Corona: Chanjo yathibitika ni mkombozi

Hakuna aliyekuzuia wee ukitaka nenda kapate chanjo,.

Mambo ya kushauriana kuhusiana na huu ugonjwa wapi na wapi mburula wewe?

Hii ngoma kila mtu na lwake. Pambana na hali yako jombi. Kama ambavyo serikali anapambana na lwake.

Kwani umemsikia serikali akitegemea kupata kodi kwetu tena?

Ninapopambana na yangu sina haja na ushauri wako. Ushauri peleka Lumumba!
 
Jiwe atapinga.

Hapo atakuwa na maumivu makali sana na hata kufa kwa kihoro.

Sala zake hizi dawa zisiwe na mafanikio kabisa.

Katika wachawi, mtu wa namna hiyo kwa hakika ni baba lao.
 
Hapo atakuwa na maumivu makali sana na hata kufa kwa kihoro.

Sala zake hizi dawa zisiwe na mafanikio kabisa.

Katika wachawi, mtu wa namna hiyo kwa hakika ni baba lao.
Taifa zima linajua mchawi wetu ni nani lakini sasa namna ya kumshugulikia ndipo kila mtu anaogopa.
 
Taifa zima linajua mchawi wetu ni nani lakini sasa namna ya kumshugulikia ndipo kila mtu anaogopa.

Huyu ni wa kumtolea uvivu tu.

Kusubiri kufa ili kumfurahisha nduli mmoja siyo uchaguzi wenye tija yoyote.
 
Mabeberu hawatupendi, jiwe kasema tusiwasikilize.
Tangu lini mzungu akawana upendo na Africa??? Udhaifu wetu ndo silaha anayoitumia kutu tumia atakavyo!!! sijui lini tutatoka kwye kitanzi hiki!! Tuna ishi kwa kufuata upepo.
 
Mungu anatuletea wepesi wa KUFA binadamu tunaukataa sijui hata tupoje,.

Usishangae buji unampango wa kuishi milele.

Napendekeza tumsaidie Mungu kwa kufunga mahospitali na kuacha kuagiza madawa toka kwa beberu.

Kwanza mabeberu na dawa zao wanatuchelewesha kwenda kwa Mungu.
 
KWANINI umeanza kuisifia israel?
Israel na kupiga kwao hatua imeusika vipi na maada yako?

Au na huku ushaanza mchezo wa kama YouTube? .

Nimeanza hivyo ili kuonyesha taifa hili la Mungu liliotutangulia mno, ambalo wala hata halijatengeneza chanjo yake lenyewe, linatumia chanjo zilizopo na kwa hakika limezivulia kofia!

Sembuse sisi na ile mishamba ya pale Lumumba?
 
acheni porojo.kapige nyungu Kwanza.

Kwenye nyungu namba ziko je?

Wangapi walipiga nyungu ikawasaidia kwa kiasi gani?



Au ni zile ramli za kwetu usukumani tu ambazo hazijawahi kuwaacha mabibi, wazee na mazeruzeru salama?
 
Hizi ni akili kisoda...chanjo imepatikana wabantu wanaipinga na kuipiga teke kabisa wakati hawajaifanyia research yoyote...je, mtu huyu utamweka kundi lipi? Kufurahia vifo vikiendelea kuzidi ama nini!!! Mtu huyu atambue kuwa corona ipo na haichagui wa kumpiga.
 
Ni Jambo jema, Ila nadhani sisi tutapumua kama testing ya Afrika Kusini itakuwa positive sana sababu probability ya changamoto yetu kuwa kama Changamoto ya Afrika Kusini ni kubwa.

Changamoto ya Israel nadhani ni tofauti.
 
Jambo jema sana,wakisha chanjana wote tusisikie tena taarifa waliochanjwa wamepata Covid.
 
Nimeanza hivyo ili kuonyesha taifa hili la Mungu liliotutangulia mno, ambalo wala hata halijatengeneza chanjo yake lenyewe, linatumia chanjo zilizopo na kwa hakika limezivulia kofia!

Sembuse sisi na ile mishamba ya pale Lumumba?
Wee kijana acha kukufuru we!
Unailinganisha Tanzania na mataifa ya kipumbavu?
 

Hao ndiyo wachawi wenyewe.
 

Uhakika wa chanjo huchukua miaka mingi. Na hiyo 94% ya uwezo wa kuthibiti, kitakwimu ya kitiba, ni ndogo sana kwa ugonjwa unaoambukiza watu wengi kwa wakati mmoja. Ina maana kuwa 6% ya waliopewa hiyo chanjo wakaamini wako vizuri wataendelea kuambukiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…