Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Kenya kwa mara nyingine tena wamekwenda kulialia kwa IMF kuomba msaada wa bajeti (loan) ili wapambane na madhira ya COVID-19.
Ikimbukwe kwamba hawa viongozi walipokea jumla ya US$ 739,000,000 mwezi wa tano tu mwaka huu
Na kuonyesha msisitizo, Rais Kenyatta ametangaza night curfew upya na uzuiaji wa kuuza pombe kwa mara nyingine tena na hii itaenda mpaka angalau January 2021.
Is the situation this serious au huu ni mpango mkakati wa viongozi wa sasa kupiga hela ndefu ili Rais ajaye akutane na deni zito??
Ikimbukwe kwamba hawa viongozi walipokea jumla ya US$ 739,000,000 mwezi wa tano tu mwaka huu
Na kuonyesha msisitizo, Rais Kenyatta ametangaza night curfew upya na uzuiaji wa kuuza pombe kwa mara nyingine tena na hii itaenda mpaka angalau January 2021.
Is the situation this serious au huu ni mpango mkakati wa viongozi wa sasa kupiga hela ndefu ili Rais ajaye akutane na deni zito??