#COVID19 Corona: Hatimaye Rais Museveni asalimu amri, apinga ufanisi wa curfew za usiku, aungana na Magufuli

#COVID19 Corona: Hatimaye Rais Museveni asalimu amri, apinga ufanisi wa curfew za usiku, aungana na Magufuli

Hizi ndizo huwa naita akili za kindezi. Unataka ku-suggest kuwa mpaka uwe na ndugu au jirani alikufa kwa korona ndiyo utaamini kuwa ipo? This is too low! Hata kina babu wa vijijini miaka ya 1920 walikuwa na ufahamu mpana kuliko huu!
Sijakataa kuwa corona ipo, ila haijatuathiri kwa kiasi ambacho mnataka iaminike. Mimi ninaishi bunju, interaction ya watu kuanzia sokoni, kwenye vyombvya usafiri ni kubwa sana lakini ukipita sokoni wale akina mama wanauza vitu ila siku ni wale wale japo wana interact sana na watu, hawana bbarakoa wala sanitizer lakini hawajafa. Mtaani kwangu hakuna mtu ninayemfahamu aliyekufa. Rafiki zangu wote ninaowafahamu wawe mkoani au mitaa wilaya nyingine hakuna aliyekufa wala kuniambia ndugu yake kafa kwa corona.
Siyo mimitu hata nikiwauliza wenzangu majibu ndiyo hayo hayo. Sasa kwa extend tuliyoambiwa corona inaua, na atua hizi ambazo ni sawa hatukuchukua hhatua lazima kwa namna moja ama nyingine hata mimi ningeshasikia effect yake hata wewe pia.
Assume ingekuwa ebola halafu tuendelee na maisha kama tunavyoendelea ni kweli maiti zingeokotwa barabarani.
hivyo kwa maihsa yalivyo, njia za magufuli zilikuwa sawa kkuliko ambavyo angetufungia ndani maana kelele za njaa na watu kufa wa njaa zingekuwa nyingi lakini sasa kelele hakuna
 
Sijakataa kuwa corona ipo, ila haijatuathiri kwa kiasi ambacho mnataka iaminike. Mimi ninaishi bunju, interaction ya watu kuanzia sokoni, kwenye vyombvya usafiri ni kubwa sana lakini ukipita sokoni wale akina mama wanauza vitu ila siku ni wale wale japo wana interact sana na watu, hawana bbarakoa wala sanitizer lakini hawajafa. Mtaani kwangu hakuna mtu ninayemfahamu aliyekufa. Rafiki zangu wote ninaowafahamu wawe mkoani au mitaa wilaya nyingine hakuna aliyekufa wala kuniambia ndugu yake kafa kwa corona.
Siyo mimitu hata nikiwauliza wenzangu majibu ndiyo hayo hayo. Sasa kwa extend tuliyoambiwa corona inaua, na atua hizi ambazo ni sawa hatukuchukua hhatua lazima kwa namna moja ama nyingine hata mimi ningeshasikia effect yake hata wewe pia.
Assume ingekuwa ebola halafu tuendelee na maisha kama tunavyoendelea ni kweli maiti zingeokotwa barabarani.
hivyo kwa maihsa yalivyo, njia za magufuli zilikuwa sawa kkuliko ambavyo angetufungia ndani maana kelele za njaa na watu kufa wa njaa zingekuwa nyingi lakini sasa kelele hakuna
Kwanza niseme nadhani hujaelewa hoja yangu na umeingia kubishana tu. Ngoja nitakufafanulia. Kitu ambacho ni dhahiri ni kuwa corona haikuwa na madhara kwa nchi za Afrika kama ilivyokuwa Ulaya na USA. Hata India japo mpaka sasa kuna maambukizi mengi lakini vifo bado ni vichache sana ukilinganisha na population. Mpaka sasa wataalam bado hawajajua sababu hasa ni kwanini. Kuna wanaosema labda ni kwas sababu population ya Afrika haina wazee wengi nk. Sasa ngoja nikufafanulie Hoja yangu ni hii: Corona ilipoingia Tanzania rais wetu alifanya jambo moja la kijinga sana. Alihamasisha wajazeni kwenye nyumba za Ibada, eti kuomba Mungu atuepushe na Corona. Kwa njia hii aliongeza maambukizi na usaabaaji wa virus na kusababisha nchi yetu ikumbwe na vifo ambavyo vingeweza kuzuilika. Mimi ninafahamu watu watatu ambao walifariki kwa corona kipindi cha April mpaka May ambacho kulitokea vifi vingi na serikali ikaficha. April mwanzoni niliongea na jamaa mmoja dr mmoja ambaye alikuwa front line kwenye ku-deal na corona na akanimbia hali ni mbaya na kulikuwa tayari na vifo vya watu 800. Hii ilikuwa ni kwa Dar tu. Baada ya rais kuona kosa alilofanya akaingilia upimaji na na utoaji wa data za wagonjwa na vifo. Japo sasa hivi hali imetulia sana kulinganisha na kipindi hicho lakini bado corona ipo na vifo vichache vinaendelea kutokea. Wiki hii hii kuna mama mmoja msataafu amefariki kwa corona. Kwa hiyo vifo vilivyotokea Tanzania ukilinganisha na Kenya au Uganda ni vingi na vingeweza kuepukwa (siyo kwa lockdown) bali kwa viongozi hasa rais kuzuia mikusanyiko isiyo ya lazima kwa kipindi hicho kama ibada.
 
Kwanza niseme nadhani hujaelewa hoja yangu na umeingia kubishana tu. Ngoja nitakufafanulia. Kitu ambacho ni dhahiri ni kuwa corona haikuwa na madhara kwa nchi za Afrika kama ilivyokuwa Ulaya na USA. Hata India japo mpaka sasa kuna maambukizi mengi lakini vifo bado ni vichache sana ukilinganisha na population. Mpaka sasa wataalam bado hawajajua sababu hasa ni kwanini. Kuna wanaosema labda ni kwas sababu population ya Afrika haina wazee wengi nk. Sasa ngoja nikufafanulie Hoja yangu ni hii: Corona ilipoingia Tanzania rais wetu alifanya jambo moja la kijinga sana. Alihamasisha wajazeni kwenye nyumba za Ibada, eti kuomba Mungu atuepushe na Corona. Kwa njia hii aliongeza maambukizi na usaabaaji wa virus na kusababisha nchi yetu ikumbwe na vifo ambavyo vingeweza kuzuilika. Mimi ninafahamu watu watatu ambao walifariki kwa corona kipindi cha April mpaka May ambacho kulitokea vifi vingi na serikali ikaficha. April mwanzoni niliongea na jamaa mmoja dr mmoja ambaye alikuwa front line kwenye ku-deal na corona na akanimbia hali ni mbaya na kulikuwa tayari na vifo vya watu 800. Hii ilikuwa ni kwa Dar tu. Baada ya rais kuona kosa alilofanya akaingilia upimaji na na utoaji wa data za wagonjwa na vifo. Japo sasa hivi hali imetulia sana kulinganisha na kipindi hicho lakini bado corona ipo na vifo vichache vinaendelea kutokea. Wiki hii hii kuna mama mmoja msataafu amefariki kwa corona. Kwa hiyo vifo vilivyotokea Tanzania ukilinganisha na Kenya au Uganda ni vingi na vingeweza kuepukwa (siyo kwa lockdown) bali kwa viongozi hasa rais kuzuia mikusanyiko isiyo ya lazima kwa kipindi hicho kama ibada.
Hizo ni hearsay hakuna mwenye ushahidi. Kila mtu anakuja niliambiwa niliambiwa ukimuuliza ulishuhudia anabaki niliambiwa.
Hao Uganda na Kenya kwameasures walizochukua corona imeisha? Sisi kila siku tuko sokoni na bado tupo tu mzee na ninaowafahamu bado wapo tena kuna watu kila siku wako pale sokoni kwenye mikusanyiko wanauza samaki wansuguana na watu lakini bado wapo.
Moja wapo ya maeneo ambayo waliokuwa wanadai corona imesambaa sana ni boko na bunju mimi ninaishi huku lakini sijaona hicho kitu.
 
Hizo ni hearsay hakuna mwenye ushahidi. Kila mtu anakuja niliambiwa niliambiwa ukimuuliza ulishuhudia anabaki niliambiwa.
Hao Uganda na Kenya kwameasures walizochukua corona imeisha? Sisi kila siku tuko sokoni na bado tupo tu mzee na ninaowafahamu bado wapo tena kuna watu kila siku wako pale sokoni kwenye mikusanyiko wanauza samaki wansuguana na watu lakini bado wapo.
Moja wapo ya maeneo ambayo waliokuwa wanadai corona imesambaa sana ni boko na bunju mimi ninaishi huku lakini sijaona hicho kitu.
Siyo hearsay. Ninasema kitu ambacho nina uhakika nacho kwa asilimia 99%. Sikulazimishi uamini kwani najua Wabongo wengi ni watu wa kutafuniwa wao wanabaki kumeza tu. Badala ya kubisha fanya utafiti wako kama unataka kujua ukweli. Nenda kwenye makaburi yalio active uulizie wale wahudumu (kwa kutumia akili ili wasiogope) hali ilivyokuwa hicho kipindi hicho, wakati maiti zinazikwa usiku. Halafu argument yako kuwa Kenya na Uganda walichukuwa hatua na corona haijaisha inaonyesha ulivyo mweupe kichwani kuhusu huu ugonjwa? Ndugu, wewe unafikiri kuwa walikuwa wanachukuwa hatua walifanya hivyo ili corona iishe? Nipo tayari kukupa somo kama unataka ni kwanini walichukuwa hatua. Na mwisho jaribu kutumia akili. Siyo kila mtu ambaye alikuwa kwenye mkusanyiko alikufa au kuugua hata kama alikuwa mzee.
 
Siyo hearsay. Ninasema kitu ambacho nina uhakika nacho kwa asilimia 99%. Sikulazimishi uamini kwani najua Wabongo wengi ni watu wa kutafuniwa wao wanabaki kumeza tu. Badala ya kubisha fanya utafiti wako kama unataka kujua ukweli. Nenda kwenye makaburi yalio active uulizie wale wahudumu (kwa kutumia akili ili wasiogope) hali ilivyokuwa hicho kipindi hicho, wakati maiti zinazikwa usiku. Halafu argument yako kuwa Kenya na Uganda walichukuwa hatua na corona haijaisha inaonyesha ulivyo mweupe kichwani kuhusu huu ugonjwa? Ndugu, wewe unafikiri kuwa walikuwa wanachukuwa hatua walifanya hivyo ili corona iishe? Nipo tayari kukupa somo kama unataka ni kwanini walichukuwa hatua. Na mwisho jaribu kutumia akili. Siyo kila mtu ambaye alikuwa kwenye mkusanyiko alikufa au kuugua hata kama alikuwa mzee.
Hizo measures zimesaidia? Kama hizo measures hazikulenga kuumaliza ugonjwa basi hazina maana unless waendelee kujifungia maana wakitoka tu utasambaa.
We endelea kujifungia. Ukweli ni kwamba Maufuli alicheza bahati nasibu na amekula.
 
Hizo measures zimesaidia? Kama hizo measures hazikulenga kuumaliza ugonjwa basi hazina maana unless waendelee kujifungia maana wakitoka tu utasambaa.
We endelea kujifungia. Ukweli ni kwamba Maufuli alicheza bahati nasibu na amekula.
Measures hazikuwa na lengo la kumaliza ugonjwa ndugu yangu. Measures lengo lake kubwa kabisa lilikuwa ni:
1. Kufanya hospital zisielemewe na wagonjwa wengi kwa wakati mmoja. Sehemu zilizoathirika kama Ulaya na USA wangeachia watu hovyo bila kufanya chochote wangekufa watu wengi ambao kwa hali ya kawaida wangepona. Na hili hasa ndilo lilifanya Tanzania ipoteze watu wengi kuliko nchi nyingi za Afrika kwa sababu kuna wakati watu walikuwa hawapati huduma za kwa sababu vituo vingi vilikuwa vimeelemewa.
2. Measures vilevile zilikuwa na lengo la kufanya watu wengi wasiugue mapema ili wataalam wapate muda wa kujua hawa virus kwa undani na namna sahihi ya kupambana nao kimatibabu
3. Measures zilikuwa na lengo la kuvuta muda ili watu wengi wasiugue na kuwapa wataalam muda wa kutafuta janjo.
Lengo limetimia na sehemu nyingi watu hawakuambukizwa au kufariki kama ambavyo ingekuwa bila hatua kuchukuliwa. Sasa hivi wataalam wamewajua virus kuliko mwanzoni na maambukizi yamepungua. Ndiyo maana wanaondoa vikwazo walivyoweka taratibu lakini wamesema hawatasita kuvirudisha kama hali itakuwa mbaya. Kwa mfano USA kuna majimbo jana yamerudisha tena baadhi ya measures kwa sababu wameona virus wanaanza kuenea tena kwa haraka. Hali itakuwa hii hii mpaka itakapopatika chanjo ambayo wamesema huenda mwishoni wa mwaka au mwanzoni mwa mwaka ijayo itakuwa tayari.
Sasa ukiniambia mjinga mmoja ambaye alidharau ushauri wa wataalam na wakafa watu ambao wangeweza kupona kama angefuata (japo siyo idadi kubwa sana) alicheza bahati nasibu na amekula nitakudharau sana. Unajua impact yake kama wangekufa watu wengi sana? Unataka kutuaminisha kuwa maisha ya binadamu yanachezewa bahati nasibu? You must be mentally unstable dear.
 
Back
Top Bottom