Corona: Chanjo yathibitika ni mkombozi


Bado bila hata ya aibu mnaendelea na hizi ngonjera za kijinga?

Hivi nyungu, maombi, bupeji, covido, sijui nimcaf, ni effective kwa % ngapi?

Achieni wataalamu wa afya hii ngoma si saizi yenu.

Kujifanya bora kwa lolote hata zaidi ya Israel ni uzwazwa uliopitiliza.

Tuoneeni huruma wazee, wenye magonjwa mengine na wafanyakazi mahospitalini.

Mikono yenu imejaa damu za wahanga wa ugonjwa huu wauaji wakubwa nyie.
 
Mkuu huoni kama sisi ndio tunajitenga na jumuiuaza kimataifa katika kukabiliana na huu ugonjwa?
 
Inaonekana sehemu nyingi katupeleka chaka bila sisi kujua hili la ugonjwa na jinsi anavyolichukulia nimetoa nyota zote anebaki na V tuu...
 
Mwidiweeeee,,

samahani mi nahs tutumie dawa inayoitwa
" tumbaku ya mchungaji" (itabhe dyumungele) hii kitu ukiipekecha na kuinusa yaan hata kama unamafua yaaaje yanapona, kwahyo bas naomba kuwasilisha.


Ndugu zangu waha nadhani tumeelewana.
 
Kwanini nichukie watu kufa ikiwa kifo ni mpango wa Mungu?

Mungu anatuletea wepesi wa KUFA binadamu tunaukataa sijui hata tupoje,.
Ungerekebisha hapo kidogo ingekaa vizuri zaidi:

"Mungu anatuletea wepesi wa KUFA akisaidiwa na jiwe, binadamu tunaukataa sijui hata tupoje,."

Hapo kwenye bold pana husika.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…