#COVID19 Corona: Bila Barakoa huingii stendi ya Magufuli

Nitasherehekea siku ukipata Corona!
 
Mkuu, pokea like 1000!
Jana nimesema hivi hivi. Katika mapampano dhidi ya corona, wananchi walio wengi wanamuishi JPM!
 
Waweke Takwimu hizi takwimu za kusema " mia na ushee" si takwimu
 
Umejiweka lock down na familia yako
 
Social distance kwenye daladala za kwenda mbagala inawezekena
 
Too late what do you mean? What should have been early?

Kuwataka watu kuchukua tahadhari ni kuwatisha?

Haya si madhara halisi ya kutokutangaza sababu za vifo vya watu kwa kuficha ukweli?
Kuvaa barakoa sasa hivi ndio unaona suluhisho?
 
Social distance kwenye daladala za kwenda mbagala inawezekena
Social distance imeshindikana JKNIA ndio ianze kufanyika kwenye daladala ? Precision inajaza watu kama mapapai kwenye basi kutoka boarding gate kwenda kupanda ndege...huko KIA kwenye shuttle ndio usiseme...sasa hivi hii vita kovidi tupo tunafanya maonyesho ya sanaa ili kutengeneza "brand" nzuri.

Kama kovidi ingekuwa inaua kama inavyoua kwa wenzetu yangekuwa ni mauaji ya halaiki, inapiga na kutuumiza lakini si kwa viwango vya watu wa nchi za Ulaya, Asia, Amerika ya Kaskazini na Kusini !
 
Too late. Wasianze kutisha raia
Mijinga ni mingi mno. Tatizo kubwa la ujinga ni mtu kutokujua kuwa hajui. Hapo ndipo shughuli pevu ilipo.
Popote ulipo na wenzio mnaobisha juu ya ukivi 19, naomba muende ile wadi ya wanaotibiwa huo ugonjwa hosp. ya mwananyamala mlale huko bila barakao baada ya siky 14 mtupe mrejesho. Hapo tutawaamini.
 
Hizi ni kama zile takwimu za kutolewa kwenye mifuko ya koti kwenye vikaratasi vidogo[emoji1787][emoji2223][emoji205]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaaa. Zile zile tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…