Tetesi: Corona inapukutisha watu Dar. Kuna wanaolalamika ndugu zao kuzikwa kinguvu na Mamlaka Dar huko Bahari Beach, Buza na Mbweni

Tetesi: Corona inapukutisha watu Dar. Kuna wanaolalamika ndugu zao kuzikwa kinguvu na Mamlaka Dar huko Bahari Beach, Buza na Mbweni

Hao wanaokufa kwa maelfu hawana ndugu?taarifa hizi ni za upotoshaji...huko US wameshakufa zaidi ya watu 50k kwamba hao ni wajinga hawana mipango ya kudhibiti huu ugonjwa?kwanini mnakuwa na hulka ya kombea taifa mambo mabaya? Sasa serikali ifiche idadi ya vifo kwani ndiyo iliyoleta corona duniani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wanaokufa kwa maelfu hawana ndugu?taarifa hizi ni za upotoshaji...huko US wameshakufa zaidi ya watu 50k kwamba hao ni wajinga hawana mipango ya kudhibiti huu ugonjwa?kwanini mnakuwa na hulka ya kombea taifa mambo mabaya? Sasa serikali ifiche idadi ya vifo kwani ndiyo iliyoleta corona duniani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, pole, hawa jamaa wanaombea Hadi wazee wao wafe, washindwe kuandika store za kutunga?? Hamnamo watu mle
 
Kwahiyo
Nitaamini kuwa ugonjwa huu ni tatizo dogo kama ningemwona Rais Magufuli Dar au Dodoma akiendesha vikao vya kila wiki vya Baraza la Mawaziri.

Vinginevyo lazima uwe mpumbavu sana kuamini kuwa unaweza kupona huu ugonjwa kwa kujifukiza tu mvuke!

Lazima mtu uwe na akili. Mtu anakuambia, we ingia tu ndani ya maji kuuvuka huu mto, ni maji mafupi lakini yeye hataki hata kupanda boti kuuvuka mtoto huo huo anaotaka wewe uuvuke kwa miguu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpambe hakai nyuma yake wakiwa ndani, uliwahi kumuona mpambe kwenye shughuli yoyote ikulu ya DSM?
Angalia tena video ya jana

Hakuna mpambe nyuma yake

Mkutano umefanyika ndani ya nyumba lakini kajipa distance ya kutosha na wakuu wa vyombo vya ulinzi na sidhani ata kama alienda kuwapa mikono baada ya kuongea nao

Hao wakuu wenyewe wamepeana big gap kwenye meza zao

Sasa kama wanaamini Corona sio tatizo kwanini wajihami ivyo.

Abiria chunga mzigo wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...ACHENI KUSIKILIZA HABARI ZA POROJO HAKUNA CHA WATU KUFA AU SJUI IDADI SIYOYENYEWE HIZI POROJO ZA MITANDAONI ACHANENI NAZO

SASA SERIKALI IKUFICHE WEWE MWANANCHI ILI IWEJE ? KWANI HUU UGONJWA UMESABABISHWA NA SERIKALI DATA ANAZOTOA MH WAZIRI WA AFYA NDO HIZO HIZO SAHIHI NOTHING ELSE
 
Mada kama hii yako ni ngumu mno kuiamini, na wala haiingii kabisa akilini.
Kukiwa na ukweli wowte juu ya haya uliyoandika hapa, basi hakuna serikali iliyowekwa madarakani na wananchi. Badala yake, kutakuwa na kitu kingine kabisa ambacho sina jina la kukipa.

Kuleta mada kama hii, halafu pasiwepo na aina yoyote ya ushahidi unaoipa mada uzito, angalau hata wa kimazingira tu, ni kulifedhehesha hili jamvi la JF.

Hii ni hatari sana kama kuna aina yoyote ya ukweli kwenye mada yako.
Nashukuru sana kwa kumpa ushauri fasaha sana. Tafadhalini msituharibie jamvi letu kwa kufanya ndugu yetu aendelee kusumbuliwa Mahakamani huku watu wakijifanya kusikitika pasipo kutoka msaada wowote. Tafadhali sana tuwe makini na michango yetu ya habari
 
Wakuu msibeze anakiongea mtoa mada Ni kweli kabisa
Tena hizo ambulance zikishatoka barabara kuu zinapiga kimya
True
 
Mbona hata yule mgonjwa wa mkoa wa Mara nasikia kafa ila taarifa ya wizara sijaisikia. Nasubiri waziri athibishe
 
Watu wanazikwa usiku usiku kisirisiri.
Screenshot_20200427-015139.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom