Corona: Huu ndio ukweli kwanini Kenya inaiombea mabaya Tanzania

Corona: Huu ndio ukweli kwanini Kenya inaiombea mabaya Tanzania

Kule twitter wameanza tena ile tabia ya kuiombea mabaya Tanzania,

Kuna huyu kazi yake ni kueneza uwongo kuhusu Tz utafikiri hatawahi kuvuka boda kuingia Tanzania,




Hivi muafrika unafaidika na nini kueneza uwongo kuhusu nchi nyingine ya Africa?

Baada ya viongozi wa kenya na wajinga wengine kuona kuwa Tanzania imefanikiwa pakubwa kwenye hili janga bila kuumiza raia yoyote kwa kutumia njia za kucopy zisizo endana na mazingira ya Africa yaani kafyu na aina yoyote ya lockdown wameanza kueneza uwongo kwa kusema eti mambo ni mabaya sana Tz,

Ila kuna baadhi ya wakenya wanaishi Tanzania ni mashahidi kuwa Tanzania ni shwari kabisa,

Wakenya wameumbwa kichuki chuki,wenyewe kwa wenyewe wanachukiana hatari,tusitegemee zuri lolote kutoka kwa jirani wa aina ile,Tanzania tumepakana na nchi 8 lakini kila leo ni kenya tu ndio awaishi kutuongelea mabaya,stupidy kunyan
 
Wewe unashabikiaga ujinga, hauwezi kukubali mapungufu as if CCM ni ufalme wa mbinguni[emoji23][emoji23][emoji23] wenzako wakikupinga unawakemea kishenzi.,[emoji23][emoji23][emoji23] with skewed reasoning[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unalazimisha lisilo kuwepo, yaani unaona maoni yako ni sahihi, fooled by ccm regime to not to think beyond what is displayed. Nenda shule usome 'Logic and critical thinking' itakusaidia kimawazo, na kukupa mtazamo mufti., you will argue with objectivity, not spewing subjective threads left right and centre[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], uko ovyo kimawazo. Pole kaka utapona.
Kwahiyo wenyekupinga serikali, wao ndio hawapo blind, ila wenye kuunga mkono Serikali ndio wapo blind sio?. Hahahaha
 
Vifo vinafichika vizuri mbona, haka kaugonjwa nchi nyingi kanaua less than 1% kwa vijana unategemea uone vifo vingi vya kushtua? Kumbuka nchi za Afrika zinaongoza kwa idadi ya vijana na watoto unlike nchi za nje ambazo zimejaa wazee, kwa hiyo sioni cha ajabu kuona watu wanaokufa ni wachache Afrika, ila haimaanishi hawafi na hivyo vifo havizuiliki, ni asilimia ndogo ukiangalia interms of asilimia ila still ni number kubwa ukilinganisha na population size. Watu wanaokufa na sababu nyingine kila siku ni wengi ndiyo maana tunaona kawaida tu. Ila iingekua tupiime kweli waliokufa na corona ni wangapi nina uhakiika Kenya tungekua tushawapita mbali sana.
Sasa nadhani unazungumza toka katika kichwa chako, huna ushahidi wowote wa kuweza kufunga mkono hoja zako.

Mara baada ya huu ugonjwa kuingia, uliona jinsi wabunge na watangazaji wa TBC na wakuu wa wilaya walivyokufa haraka haraka, na vifo vyao vilitangzwa, ina maana bado wabunge wanakufa lakini hawatangazwi?, bado watangazaji na watu wengine mashuhuri pamoja na viongozi wanaendelea kufa lakini hawatangazwi?, wewe mtaani kwenu wamekufa wangapi?.

Wacha kufikiria vitu bila kutumia akili. Jinsi Tanzania tunavyojiachia bila kuchukua tahadhari, tayari nyumba na familia zingekuwa zimepukutika, na enzi hizi za mitandao ya Kijamii, huwezi ficha vifo vya vingi. Kelele za wapinzani hakuna mtu angeweza kuzizuia.
 
Unaona hizi ni daalili/symptoms za schizophrenia or paranoia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], yaani mtu akitoa opinion yake binafsi hiyo kwako unaona ni chuki kisha unajumulisha eti "Kenya watu wana chuki chuki"[emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wengi wenyu humu mko ovyo kimawazo, inasikitisha sana! Duh!.,
Kaka get a life[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakenya wameumbwa kichuki chuki,wenyewe kwa wenyewe wanachukiana hatari,tusitegemee zuri lolote kutoka kwa jirani wa aina ile,Tanzania tumepakana na nchi 8 lakini kila leo ni kenya tu ndio awaishi kutuongelea mabaya,stupidy kunyan
 
Sasa nadhani unazungumza toka katika kichwa chako, huna ushahidi wowote wa kuweza kufunga mkono hoja zako.

Mara baada ya huu ugonjwa kuingia, uliona jinsi wabunge na watangazaji wa TBC na wakuu wa wilaya walivyokufa haraka haraka, na vifo vyao vilitangzwa, ina maana bado wabunge wanakufa lakini hawatangazwi?, bado watangazaji na watu wengine mashuhuri pamoja na viongozi wanaendelea kufa lakini hawatangazwi?, wewe mtaani kwenu wamekufa wangapi?.

Wacha kufikiria vitu bila kutumia akili. Jinsi Tanzania tunavyojiachia bila kuchukua tahadhari, tayari nyumba na familia zingekuwa zimepukutika, na enzi hizi za mitandao ya Kijamii, huwezi ficha vifo vya vingi. Kelele za wapinzani hakuna mtu angeweza kuzizuia.
I'm done reasoning with you, kichwani mwako umejaza uchama wakati naongea generally, sina chama mimi sio kama nyie mmekaa mnashabikia mnapraise watu kama miungu.
So in short nimekuweka ignore list from now, don't bother replying coz sitoiona
 
W
Unaona hizi ni daalili/symptoms za schizophrenia or paranoia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], yaani mtu akitoa opinion yake binafsi hiyo kwako unaona ni chuki kisha unajumulisha eti "Kenya watu wana chuki chuki"[emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wengi wenyu humu mko ovyo kimawazo, inasikitisha sana! Duh!.,
Kaka get a life[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Why kenya ndio wawe kinara wa kueneza mabaya,ina maana Tanzania imepakana na kenya tu,kwanini msideal na mambo yenu na mkaiacha Tanzania ideal na mambo yake,yan media zote za kenya sasa hivi first priority ya habari zao ni magufuli na Tanzania tu!shame on u shetani
 
Weka evidence nyambaf![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ni nini inawatuma huku Kenyan news forum? Hesabu uzi mulizofungua mukiponda Kenya, hiyo perspective is influenced by skewed information mlio nayo kuhusu Kenya. Je wewe umeona mkenya amefungua uzi kwenye Tanzanian news section ama kwenye jukwaa la hoja mchanganyiko?., Kenya inawatesa kimawazo, avoid mpone, la sivyo mnafukuza upepo tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
Nenda hesabu threads zenye wenzako wamefungua humu, sisi nikujibu tu, kisha wenyewe mnakerwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ndio uweke evidence kuwa watanzania wanakufa sana kwa corona,

Yaani mnatumia nguvu nyingi kuichafua Tanzania na kueneza kila aina ya uongo badala ya kutumia huo muda kupambana na corona,


Hii ni forum ya Tanzania na inamilikiwa na Mtanzania huwezi kunipangia pa kuingia,

Mko busy kuitakia mabaya Tanzania lakini cha ajabu hayo mabaya yanawarudia ninyi.
 
I'm done reasoning with you, kichwani mwako umejaza uchama wakati naongea generally, sina chama mimi sio kama nyie mmekaa mnashabikia mnapraise watu kama miungu.
So in short nimekuweka ignore list from now, don't bother replying coz sitoiona
Wewe mjinga kwenye familia yako kuna wagonjwa wangapi wa corona?
 
Serikali yako imewashika wengi kimawazo, kama health officials hawawezi tangaza their findings wadaku wa mitandao kama wewe mtapata wapi ya ku post apart from selected positives za tz?, kisha serikali imewaamimisha eti testing ni ovyo kupitia kupima ma paipai na petroli (pedestrian reasoning, unscientific), so wengi mumekaa kizombie tu, can't think outside the box. Ndio maana wewe mtazamo wako ni ule ule wenye ccm has propagated, see your life now![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unanifurahisha sana, yaani mtu mzima anaeza kua fooled hivi kirahisi![emoji23][emoji23]
Sasa nadhani unazungumza toka katika kichwa chako, huna ushahidi wowote wa kuweza kufunga mkono hoja zako.

Mara baada ya huu ugonjwa kuingia, uliona jinsi wabunge na watangazaji wa TBC na wakuu wa wilaya walivyokufa haraka haraka, na vifo vyao vilitangzwa, ina maana bado wabunge wanakufa lakini hawatangazwi?, bado watangazaji na watu wengine mashuhuri pamoja na viongozi wanaendelea kufa lakini hawatangazwi?, wewe mtaani kwenu wamekufa wangapi?.

Wacha kufikiria vitu bila kutumia akili. Jinsi Tanzania tunavyojiachia bila kuchukua tahadhari, tayari nyumba na familia zingekuwa zimepukutika, na enzi hizi za mitandao ya Kijamii, huwezi ficha vifo vya vingi. Kelele za wapinzani hakuna mtu angeweza kuzizuia.
 
I'm done reasoning with you, kichwani mwako umejaza uchama wakati naongea generally, sina chama mimi sio kama nyie mmekaa mnashabikia mnapraise watu kama miungu.
So in short nimekuweka ignore list from now, don't bother replying coz sitoiona
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]well done kaka. Wewe ni mmoja wa kipekee among Tanzanians. Huyo wachana na yeye., ako na hasira isiyo kua na msingi.[emoji23]
 
Wakenya wameumbwa kichuki chuki,wenyewe kwa wenyewe wanachukiana hatari,tusitegemee zuri lolote kutoka kwa jirani wa aina ile,Tanzania tumepakana na nchi 8 lakini kila leo ni kenya tu ndio awaishi kutuongelea mabaya,stupidy kunyan
Unajua serikali yao imefeli pakubwa kwenye haya mapambano ndio maana sasa hivi wanatumia nguvu nyingi kueneza uwongo kuhusu Tz ili wananchi wao waone mambo ni mabaya Tanzania maana wakenya wengi wameanza kuona Tanzania imefanikiwa pakubwa bila kuumiza raia yoyote.
 
Anayefikiria tunafanya vizuri kuliko Kenya anajidanganya, watz wanakufa kimya kimya tu sema haitangazwi, serikali haina muda huo wao washaamua liwalo na liwe. Wanaopata haka kaugonjwa na kufa wapo wengi tu, wapo wengi zaidi wanaopona. Tungekua tuna vipimo kama Kenya ungeona namba zetu ambavyo zingekua juu.
Maneno tu pekee ni kama mwanamama mrembo anayeimba taarab mbele ya wanaume..kwa jinsi serikali ya tz ilivyolichukulia hii corona ni wazi mtaani kwangu asingebaki mtu hata mmoja kwa hii miezi 3 tangu kesi ya kwanza iliporipotiwa mwezi wa 3 ,kwa maana mitaa hii ya dar jinsi ilivyo nadhani unaijua,labda uwe unaishi njilinji



Huwezi mdanganya mtu mzima mwenye akili timamu
 
WHO wenyewe wanajichanganya acha maisha yaendelee wanaojifanya wanazibiti wanakufa kuliko ambao wameamua kuishi nao
 
Another schizophrenic case here[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unakimbia na hakuna anaye kukimbiza[emoji23][emoji23][emoji23]tulia kaka., yaani opinion ya mtu mmoja kwako ni wakenya wote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] rudi shule ufunzwe comprehension, una tatizo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23]
Wewe ndio uweke evidence kuwa watanzania wanakufa sana kwa corona,

Yaani mnatumia nguvu nyingi kuichafua Tanzania na kueneza kila aina ya uongo badala ya kutumia huo muda kupambana na corona,


Hii ni forum ya Tanzania na inamilikiwa na Mtanzania huwezi kunipangi pa kuingia,

Mko busy kuitakia mabaya Tanzania lakini cha ajabu hayo mabaya yanawarudia ninyi.
 
Another schizophrenic case here[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unakimbia na hakuna anaye kukimbiza[emoji23][emoji23][emoji23]tulia kaka., yaani opinion ya mtu mmoja kwako ni wakenya wote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] rudi shule ufunzwe comprehension, una tatizo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23]
Mimi ni mtumiaji tu mkubwa wa mtandao wa twitter,

Nakutana sana na tweets kibao za wakenya wanao iombea mabaya Tanzania,

Badala mpambane na corona mko busy kueneza uwongo kuhusu Tz,

Kuweni makini sana maana JPM hayumbishwi msije sema hamkuambiwa.
 
Anayefikiria tunafanya vizuri kuliko Kenya anajidanganya, watz wanakufa kimya kimya tu sema haitangazwi, serikali haina muda huo wao washaamua liwalo na liwe. Wanaopata haka kaugonjwa na kufa wapo wengi tu, wapo wengi zaidi wanaopona. Tungekua tuna vipimo kama Kenya ungeona namba zetu ambavyo zingekua juu.

ukiambiwa uthibitishe hao wanaokufa kimya kimya kwa corona unaweza?sababu mara nyingi na mimi nisikia watu wachache wanasema kuna wvifo vingi sana vya corona hapa bongo.lakin sijui hao watu wanafia wapi.mbona huku mtaani hatuoni hiyo misiba.

Labda tutofautishe kati ya kupata maambukizi ha hako kaugonjwa na kuumwa.unaweza ukawa umeambukizwa ila usiwe mgonjwa'hapa ndiyo tunatofautiana uelewa na pia panic inaanzia hapa.

Corona ipo tuendelee kujikinga na kuendelea kupiga kazi jamani.Tungeamua kujilockdown kuanzia march 2020 hadi leo tungekuwa tumeokoa nini?zaid zaid hasara tuuu na vifo vya njaa na kupigwa na police kwa sababu ya uvuniifu wa masharti ya kutokutoka nje
 
Priority? Unajua maana ya priority? Fungua gazeti za Kenya ama runinga kisha uniambie taarifa ya Tanzania ni ngapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kazi ni kuropokwa bila kufikiria[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kenya inawatesa, ni muda sana tangu nione Tz in our mainstream media[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mnapatikana kwa blogs za watu binafsi na opinion pieces kama yenye naona mnapachika humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamuna maana kwa Kenya, taarifa kuhusu Tz in mainstream media can even take a month without mentioning! Tanzania is not newsworthy at all apart from stupid moves za kushangaza,

Nyie mnatangazwa kwa wingi na mitandao za udaku kama Twitter, Facebook, opera news nakadhalika [emoji23][emoji23][emoji23]
W

Why kenya ndio wawe kinara wa kueneza mabaya,ina maana Tanzania imepakana na kenya tu,kwanini msideal na mambo yenu na mkaiacha Tanzania ideal na mambo yake,yan media zote za kenya sasa hivi first priority ya habari zao ni magufuli na Tanzania tu!shame on u shetani
 
Hahahaha, ila ninyi mnapounga unga mkono Jubilee na genge lao kikabila linaloongoza nchi yenu ndio mpo sawasawa sio?, mnamshambulia Mkikuyu akili timamu kiasi cha kusema kwamba sio mkenya ni mtanzania kwasababu tu anamtizamo tofauti na Jubilee. Ninyi wakenya ukabila na roho mbaya na ubinafsi ndio tatizo lenu. Mtanzania yeyote mwenye kuisifia na kuitetea Tanzania mnasema ni CCM kwasababu CCM na Jubilee havielewani.
 
Back
Top Bottom