Zinapita mitaaninkwenu tu? Mbona sisi hatuzioni?Godzilla umeanza vizuri ila ulipomalizia hapo sijui upo eneo gani. Mfano Dar ambulance zimekua nyingi mno tena landcruiser mpya mpya ila haithibitishi kuwa zinabeba wagonjwa wa corona lakini zipo nyingi na zinazunguka mno. Pili uwepo wa magari ya HUDUMA ZA MAZIKO za jiji zikizunguka zunguka jijini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mim na mtu anaumwa korona na amelezwa, ameniambia watu wanao umwa ni wengi yeye akiwa mmojawapa aliyelazwa acha uzwazwaMada kama hii yako ni ngumu mno kuiamini, na wala haiingii kabisa akilini.
Kukiwa na ukweli wowte juu ya haya uliyoandika hapa, basi hakuna serikali iliyowekwa madarakani na wananchi. Badala yake, kutakuwa na kitu kingine kabisa ambacho sina jina la kukipa.
Kuleta mada kama hii, halafu pasiwepo na aina yoyote ya ushahidi unaoipa mada uzito, angalau hata wa kimazingira tu, ni kulifedhehesha hili jamvi la JF.
Hii ni hatari sana kama kuna aina yoyote ya ukweli kwenye mada yako.
Tutakuja kuongea lugha moja
Usijifukize! Uendelee kushangaa maana dawa haipo.Mimi bado nina mshangao tu kuwa Rais amesema tujifukize sijui kawaza nini mheshimiwa
Kuna shughuli yeyote ya selikali imekwama sababu ya corona?Nitaamini kuwa ugonjwa huu ni tatizo dogo kama ningemwona Rais Magufuli Dar au Dodoma akiendesha viko vya kila wiki vya Baraza la Mawaziri.
Vinginevyo lazima uwe mpumbavu sana kuamini kuwa unaweza kupona huu ugonjwa kwa kujifukiza tu mvuke!
Lazima mtu uwe na akili. Mtu anakuambia, we ingia tu ndani ya maji kuuvuka huu mto, ni maji mafupi lakini yeye hataki hata kupanda boti kuuvuka mtoto huo huo anaotaka wewe uuvuke kwa miguu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waeshaambiwa waache kusema uongo waseme ukweliNinamashaka kama hii idadi ya wagonjwa inayotajwa sasa haina uhusiano wowote na tamko la WB la kukopesha nchi zilizoathirika zaidi na corona.
Aisee alafu unataka wenye akili wakuamini?Ushahidi wa kimazingira ni vingora vya ambulance, kama unamatatizo ya kusikia tutakusamehe.
Hao majirani huenda wanatia na chumvi pia!Jana nilikua maeneo ya makaburi ya kondo, wale majirani walisema the same thing, ambulance zinakuja usiku zinazika
Ni mfanyabiashara alifariki ghafla jumamosi alfajiri,bidhaa nyingi zinazotoka nje ya nchi zinazohusiana na oil Kariakoo yeye ndiye aliyekuwa importer mkubwa,Yuko na shemeji yake anaitwa Hamis Mohamed hawa jamaa ni wakutoka Tanga na huyu Hamis pia wamem-lockdown nyumbani kwa marehemu Ilala pamoja na wale wote walioenda kumsaidia marehemu saa zake za mwisho.huyo jamaa yako ni nani mbali na jina, naomba kujua
Hao watu wanaozikwa hawana ndugu?Jana nilikua maeneo ya makaburi ya kondo, wale majirani walisema the same thing, ambulance zinakuja usiku zinazika wakimaliza wanapiga dawa magari na eneo lote walilokuwepo.
Lakini unafikiri wangeacha kuzika? Huoni wanasaidia kupunguza maambukizi?
Source ni mazingira aliyokutajia.Wewe Ndiyo ulie leta hii habari then huna source yoyote ya kutuaminisha bora ungesema kuna ndugu zako kama watatu wamezika kwa style hiyo.
Mimi nafikiria ungekuja hata na baadhi ya picha au clip kwa siku tofauti ambulance zinapo enda kuzika maeneo ya makaburi si umesema unayajua.
Unaweza kutuletea idadi ya hao wanaofichwa?Watu wanaokufa ni wengi wanaficha idadi watu wametoroka hospital ya amani hawahudumiwi dawa wala nini na kila kitu wajinunulie nani ataweza nchi ina madini na kila kitu lakin haiwezi saidia wananchi wake kipindi hiki kigumu
Sent using Jamii Forums mobile app
This commentWamekufa kumi tu. Hizo picha na videos mtandaoni mzipuuze, ni za mabeberu wanaotaka nchi isitawalike.
Hata lile lory la manispaa lililoandikwa Dar City Council burial services sio la serikali, hata Kama Lina namba SU.
Mkiliona linaranda randa maeneo ya makaburi mlipuuze
Unakubali yupo MAFICHONI?Na haitampata. Bali tunaomba sana iwapate ninyi mnaowatamania mabaya wenzenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji yameshamwagika mkuu, cha msingi ni kupambana na tatizo kwa sasa.Mimi kilio changu ni huu ugonjwa ulivyoachiwa kipuuzi mpaka kufikia hatua hii ni hao Watawala
Angalia Uganda walikuwa mbele yetu kabla hata sisi kufikiwa na ugonjwa wao mpaka sasa ni wagonjwa 50 na vifo ni vichache sana
Corona ni moja ya ugonjwa unao ua watu wengi kwa mda mfupi sana na hauna dawa, watu wangekua na akili Kama zako kusingekua na jitihada za kutafuta dawa ya ugonjwa wowote ule sababu si tutakufa tuWatu kila siku wanakufa mahospitalini kabla hata ya hiyo corona yenu!
Hao watu "wanaopukutika" kwa corona mbona siwaoni?
Hizo ambulance huwa zinapita mitaa gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe msimamo wako ni upi?Huu ndiyo uhakisia uliofichwa mwanzoni.
Kwa nini wajipeleke mapema? Ugonjwa hauna tiba then unaenda hospital kufanya nini?Watu wanaokufa ni wengi wanaficha idadi watu wametoroka hospital ya amani hawahudumiwi dawa wala nini na kila kitu wajinunulie nani ataweza nchi ina madini na kila kitu lakin haiwezi saidia wananchi wake kipindi hiki kigumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeshamuondoa mwana CCM rwakatare, Corona aichaguiNa haitampata. Bali tunaomba sana iwapate ninyi mnaowatamania mabaya wenzenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hivo wewe hata ushauri wa wataalamu hufuatiAngalia tena video ya jana
Hakuna mpambe nyuma yake
Mkutano umefanyika ndani ya nyumba lakini kajipa distance ya kutosha na wakuu wa vyombo vya ulinzi na sidhani ata kama alienda kuwapa mikono baada ya kuongea nao
Hao wakuu wenyewe wamepeana big gap kwenye meza zao
Sasa kama wanaamini Corona sio tatizo kwanini wajihami ivyo.
Abiria chunga mzigo wako