Baraka21
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 1,262
- 3,184
Mungu hadhihakiwi. Apandacho mtu ndio atakachovuna.Hamna corona kwa wanamwamin MUngu na kutembea katika njia zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu hadhihakiwi. Apandacho mtu ndio atakachovuna.Hamna corona kwa wanamwamin MUngu na kutembea katika njia zake
Anadhani kuvaa barakoa unakuwa unamsuta maghufuli, watu vichwa vimeharibika kisa kumshabikia mtu mmoja.Mkuu kwani ukivaa barakoa utapungukiwa nini? Unataka wafe wangapi ndio muanze kuvaa barakoa?
Nitasherehekea siku ukipata Corona!Kuanzia Jumatatu bila kuvaa barakoa stendi Magufuli hakuingiliki tena.
Hata hivyo inashangaza kwanini kuwataka wenye mabasi kuwa na sanitizers kwa ajili ya abiria.
Kama ilivyo kwa barakoa, afya ya mtu ni wajibu wake mwenyewe. Hizi za kutwishana majukumu ya wengine ndiyo chanzo cha kupalilia jamii isiyokuwa na uwajibikaji kwenye mambo yake yenyewe.
Hatua zaidi kudhihibiti misongamano isiyo kuwa na tahadhari itapendeza zaidi.
Chanzo: ITV Habari.
Mkuu, pokea like 1000!Mkuu ukweli mchungu ni kwamba wengi zaidi bado wanamuenzi, kama upo Tanzania jiulize maswali haya:
Serikali ya sasa inachofanya ni kuiaminisha dunia kwamba tupo serious kwenye haya mapambano ili tupate mikopo na tusitengwe ila kiuhalisia ni kama tunaendelea vile vile, wananchi ndio kabisa wanaenzi yale yale ya mwendazake, sana sana utakuta raia wa kigeni ama wale wenye kipato cha kati na kwenda juu ndio wanavaa barakoa na kujitahidi kunawa mikono na kufuata ushauri mwingine wa wataalam wakiwa kwenye shopping malls ama migahawa mikubwa.
- Hapo mtaani kwenu ni watu wangapi wanavaa barakoa ?
- Hapo mtaani ni watu wangapi wanapeana social distance ?
- Kwenye mabasi na vyombo vingine vya usafiri ni watu wangapi wanavaa barakoa ? Hayo mabasi yana social distance au yamejaza nyomi kama kawaida.
- Kwenye viwanja vya mpira kuna social distancing ?
- Mara ya mwisho kusikia kampeni ya kuelimisha watu kuhusu corona umeisikia mtaani kwenu lini ?
- Watoto wa shule wanapewa elimu ya kujikinga na ugonjwa huu ?
- Watu wakienda bar na club wanachukua tahadhari zozote ?
- Katika rafiki au ndugu zako 10 ni wangapi wapo tayari kupokea chanjo ya corona ?
- Lini serikali imetoa takwimu rasmi zinazoeleweka kuhusu maambukizi ya ugonjwa huu , zaidi ya kusomewa tu taarifa haraka haraka ambazo tuliambiwa tuna wagonjwa 100, wapo mkoa gani hatujui ? Taarifa mbona hazijafika WHO ?
Sikubaliani na msimamo aliouchukua Magufuli dhidi ya corona lakini huenda ndio msimamo uliokubalika na wananchi wengi zaidi, watanzania wengi tunapenda shortcut !
Hivi walecmachinga nao wataanza pia maana kwa kweli wale machinga ni kero sana kwangu
Tuvae barakoa....watanzania wajinga wengi sana ....tunaidharau sana corona
Hiari na kuelimisha.....Vaa mwenyewe kwa faida yako..
Muda wa kuwa bado yanaitwa maji, haina tatizo.Kuna siku mtahitaji mhudumiwe na maji ya kuchambia. No wonder hata katiba mpya tunasubiri kuhudumiwa.
Ikiangamiza halaiki tutavaa barakoaTuvae barakoa....watanzania wajinga wengi sana ....tunaidharau sana corona
Soma vizuri nilichoandika !Mkuu kwani ukivaa barakoa utapungukiwa nini? Unataka wafe wangapi ndio muanze kuvaa barakoa?
Mkuu nyumbu zikiwa zinakatiza mto hata zikitafunwa kwa halaiki haziwezi kubadili njia🤣👇Ikiangamiza halaiki tutavaa barakoa
Hizi ni kama zile takwimu za kutolewa kwenye mifuko ya koti kwenye vikaratasi vidogo🤣🤸♂️🐒Waweke Takwimu hizi takwimu za kusema " mia na ushee" si takwimu
Umejiweka lock down na familia yakoIla Tanzania kuna ujinga mwingi. Elimu bado haijasaidia kabisa watu. Kujikinga tu ugonjwa fulani ni jambo linahitaji mjadala kabisa. Mbona Ukimwi Kipindupindu Malaria nk matangazo ya tahadhari yapo miaka mingi mbona hampigi kelele?
Yaleyale ya mwenda zake unajifukiza halafu unatoka hapo na mipua na midomo wazi unaenda kuhemea na kukoholea wenzio.
Guys hii ni tahadhari tu. Na ni jukumu la serikali kutoa tahadhari hizo. Kesho mtakuja humu humu mara ooh serikali iingilie kati.
Social distance kwenye daladala za kwenda mbagala inawezekenaMkuu ukweli mchungu ni kwamba wengi zaidi bado wanamuenzi, kama upo Tanzania jiulize maswali haya:
Serikali ya sasa inachofanya ni kuiaminisha dunia kwamba tupo serious kwenye haya mapambano ili tupate mikopo na tusitengwe ila kiuhalisia ni kama tunaendelea vile vile, wananchi ndio kabisa wanaenzi yale yale ya mwendazake, sana sana utakuta raia wa kigeni ama wale wenye kipato cha kati na kwenda juu ndio wanavaa barakoa na kujitahidi kunawa mikono na kufuata ushauri mwingine wa wataalam wakiwa kwenye shopping malls ama migahawa mikubwa.
- Hapo mtaani kwenu ni watu wangapi wanavaa barakoa ?
- Hapo mtaani ni watu wangapi wanapeana social distance ?
- Kwenye mabasi na vyombo vingine vya usafiri ni watu wangapi wanavaa barakoa ? Hayo mabasi yana social distance au yamejaza nyomi kama kawaida.
- Kwenye viwanja vya mpira kuna social distancing ?
- Mara ya mwisho kusikia kampeni ya kuelimisha watu kuhusu corona umeisikia mtaani kwenu lini ?
- Watoto wa shule wanapewa elimu ya kujikinga na ugonjwa huu ?
- Watu wakienda bar na club wanachukua tahadhari zozote ?
- Katika rafiki au ndugu zako 10 ni wangapi wapo tayari kupokea chanjo ya corona ?
- Lini serikali imetoa takwimu rasmi zinazoeleweka kuhusu maambukizi ya ugonjwa huu , zaidi ya kusomewa tu taarifa haraka haraka ambazo tuliambiwa tuna wagonjwa 100, wapo mkoa gani hatujui ? Taarifa mbona hazijafika WHO ?
Sikubaliani na msimamo aliouchukua Magufuli dhidi ya corona lakini huenda ndio msimamo uliokubalika na wananchi wengi zaidi, watanzania wengi tunapenda shortcut !
Kuvaa barakoa sasa hivi ndio unaona suluhisho?Too late what do you mean? What should have been early?
Kuwataka watu kuchukua tahadhari ni kuwatisha?
Haya si madhara halisi ya kutokutangaza sababu za vifo vya watu kwa kuficha ukweli?
Social distance imeshindikana JKNIA ndio ianze kufanyika kwenye daladala ? Precision inajaza watu kama mapapai kwenye basi kutoka boarding gate kwenda kupanda ndege...huko KIA kwenye shuttle ndio usiseme...sasa hivi hii vita kovidi tupo tunafanya maonyesho ya sanaa ili kutengeneza "brand" nzuri.Social distance kwenye daladala za kwenda mbagala inawezekena
Too late. Wasianze kutisha raia
Popote ulipo na wenzio mnaobisha juu ya ukivi 19, naomba muende ile wadi ya wanaotibiwa huo ugonjwa hosp. ya mwananyamala mlale huko bila barakao baada ya siky 14 mtupe mrejesho. Hapo tutawaamini.Mijinga ni mingi mno. Tatizo kubwa la ujinga ni mtu kutokujua kuwa hajui. Hapo ndipo shughuli pevu ilipo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi ni kama zile takwimu za kutolewa kwenye mifuko ya koti kwenye vikaratasi vidogo[emoji1787][emoji2223][emoji205]
Soma vizuri nilichoandika !