Corona: Chanjo yathibitika ni mkombozi

Corona: Chanjo yathibitika ni mkombozi

Uhakika wa chanjo huchukua miaka mingi. Na hiyo 94% ya uwezo wa kuthibiti, kitakwimu ya kitiba, ni ndogo sana kwa ugonjwa unaoambukiza watu wengi kwa wakati mmoja. Ina maana kuwa 6% ya waliopewa hiyo chanjo wakaamini wako vizuri wataendelea kuambukiza.

Bado bila hata ya aibu mnaendelea na hizi ngonjera za kijinga?

Hivi nyungu, maombi, bupeji, covido, sijui nimcaf, ni effective kwa % ngapi?

Achieni wataalamu wa afya hii ngoma si saizi yenu.

Kujifanya bora kwa lolote hata zaidi ya Israel ni uzwazwa uliopitiliza.

Tuoneeni huruma wazee, wenye magonjwa mengine na wafanyakazi mahospitalini.

Mikono yenu imejaa damu za wahanga wa ugonjwa huu wauaji wakubwa nyie.
 
Linapotokea janga hasa la ugonjwa kama huu unao ambukiza kwa njia ya hewa,ni muda wa mataifa kushirikiana na kutafuta ufumbuzina wa tatizo na sio muda wakutupiana lawama,kama watu kulaumiana huu ugonjwa umeanzaje? umetoka wapi? hizi lawama zisubiri kwanza tutafute solution ya hili janga.

Nobody is safe until everyone is safe.
Mkuu huoni kama sisi ndio tunajitenga na jumuiuaza kimataifa katika kukabiliana na huu ugonjwa?
 
Inaonekana sehemu nyingi katupeleka chaka bila sisi kujua hili la ugonjwa na jinsi anavyolichukulia nimetoa nyota zote anebaki na V tuu...
 
Mwidiweeeee,,

samahani mi nahs tutumie dawa inayoitwa
" tumbaku ya mchungaji" (itabhe dyumungele) hii kitu ukiipekecha na kuinusa yaan hata kama unamafua yaaaje yanapona, kwahyo bas naomba kuwasilisha.


Ndugu zangu waha nadhani tumeelewana.
 
Kwanini nichukie watu kufa ikiwa kifo ni mpango wa Mungu?

Mungu anatuletea wepesi wa KUFA binadamu tunaukataa sijui hata tupoje,.
Ungerekebisha hapo kidogo ingekaa vizuri zaidi:

"Mungu anatuletea wepesi wa KUFA akisaidiwa na jiwe, binadamu tunaukataa sijui hata tupoje,."

Hapo kwenye bold pana husika.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom