Corona: Hongereni UDSM mmefanya lilo bora

Corona: Hongereni UDSM mmefanya lilo bora

Hivi mnaotaka Serikali iseme kuna CORONA mnaotaka iweje?baadhi wanataka Serikali ikiri na kuchukua hatua Kali km lockdown na tuletewe misaada/kukopeshwa chanjo.Hatua ya Serikali kutokukir ni bora zaid.KAMA mtu anataka Karantin ajiweke mwenyewe .
Tunataka iseme ukweli. Kwamba wananchi wachukue tahadhari kwa kuwa mdudu yupo na serikali haina mpango wa kuweka mambo ya lockdown. Sasa serikali inaposema haipo kuna vichwa panzi vinaamini hivyo... havichukui tahadhari basi inakuwa tabu tupu.

Tangaza mdudu yupo na hakuna lockdown wala chanjo ya mabeberu... Baaas watu wachape kazi kwa tahadhari.
 
Hivi mnaotaka Serikali iseme kuna CORONA mnaotaka iweje?baadhi wanataka Serikali ikiri na kuchukua hatua Kali km lockdown na tuletewe misaada/kukopeshwa chanjo.Hatua ya Serikali kutokukir ni bora zaid.KAMA mtu anataka Karantin ajiweke mwenyewe .
sasa ww nani anailazimisha serikali iseme? nani amesema anataka lockdown?

Nchi yetu haina uwezo wa kuhudumia watu wakiaa lockdown.

Watu wa chukue tahadhari kwa afya zao , wasisubiri serikali iseme.
 
Adhibiti vipi mikusanyiko? Yaani tusiende kariakoo kununua bidhaa? Tusipande daladala? Tupande gari ya baba yako? Kwanza analo ?
Suala ka kujikinga ni la mtu binafsi, mbona kondomu unavaa? Uliwahi kuvalishwa? Kila mtu achukue hatua zake mwenyewe, serikali inajia maisha ya watanzania.. ikichukua hatua za lockdown na kudhibiti mikusanyiko watu wataishije? Niambie ni wapi walichukua hizo hatua na wakafanikiwa. Ukijibu haya maswali utaheshimika. Lakini ukishindwa utakua mpumbavu kama walivyo wapumbavu wengine

Sent from my Android using JamiiForums mobile app

IMG_20210204_173856_570.jpg


Heshima kwako mzee Mshana Jr. Ama kwa hakika wewe ni gwiji!
 
Napata hisia utakuwa mdau kwenye hii sekta ya afya.
Sasa unahitaji fursa ya kupiga pesa kupitia corona.
Kila ukiamka wewe na corona tu, umekaa kuwatisha watu.
Hii ni vita nasi tumeamua kupambana na ugonjwa huu kwa namna tunayoona sisi inafaa, sio tupangiwe na hao mabosi wenu.

Mwisho ANZISHA GAZETI LAKO LIITE CORONA HUU UWANJA WA JF HAUKUTOSHI.
Mkuu huyo jamaa ana matatizo ya akili au ya kisaikolojia. Huu upumbavu wake aliuanza mwaka jana mwezi wa nne akililia lockdown. Mpaka leo haelewi alikuwa analilia upuuzi. Sasa hivi anaiwaza Corona 24/7, kama ni mwanamke nina wasiwasi ana mimba. Tumuombee pepo la kuiwaza CORONA masaa yote limtoke.
 
Kwahiyo UDSM wameamua kupingana na wizara ya afya? Naibu waziri kasema hakuna Corona Tanzania.

Naona sasa inaibuka vita ya wanasiasa na wataalam.
🤣🤣corona ipo duniani kote ila sisi tumejiongeza tu ili isije ikaingia hapa nchini kwetu😂😅
 
Tunataka iseme ukweli. Kwamba wananchi wachukue tahadhari kwa kuwa mdudu yupo na serikali haina mpango wa kuweka mambo ya lockdown. Sasa serikali inaposema haipo kuna vichwa panzi vinaamini hivyo... havichukui tahadhari basi inakuwa tabu tupu.

Tangaza mdudu yupo na hakuna lockdown wala chanjo ya mabeberu... Baaas watu wachape kazi kwa tahadhari.
Kwahiyo mambo yaendelee kuwa sasa tu ila watu wachukue tahadhari?
 
Mkuu huyo jamaa ana matatizo ya akili au ya kisaikolojia. Huu upumbavu wake aliuanza mwaka jana mwezi wa nne akililia lockdown. Mpaka leo haelewi alikuwa analilia upuuzi. Sasa hivi anaiwaza Corona 24/7, kama ni mwanamke nina wasiwasi ana mimba. Tumuombee pepo la kuiwaza CORONA masaa yote limtoke.
Kipindi cha kampeni aliacha kwanza akawa bize na mikutano ya kampeni ila baada ya uchaguzi kuisha ndio karudi tena,wenyewe wanaamini kipindi kile cha kampeni corona ilipungua.
 
Hivi mnaotaka Serikali iseme kuna CORONA mnaotaka iweje?baadhi wanataka Serikali ikiri na kuchukua hatua kali km lockdown na tuletewe misaada/kukopeshwa chanjo.Hatua ya Serikali kutokukir ni bora zaid.KAMA mtu anataka Karantin ajiweke mwenyewe.
Maamuzi ya serikali ni kama Mwanaume aliyefumaniwa hivi. Anakataa! Maana anajua gharama za kukubali fumanizi!

Ndiposa JK anahusika "....za kuambiwa changanya na zako..."
 
Ningewapongeza zaidi kama wangefunga chuo kwa mda mpaka pale itakapojiridhisha kuwa tuko salama kama nchi vinginevyo bado siwaelewi kama taasisi kuu ya wasomi kutoa vipeperushi vya kiwoga woga kama hichi.
Tatizo hakuna mwenye kutaka ule usumbufu unaopatikana mnapopambana na hii corona,watu wanaona usumbufu wanaoupata majirani zetu kama kuzuia baadhi ya mambo ambayo mengine yanagusa ajira za watu mfano kenya wasanii wao hao mapambano ya coro imewaathiri kazi zao, Wenzet Uganda ndio wanataka kufungulia shule ila sie kitambo tu tumefungua mashule toka mwaka jana.

Sasa unakuta mtu bongo anapiga kelele za corona ila anataka mambo yake yawe hivi hivi yasiathirike kwa sababu ya kuwepo corona hataki usumbufu wanaopitia wenzetu.
 
Hivi mnaotaka Serikali iseme kuna CORONA mnaotaka iweje?baadhi wanataka Serikali ikiri na kuchukua hatua kali km lockdown na tuletewe misaada/kukopeshwa chanjo.Hatua ya Serikali kutokukir ni bora zaid.KAMA mtu anataka Karantin ajiweke mwenyewe.
Kwa nini akili zako hazina uchanya? Kwani serikali ikitangaza kuna korona lazima lockdown iwepo? Mbona vyandarua tunapewa bure kwa nini isiwe chanjo?
 
Waziri wa afya ni mropokaji tu
Kwahiyo UDSM wameamua kupingana na wizara ya afya? Naibu waziri kasema hakuna Corona Tanzania.

Naona sasa inaibuka vita ya wanasiasa na wataalam.

Sisi raia wema na wapenzi wasikilizaji tunaendelea kuufanyia kazi ushauri wa Rais Mstaafu JK..."Akili za kuambiwa, changanya na zako"
 
Napata hisia utakuwa mdau kwenye hii sekta ya afya.
Sasa unahitaji fursa ya kupiga pesa kupitia corona.
Kila ukiamka wewe na corona tu, umekaa kuwatisha watu.
Hii ni vita nasi tumeamua kupambana na ugonjwa huu kwa namna tunayoona sisi inafaa, sio tupangiwe na hao mabosi wenu.

Mwisho ANZISHA GAZETI LAKO LIITE CORONA HUU UWANJA WA JF HAUKUTOSHI.



IMG_20210204_173856_570.jpg
 
COVID-19 will never end....

Zaidi zaidi yataibuka mengine makubwa zaidi yake...

It aboit time now, tujifunze namna ya kuishi nayo tu...
 
Kwahiyo UDSM wameamua kupingana na wizara ya afya? Naibu waziri kasema hakuna Corona Tanzania.

Naona sasa inaibuka vita ya wanasiasa na wataalam.

Sisi raia wema na wapenzi wasikilizaji tunaendelea kuufanyia kazi ushauri wa Rais Mstaafu JK..."Akili za kuambiwa, changanya na zako"
Ile dawa Gwajima aloizindua inatibu tezi dume?
 
Ile dawa Gwajima aloizindua inatibu tezi dume?

Wewe hujui kuwa si lazima inayosemekana ni dawa itibu hayo anayejiita mzinduzi anasema inatibu?

Kwani ile ya Madagascar haikuzinduliwa? Kwani yaliyosemekana inatibu hayakusemwa? Mbona baada ya kuifuata kwa mbwembwe walioileta waliufyata kama hawakuwahi hata kuisikia?

Vipi mzee mzima babu wa loliondo? Kwani hakuwa na dawa na orodha ya alivyokuwa akitibu?

Kamwulize jiwe na wenzao walioonekana wakifakamia vikombe vya jero jero kama maswahiba yao yaliyowafikisha huko kama yalitoweka, kwisha au hata kupata nafuu.

Nani asiyejua kuwa aliyesema za kuambiwa changanya na za kwako aliona mbali sana?
 
Back
Top Bottom