Suala la spiderman linajulikana na ndiyo maana hukuti watu wakibishana kuhusu spiderman ila suala la Mungu ni tofauti ni kitu ambacho kina athari kwenye maisha na ndiyo maana watu hudai ushahidi wa uwepo wa huyo Mungu,ni tofauti na na suala la spiderman.
Kuamini ni kukubali maana huwezi kuamini usichokikubali,mfano wewe hapo hukubali kuwa kuna Mungu huwezi tena kutuambia hukubali Mungu ila unaamini Mungu.Mi sifungamani na imani
Wewe kama unawaamini wanasayansi mimi niko kinyume kwa kuikubali sayansi na wanasayansi kupitia tafiti zake ambazo zinathibitishika
It's Scars
Yaani unapima uwezo wa Mungu kwa reference ya Gwajima na Rwakatare? Try to be serious Nigga!!Virusi vya corona vimekuja kuthibitisha wazi kua maombi hayana msaada wowote kwenye maisha ya binadamu na wala dini haiwezi kuwaokoa binadamu na janga lolote la asili hivyo kuabudu na kufanya maombi ni kazi bure.
Juzi niliona Italy wakitembeza msalaba na sanamu la maria mama wa yesu angani ili kuwaokoa, kilichofuatia ni vifo vingi zaidi vya watu.
Jana niliona video clip Gwajima akisihi watu kunawa mikono, nikajiuliza ameshindwa kuombea watu hili gonjwa lipite au mungu wake anachagua magonjwa ya kuponya na ya kuacha yaue watu maana mara nyingine hua wanadai wanaombea na kuponya ukimwi, kansa, nk, je corona mungu haiwezi?
Corona imevamia Italy hadi vatcan imeua mapadri, viongozi wakubwa wa kidini vatcan(petro alipojenga kanisa-mwamba)wanakufa kwa corona, mwamba unaenda kuanguka, siku corona ikimvaa papa ndio tutajua hatujui.
Haya mambo ya dini, maombi na sala ni ya watu, hayawezi kumsaidia binadamu kwa chochote. Mungu anaeshindwa kuzuia majanga na magonjwa ataweezaje kuyaondoa kwa maombi ya binadamu kama yeye na malaika wameshindwa kuzuia kabla?
Tuendelee kuomba ndugu zangu[emoji3]
Kuamini ni kukubali maana huwezi kuamini usichokikubali,mfano wewe hapo hukubali kuwa kuna Mungu huwezi tena kutuambia hukubali Mungu ila unaamini Mungu.
Wewe hufanyi tafiti za kisayansi ila wanasayansi wakija na kukuambia kitu unakubali,kwanini? Sababu unawaamini.
Unaenda hospitali wanakupima unaambiwa Doctor anakwambia una malaria unakubali unakubali anakupa dawa unaenda kumeza bila kumbishia,kwanini? Unamuamini?
Hivi ukiacha masuala ya movie,habari za spiderman utaziongelea wapi tena nje ya movie? Ila kuna watu mfumo wao wa maisha umeathiriwa na suala la Mungu,uelewa wao kuhusu dunia umeathiriwa na suala la Mungu.Athari za mungu kwenye maisha unazijuaje?
Unaelewa kua mungu mjuzi wa yote, upendo wote na uwezo wote hapaswi kuthibitishwa wala watu kudai ushahidi juu ya uwepo wake?
It's Scars
Mbona haujafikiri kwanini unakufa? Yaani unakufa ili iwe nini? Mbona haujafikiri hicho kiumbe kinachoitwa corona kimetengenezwa na nani ili kifanye nini duniani. Uwe unafikiri bila boksi siyo nje ya boksi. Hivi umewahi kujiuliza nini kinachotoa amri Kwa vidole vyako vianze kutype huo Ujinga ulioandika? Hicho kinachotoa Amri nani kakitengeneza?Virusi vya corona vimekuja kuthibitisha wazi kua maombi hayana msaada wowote kwenye maisha ya binadamu na wala dini haiwezi kuwaokoa binadamu na janga lolote la asili hivyo kuabudu na kufanya maombi ni kazi bure.
Juzi niliona Italy wakitembeza msalaba na sanamu la maria mama wa yesu angani ili kuwaokoa, kilichofuatia ni vifo vingi zaidi vya watu.
Jana niliona video clip Gwajima akisihi watu kunawa mikono, nikajiuliza ameshindwa kuombea watu hili gonjwa lipite au mungu wake anachagua magonjwa ya kuponya na ya kuacha yaue watu maana mara nyingine hua wanadai wanaombea na kuponya ukimwi, kansa, nk, je corona mungu haiwezi?
Corona imevamia Italy hadi vatcan imeua mapadri, viongozi wakubwa wa kidini vatcan(petro alipojenga kanisa-mwamba)wanakufa kwa corona, mwamba unaenda kuanguka, siku corona ikimvaa papa ndio tutajua hatujui.
Haya mambo ya dini, maombi na sala ni ya watu, hayawezi kumsaidia binadamu kwa chochote. Mungu anaeshindwa kuzuia majanga na magonjwa ataweezaje kuyaondoa kwa maombi ya binadamu kama yeye na malaika wameshindwa kuzuia kabla?
Tuendelee kuomba ndugu zangu[emoji3]
Watu wanapoenda hospitali kupima na kupewa majibu ni sababu gani inayowafanya kukubali hayo majibu?Kuna tofauti kati ya kukubali kwa facts baada ya kuthibitishiwa na kukubali bila kitu bila uthibitisho wowote
Unaweza kufanya nimkubali mungu kwa uthibitisho wenye facts?
It's Scars
Kwa hiyo pale Vatican wanapopukutika kama nzige hakuna padri au kadinali mwenye imani pale?Kuna kuomba na kuomba kwa imani...know the difference
Wenye imani watabaki kuamini imani ina/itawaponya
Wanasayansi nao ni wanadini,washabiki wa michezo siasa muziki n.k
Wewe Mungu umemjulia mwenzetu? Maana wengi wetu tumezalia na kukuta dini na ndiyo tumemjulia Mungu huko,je wewe hivyo umjuavyo wewe ulimjulia wapi?Nilishaandika hivi haya myaonayo sasa ya kuabudu, kuamini kuwa kuna ulimwengu wa kiroho mara Mungu na mpinzani wake shetani,hapo baadae vizazi vijavyo watakuja kusoma hiyo historia huku wakitucheka! Watakuja kufundishwa jinsi tulivyokuwa wapuuzi tukiamini hayo mambo...
Dini ni project zilizoshiba na zinatusua fedha haswa kwa wakuu wanaohodhi hayo mambo,wanaoamini hawawezi kuelewa maana ndio washatekwa akili,wao wanajiona ni watumishi wa Mungu kumbe ni wateja wa watu fulani fulani😂
Mungu wanavyomfikiria sivyo alivyo!!
Wenyewe waendelee kupiga sala tu but wajue wanafanya kazi ya bure!!
Haya nilioandika wataona nimekufuru ati mimi nimejawa na ushetani na wakati huohuo wanaamini Mungu aliumba kila kitu it means na shetani aliumbwa na Mungu sasa linapokuja swala la tabia mbaya za shetani wanasema muanzilishi ni shetani!! Wakati shetani nae aliyakuta mambo hakuna tabia ambayo shetani kaianzisha bila kuirithi kwamaana Hakuna ambacho hakijatoka kwa baba!!😂
Mungu wamemvesha joho la tabia nzuri tu sasa sijui mbaya zilitoka wapi maana yeye ndo muanzilishi wa kila kitu!!
Hakuna cha Mungu wamaombia atakusaidia sahau maana maisha ni uhalisia na sio maombi.
Hiyo maana yako wewe ya neno "dini" ni ya kijinga kupita mfano.Dini ni mfumo wa imani inayoamini kuna muumba wa vitu vyote ambaye ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote. Dini huusisha ibada ya kuabudu na kuomba huku wakiamini huyo muumba atawasikiliza na kuwatatulia hayo maombi yao
Kwani shehe alikufundisha dini ni nini?
It's Scars
Nilikujibu "Poa" kwa kuwa nilikupuuza, haiwezekani unajibiwa maswali kisha unarudia kile kile ulichojibiwa, nikaona napoteza muda.Mada haiwezi kumalizwa kwa kukimbia maswali, nakukumbusha mara ya mwisho umekimbia kwa kuandika "poa" na hii ndiyo slogan yako pindi ukikutana na maswali magumu
Nilikupa option ya kuwauliza masheikh endapo hutaweza kuya handle maswali yangu, nadhani ujio wako wa saizi ni muendelezo wa yale maswali ambayo uliyaweka kiporo
Onyesha swali ambalo sijakujibu.Haya sasa tuambie masheikh wamesemaje juu ya hayo maswali?
Nani katangaza hizo zama? Kwa ufahamu wako finyu unadhani hizi hoja dhaifu zimeanza na wewe mwenye uelewa MKUBWA!? Do yourself a favour, nenda kasome hisstoria kwanza usijejiona una hekima kuliko waliotangulia. Hoja zako ni dhaifu mno na hazifikirishi. Ndii maana sihangaiki hata kujibuHizi sio zama za kuamini, hizi ni zama za kujua
Imani ingekua ni njia sahihi ya kujua ukweli wa jambo basi dini ingekua moja
Au kila Miungu inayoabudiwa na dini yeyote ingekua niya kweli endapo tu watatumia imani kuabudu
It's Scars