Corona imeleta baraka. Ureno imewapa wahamiaji wote residence permit

Corona imeleta baraka. Ureno imewapa wahamiaji wote residence permit

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Habari Wanajamvi

Serikali ya Ureno imewapatia wahamiaji wote waliokuwa wanaishi nchini humo bila vibali, vibali vya kuishi. Pia imeenda mbali na kuwapa wote ambao maombi yao yalikuwa processed pamoja na wale walionyimwa. Pia imehusisha asylum seekers wote. Na wote watapewa haki sawa kama za raia ikiwa pamoja na Social Benefits. Zoezi hilo lilianza toka mwezi wa April 2020.

Ni jambo jema na zuri sana Serikali ya Ureno imefanya. Permit waliyopewa ni one year halafu unarenew ukikidhi vigezo unaongezewa miaka 2-4 halafu unapewa permanent ama uraia.

Kumekuwa na furaha sana na shukrani kwa Serikali ya Ureno kutoka kwa wahamiaji. Nchi zingine za Ulaya Skandinavia zingeiga mfano ila zina roho mbaya bila sababu. Denmark, Norway na Iceland ukienda kurenew tu permit utadhani huko battlefield.

Mfano, Waziri wa Immigration and Intragration, Mattias Tesfaye 39, ambaye alizaliwa Denmark na Baba Muiethiopia na Mama Danish roho mbaya badala alegeze ukizingatia Origin yake.

Safi Sana Ureno.

CC Magonjwa Mtambuka
 
Kuna kipindi cha nyuma mamia ya wahamiaji kutoka Ghana ambao walikuwa wanaishi Ujerumani bila kibali walishawekwa dintation center kuingizwa kwenye ndege na kuwa deported.

Waliokuwa na madeni wakaachiwa na kupewa residence hili walipe madeni yao. Ila maskini wale waliokuwa hawana madeni wakawa deported.

Wale waliopewa permit ili walipe madeni yao sasa hivi wengi hadi wana uraia wa Jermain. Mmoja wao tulikutana akanipa hii story.

So ni vizuri uwe na madeni mengi kama unaona papers zako zina mushkel.

Hii mizungu mibahiri sana kumbe ukiwa deported siyo unasafirishwa bure nchi yako lazima igaramikie kwa kulipa baadaye unapofikishwa nchini mwako.
 
Ureno sio chaka ndio mana wanatoa hizo residents kiuteke,,, ni afadhali ya cape Town utapiga michongo unaweza kusasurvival kuliko Lisbon, ngoma ngumu huko,,,, wenyewe wareno wamejazana Spain kama wabongo dizonga
 
Naona msela yupo lisbon amechoka kifuatilia kibali
Mkuu huyo ni mimi na sipo Lisbon, ila pande hizo nishakanyagia, maisha hamna ureno, hizo residents ukifuatilia unapewa tu bila ugumu wowote, kikubwa tu utimize mashart, lkn Kuna machaka mengine hata uwe na makaratasi yote lkn bado utawekewa ing'oo tu
 
Kuna kipindi cha nyuma mamia ya wahamiaji kutoka Ghana ambao walikuwa wanaishi Ujerumani bila kibali walishawekwa dintation center kuingizwa kwenye ndege na kuwa deported.

Waliokuwa na madeni wakaachiwa na kupewa residence hili walipe madeni yao. Ila maskini wale waliokuwa hawana madeni wakawa deported.

Wale waliopewa permit ili walipe madeni yao sasa hivi wengi hadi wana uraia wa Jermain. Mmoja wao tulikutana akanipa hii story.

So ni vizuri uwe na madeni mengi kama unaona papers zako zina mushkel.

Hii mizungu mibahiri sana kumbe ukiwa deported siyo unasafirishwa bure nchi yako lazima igaramikie kwa kulipa baadaye unapofikishwa nchini mwako.
Hahaha wazungu ni mathématicians
 
eti mtu uikimbie mbagala kwenye chain vitumbua uende ureno ulikotoka mmea wa muhogo
Mhogo umetoka south America Brazil huko wareno ndio waliuleta Africa pamoja na mahindi, mananasi, tikiti maji.

Vasco da Gama alivyoileta tu mahindi Africa kutoka Brazil wee ilileta mageuzi kichiz huko sauz Africa wakati huo Zulu kingdom ilikuwa inaexpand mahindi ilileta impact kubwa sana kwenye mfacane war because it was nutritious ikawapa nguvu Zulu worriors ambao walikuwa hodari katika uwanja wavita wakitumia short stabbing spears na ngao.

Ndizi Banana ilitokea Papua new Guinea.
 
Maisha ya Ureno ni ya kubangaiza tu, hata sio mahali promising...
 
Wazungu watamu wasifike 30yrs.
Wakizidi hapo wanakuwa wabaya.
 
Back
Top Bottom