#COVID19 Corona: Chanjo hadi Desemba

#COVID19 Corona: Chanjo hadi Desemba

Hii habari inavunja moyo. Desemba?! Tutafika kweli huko? Mbona Zenji kwao imeshatua?

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Profesa Abel Makubi alipohojiwa na kituo cha runinga cha Azam juzi, alisema kundi la kwanza kupata chanjo hiyo ni watoa huduma za afya.

Chanjo hizo, alisema zitaanza kuwasili nchini miezi mitatu kutoka sasa “lakini zitakazotumiwa na makundi mengine zitawasili Desemba.”

Hata hivyo pongezi kwenu:

"Profesa Makubi alisema kutokana na mlipuko wa tatu wa virusi hivyo, Serikali itahakikisha makundi yaliyo hatarini, wakiwamo watumishi wa afya wanachanjwa mapema. Alisema wapo watu ambao ni lazima kupata chanjo hiyo, wakiwamo wasafiri na wanaohudhuria mikutano."

Pana mtu alituchelewesha sana hapa wallahi!

Subiri uchambwe na wazee wa "RIP MAGUFULI, TUNAKUMISS BABA"
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii habari inavunja moyo. Desemba?! Tutafika kweli huko? Mbona Zenji kwao imeshatua?

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Profesa Abel Makubi alipohojiwa na kituo cha runinga cha Azam juzi, alisema kundi la kwanza kupata chanjo hiyo ni watoa huduma za afya.

Chanjo hizo, alisema zitaanza kuwasili nchini miezi mitatu kutoka sasa “lakini zitakazotumiwa na makundi mengine zitawasili Desemba.”

Hata hivyo pongezi kwenu:

"Profesa Makubi alisema kutokana na mlipuko wa tatu wa virusi hivyo, Serikali itahakikisha makundi yaliyo hatarini, wakiwamo watumishi wa afya wanachanjwa mapema. Alisema wapo watu ambao ni lazima kupata chanjo hiyo, wakiwamo wasafiri na wanaohudhuria mikutano."

Pana mtu alituchelewesha sana hapa wallahi!

Huyu mama ana nia nzuri kwa wananchi wake, yuko serious na hili gonjwa....lau angelikua yeye ndie raisi kwa miaka hiyo mitano ya Magu tungeshapata chanjo na kuokoa mamia ya watu waliotutoka....


Wanaomchukia na kumuona hafai huyu mama watajiona wapumbavu
 
Huyu mama ana nia nzuri kwa wananchi wake, yuko serious na hili gonjwa....lau angelikua yeye ndie raisi kwa miaka hiyo mitano ya Magu tungeshapata chanjo na kuokoa mamia ya watu waliotutoka....


Wanaomchukia na kumuona hafai huyu mama watajiona wapumbavu

Hapo mwisho mkuu kuna mambo inabidi ayarekebishe kwanza:

1. Kauli yake ya uchumi kwanza ina ukakasi.
2. Kodi mafuta na tozo uzalendo ukakasi mwingine.
3. Kutokomaa na issue za CAG ukakasi wa kutosha.
4. Chanjo Desemba wakati wao wameshachanjwa - fyongo!
5. Nk

Yako mengi mkuu.
 
Hapo mwisho mkuu kuna mambo inabidi ayarekebishe:



1. Kauli yake ya uchumi kwanza ina ukakasi.
2. Kodi mafuta na tozo uzalendo ukakasi mwingine.
3. Kutokomaa na issue za CAG ukakasi wa kutosha.
4. Chanjo Desemba wakati wao wameshachanjwa - fyongo!
5. Nk

Yako mengi mkuu.

Kweli kamanda, hapo hata mimi naunga mkono maoni yako, ongezea na katiba mpya itapendeza zaidi
 
Madelu ni nani ?

Yule mwenzako anayetutaka tuwe wazalendo zaidi kwa kumgharimia yeye kwa ajili ya chanjo na marupurupu yote. Huku wanawe wakisoma ile shule ambayo kidato cha sita ni #2 kitaifa.
 
Yule mwenzako anayetutaka tuwe wazalendo zaidi kwa kumgharimia yeye kwa ajili ya chanjo na marupurupu yote. Huku wanawe wakisoma ile shule ambayo kidato cha sita ni #2 kitaifa.
Simjui na machanjo yenu hatuyataki
 
Simjui na machanjo yenu hatuyataki

Ni hiyo ngwamba hapo:

IMG_20210716_173849_738.jpg


Ilipo ilikwisha chanjwa kwa gharama zetu. Inatuitisha uzalendo zaidi.
 
Back
Top Bottom