Happening now at Kondo bahari beach; merehemu wa watu tofauti kama 10 wanakuja kuzikwa hapa Kondo - JamiiForumsWewe Ndiyo ulie leta hii habari then huna source yoyote ya kutuaminisha bora ungesema kuna ndugu zako kama watatu wamezika kwa style hiyo.
Mimi nafikiria ungekuja hata na baadhi ya picha au clip kwa siku tofauti ambulance zinapo enda kuzika maeneo ya makaburi si umesema unayajua.
Happening now at Kondo bahari beach; merehemu wa watu tofauti kama 10 wanakuja kuzikwa hapa Kondo - JamiiForumsNinamashaka kama hii idadi ya wagonjwa inayotajwa sasa haina uhusiano wowote na tamko la WB la kukopesha nchi zilizoathirika zaidi na corona.
Happening now at Kondo bahari beach; merehemu wa watu tofauti kama 10 wanakuja kuzikwa hapa Kondo - JamiiForumsWamekufa kumi tu. Hizo picha na videos mtandaoni mzipuuze, ni za mabeberu wanaotaka nchi isitawalike.
Hata lile lory la manispaa lililoandikwa Dar City Council burial services sio la serikali, hata Kama Lina namba SU.
Mkiliona linaranda randa maeneo ya makaburi mlipuuze
Mkuu, pole, hawa jamaa wanaombea Hadi wazee wao wafe, washindwe kuandika store za kutunga?? Hamnamo watu mleHao wanaokufa kwa maelfu hawana ndugu?taarifa hizi ni za upotoshaji...huko US wameshakufa zaidi ya watu 50k kwamba hao ni wajinga hawana mipango ya kudhibiti huu ugonjwa?kwanini mnakuwa na hulka ya kombea taifa mambo mabaya? Sasa serikali ifiche idadi ya vifo kwani ndiyo iliyoleta corona duniani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuathiri vipi kama raiaKwanini hawasemi ukweli kwanini wanaficha?
Nitaamini kuwa ugonjwa huu ni tatizo dogo kama ningemwona Rais Magufuli Dar au Dodoma akiendesha vikao vya kila wiki vya Baraza la Mawaziri.
Vinginevyo lazima uwe mpumbavu sana kuamini kuwa unaweza kupona huu ugonjwa kwa kujifukiza tu mvuke!
Lazima mtu uwe na akili. Mtu anakuambia, we ingia tu ndani ya maji kuuvuka huu mto, ni maji mafupi lakini yeye hataki hata kupanda boti kuuvuka mtoto huo huo anaotaka wewe uuvuke kwa miguu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia tena video ya jana
Hakuna mpambe nyuma yake
Mkutano umefanyika ndani ya nyumba lakini kajipa distance ya kutosha na wakuu wa vyombo vya ulinzi na sidhani ata kama alienda kuwapa mikono baada ya kuongea nao
Hao wakuu wenyewe wamepeana big gap kwenye meza zao
Sasa kama wanaamini Corona sio tatizo kwanini wajihami ivyo.
Abiria chunga mzigo wako
Unafikiri kila mmoja ana uwezo huo?Huko kisiwani jamaa kakodi nyumba nzima iko nje kabisa ya mji maisha yako chini sana amefanya manunuzi ya chakula cha mwezi na nusu hadi miwili hakuna cha daladala ni mwendo baiskeli tu
Usipowaamini viongozi wa nchi utakuwa una matatizo wewe! Mbona tunapewa updates za mara kwa mara!Kwanini hawasemi ukweli kwanini wanaficha?
Nashukuru sana kwa kumpa ushauri fasaha sana. Tafadhalini msituharibie jamvi letu kwa kufanya ndugu yetu aendelee kusumbuliwa Mahakamani huku watu wakijifanya kusikitika pasipo kutoka msaada wowote. Tafadhali sana tuwe makini na michango yetu ya habariMada kama hii yako ni ngumu mno kuiamini, na wala haiingii kabisa akilini.
Kukiwa na ukweli wowte juu ya haya uliyoandika hapa, basi hakuna serikali iliyowekwa madarakani na wananchi. Badala yake, kutakuwa na kitu kingine kabisa ambacho sina jina la kukipa.
Kuleta mada kama hii, halafu pasiwepo na aina yoyote ya ushahidi unaoipa mada uzito, angalau hata wa kimazingira tu, ni kulifedhehesha hili jamvi la JF.
Hii ni hatari sana kama kuna aina yoyote ya ukweli kwenye mada yako.
Umekurupuka.Umeelewa nini hapo ama unajiropokea tu?Huko makaburini ndiyo mtakako enda kushiba...
Tuliokuamini na kukutetea kwenye janga la Corona umetuangusha. Nimepoteza rafiki na ndugu kwa janga la Corona. Serikali chukueni hatua - JamiiForumsWakuu msibeze anakiongea mtoa mada Ni kweli kabisa
Tena hizo ambulance zikishatoka barabara kuu zinapiga kimya
True