Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Simjui mtu huyoNi hiyo ngwamba hapo:
View attachment 1856055
Ilipo ilikwisha chanjwa kwa gharama zetu. Inatuitisha uzalendo zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simjui mtu huyoNi hiyo ngwamba hapo:
View attachment 1856055
Ilipo ilikwisha chanjwa kwa gharama zetu. Inatuitisha uzalendo zaidi.
Hata mimi simjui.Simjui mtu huyo
Una namba yake ?Hata mimi simjui.
Ya chanjo yake ya Pfizer ninayo.Una namba yake ?
mimi sina shida ya kuchanja na familia yangu haichanji.
Namba ya simu bashweeYa chanjo yake ya Pfizer ninayo.
Mnapambana na ugonjwa wa kutungwa.Bado naendelea kuuliza, hivi tunapambana na Corona au tunacheza na Corona?
Namba ya simu bashwee
Siacha ng'ooooooWebsite ya bunge ina zote hizo. Acha uvivu!
Bado naendelea kuuliza, hivi tunapambana na Corona au tunacheza na Corona?
Lazima wawe experimented kwanza na iwe siku hiyo hiyo wasitulete mambo ya KAOLE bure mkuu.😂Kupata Vaccine lazima tufuate protocol ataanza mama, Makamu wake, baraza la Mawaziri, .....mpaka mimi niliyeko Endabash huku nitakuwa nimeshajua kama chanjo iko vizuri au laa !!
Anakwambia wao wameshachanjwa ila akidondoka mtu atasema corona hatokumbuka kuwa walishachanjwa.Kweli kamanda, hapo hata mimi naunga mkono maoni yako, ongezea na katiba mpya itapendeza zaidi
So why mpaka december?Iko hivi:
1. Ukisha chanjwa hata ukiambukizwa tafiti zinaonyesha impact inakuwa si kubwa tena. Nafasi ya kuwa hospitalized baada ya kuchanjwa inakuwa very minimal.
2. Ukisha chanjwa wewe na familia yako ukiwa na ubinafsi wa kupitiliza Corona kwako inakuwa ni non issue. Yaani inakuwa mzigo wa mwenzio kwako ni kanda la Sufi.
Umeona ngoma ilipo the top brass wanaotuletea kodi za uzalendo hali wao haziwahusu, are already vaccinated.
Upo hapo mkuu?
So why mpaka december?