 
Huna lolote wala hujui lolote wewe, Djibouti inatumiwa na nchi zipi, si useme, umuhimu wa Djibouti ni upi?, hujui lolote kazi ni kupiga Domo.

Bandari ya Tanzania inategewa na nchi zifuatazo, Rwanda 90%, Zambia 95%, Malawi 95%, Burundi 98%, Eastern DRC 70%, Uganda 20%.

Bandari ya Kenya inategemewa na; Uganda 80%, South Sudan 90%, Rwanda 10%, Eastern DRC 30%. Ipi kati ya hizi mbili ni more strategic?
Umetoa wapi hizo data
Alafu mbona mna handle less than mombasa port
 
Unakichukia kingereza wakati kitambulisho chako kina sehemu kimeandikwa kw kingereza
hakuna sehemu nimeandika kua nakichukia kingereza, ila sisi kwetu kingereza tuna kipa heshima kama lugha nyingine tunavyozieshimu, tofauti na nyie wakenya mnaodhani kuelimika ni pale mtu anavyojua kuzungumza Kingereza
 
Hakuna sehemu nimeandika kua nakichukia kingereza, ila sisi kwetu kingereza tuna kipa heshima kama lugha nyingine tunavyozieshimu, tofauti na nyie wakenya mnaodhani kuelimika ni pale mtu anavyojua kuzungumza kingereza
Sasa ndio umekuja kwa wivu, kenya km umesoma mpka level inayoeleweka huwezi kosa kukijua, mfumo wetu wa elimu ni Kingereza mwanzo mwisho, sasa hapo jamani utasemaje una elimu ya maana wakati huijui lugha uliofunzwa nayo kukupa hyo elimu.

Majungu kweli kweli
 
Back
Top Bottom