Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Achana na Machanjo ya mashoga.Ungeongezea neno uchwara ungekuwa vizuri zaidi:
"...... WATANZANIA uchwara .."
Kwenye list yako hiyo wengine hatumo.
Utaharibu kizazi chako chote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na Machanjo ya mashoga.Ungeongezea neno uchwara ungekuwa vizuri zaidi:
"...... WATANZANIA uchwara .."
Kwenye list yako hiyo wengine hatumo.
Achana na Machanjo ya mashoga.
Utaharibu kizazi chako chote
Inawezekana......
Mkianza kuwa mandondocha na hizo chanjo zenu msianze kuililia serikali ya mafisadi wa CcmSikwenda shule kutembea. Ukweli wa wazi, sihitaji ushauri wa illiterates kuhusiana na hili.
Wameandika kwa lugha ya KIGENI kujitoa kwenye LAWAMA,fikiria mwananchi wa TANDAHIMBA, MISUGUSUGU, GEITA VIJIJINI ataelewa kweli?Waandike kwa kiswahili ili na sie akina kishimba tuelewe
Sisi ni 🐒🐒🐒 tulijua kuvaa nguoHii ndiyo cost to pay ya kuweka maiti madarakani.Watu wanateketea and they don't care!
Hayo mapenzi niue kiasi hicho kwetu, wewe au madelu mliyaanza lini?Mkianza kuwa mandondocha na hizo chanjo zenu msianze kuililia serikali ya mafisadi wa Ccm
Si unataka chanjo???Hiyo chanjo inayoletwa Tz unaitwaje? Au ndio ile yenye tahadhari not to be sold in USA, Canada and Europe?
🤣🤣🤣Sisi ni 🐒🐒🐒 tulijua kuvaa nguo
Sisi ni 🐒🐒🐒 tulijua kuvaa nguo
Hii habari inavunja moyo. Desemba?! Tutafika kweli huko? Mbona Zenji kwao imeshatua?
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Profesa Abel Makubi alipohojiwa na kituo cha runinga cha Azam juzi, alisema kundi la kwanza kupata chanjo hiyo ni watoa huduma za afya.
Chanjo hizo, alisema zitaanza kuwasili nchini miezi mitatu kutoka sasa “lakini zitakazotumiwa na makundi mengine zitawasili Desemba.”
Hata hivyo pongezi kwenu:
"Profesa Makubi alisema kutokana na mlipuko wa tatu wa virusi hivyo, Serikali itahakikisha makundi yaliyo hatarini, wakiwamo watumishi wa afya wanachanjwa mapema. Alisema wapo watu ambao ni lazima kupata chanjo hiyo, wakiwamo wasafiri na wanaohudhuria mikutano."
Pana mtu alituchelewesha sana hapa wallahi!
Hii habari inavunja moyo. Desemba?! Tutafika kweli huko? Mbona Zenji kwao imeshatua?
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Profesa Abel Makubi alipohojiwa na kituo cha runinga cha Azam juzi, alisema kundi la kwanza kupata chanjo hiyo ni watoa huduma za afya.
Chanjo hizo, alisema zitaanza kuwasili nchini miezi mitatu kutoka sasa “lakini zitakazotumiwa na makundi mengine zitawasili Desemba.”
Hata hivyo pongezi kwenu:
"Profesa Makubi alisema kutokana na mlipuko wa tatu wa virusi hivyo, Serikali itahakikisha makundi yaliyo hatarini, wakiwamo watumishi wa afya wanachanjwa mapema. Alisema wapo watu ambao ni lazima kupata chanjo hiyo, wakiwamo wasafiri na wanaohudhuria mikutano."
Pana mtu alituchelewesha sana hapa wallahi!
Huyu mama ana nia nzuri kwa wananchi wake, yuko serious na hili gonjwa....lau angelikua yeye ndie raisi kwa miaka hiyo mitano ya Magu tungeshapata chanjo na kuokoa mamia ya watu waliotutoka....
Wanaomchukia na kumuona hafai huyu mama watajiona wapumbavu
Hapo mwisho mkuu kuna mambo inabidi ayarekebishe:
1. Kauli yake ya uchumi kwanza ina ukakasi.
2. Kodi mafuta na tozo uzalendo ukakasi mwingine.
3. Kutokomaa na issue za CAG ukakasi wa kutosha.
4. Chanjo Desemba wakati wao wameshachanjwa - fyongo!
5. Nk
Yako mengi mkuu.
Kweli kamanda, hapo hata mimi naunga mkono maoni yako, ongezea na katiba mpya itapendeza zaidi
Madelu ni nani ?Hayo mapenzi niue kiasi hicho kwetu, wewe au madelu mliyaanza lini?
Madelu ni nani ?
Simjui na machanjo yenu hatuyatakiYule mwenzako anayetutaka tuwe wazalendo zaidi kwa kumgharimia yeye kwa ajili ya chanjo na marupurupu yote. Huku wanawe wakisoma ile shule ambayo kidato cha sita ni #2 kitaifa.
Simjui na machanjo yenu hatuyataki