Tetesi: Corona inapukutisha watu Dar. Kuna wanaolalamika ndugu zao kuzikwa kinguvu na Mamlaka Dar huko Bahari Beach, Buza na Mbweni


Mwami wa kihutu anapeleka Watanzania kuzimu huku wakila bolingo
Ccm nambari wanieeee!!kigwangala charaza hilo solo...oyaa...Kangi hebu kata kiuno

Hali halisi hiko makaburini usiku wa manane ndio hii
 
Kaongea pumba. Yani makaburi ya Buza hajawahi kuzikwa mtu na wewe unaamini?
Utafikiri ni mlinzi wa makaburi, kwa hiyo anakaa makuburin akiangalia Nan ana zika au la, alafu anafikiri ambulance ikienda kuzika inapiga king'ora
 
Kaongea pumba. Yani makaburi ya Buza hajawahi kuzikwa mtu na wewe unaamini?
Utafikiri ni mlinzi wa makaburi, kwa hiyo anakaa makuburin akiangalia Nan ana zika au la, alafu anafikiri ambulance ikienda kuzika inapiga king'ora
 
Tembeleeni usiku wa manane sehemu zilizotajwa kama Buza makaburini mkajionee
Bahari beach eneo la kondo Buza na Mbweni acheni kusifia mapambio ya mwami wa kihutu anaetupeleka kuzimu
Acheni UONGO habari bila ushahidi wa wahusika waliofiwa ni Uchochezi mitandaoni
HAKUNA hata kapicha ka wizi kuwa watu wappo makaburini?
 

Nilichomuelewa mimi ni kwamba, tembelea zile sehemu maalum za kuzikia watu waliokufa kwa corona then angalia idadi ya makaburi yaliyopo yanalingana na takwimu ya vifo inayotolewa rasmi?
 
Hii picha imepigwa wapi?

aliyepiga nani?

hayo makaburi wanazikwa raia wa nchi gani?

wamekufa kwanini?

Nimbaya sana kuokota picha kwenye mitandao, kuaminisha wanaokufa ni watanzania, sio sawa kutuma picha ambayo haina maelezo ya kutosha kwa ajili ya kuwapa hofu watu.

HOFU YA UGONJWA INAUA kuliko corona yenyewe.
 
Hadithi ndeefu, umeshindwa kutuwekea hata picha ya wanaolalamika ndugu zao kuzikwa kimya kimya? Mambo kama haya yanahitaji ushahidi sio bla bla
 
Acheni UONGO habari bila ushahidi wa wahusika waliofiwa ni Uchochezi mitandaoni
HAKUNA hata kapicha ka wizi kuwa watu wappo makaburini?
Sasa wewe unaambiwa ni usiku sasa hata mtu atachukuaje picha ya kuibia bila ya flash

Leo usiku itabidi kuwahonga wahusika ili kuchukua picha kadhaa
 
Mimi bado nina mshangao tu kuwa Rais amesema tujifukize sijui kawaza nini mheshimiwa
Hizo picha za magari ya Jiji yakienda zika zipo wapi? kwanini JF ionekane ni mzushi
mbona za kujifukiza zinafundisha kata muarobaini chemsha mpaka 100 centigrade chukua shuka jifunike
 
Mkuu wala usikonde hao walijifukiza labda kupita kiasi
 
Sasa wewe unaambiwa ni usiku sasa hata mtu atachukuaje picha ya kuibia bila ya flash

Leo usiku itabidi kuwahonga wahusika ili kuchukua picha kadhaa
nani kachimba makaburi? hata udongo uliofukiwa leoleo
huu ugonjwa tutajitibia wenyewe Watanzania ni mdogo tu km ni wa popo au nyani au Maabara
ulishatokea Ugonjwa wa Bonde la Ufa, Tauni, Corella sembuse Corona
 

Hii ni taarifa ya ovyo na ujinga kabisa, ebu tuondolee upuuzi wako.

Nani anae lalamika? huko unapopata pataja kuna uongozi wake kama kweli hii habari ya ukweli tutajie jina la Mtaa wanaozikwa watu.

Huko pia kuna raia wanaojitambua na kujua baya na zuri TUTAJIE MAJINA YA WATU WALIOKUFA NA KUZIKWA KIMYA KIMYA!! acha kabisa story zako za kijweni kuleta humu JF.

Tutajie nani ambae ndugu yake amezikwa kimya kimya, pia wanatoka mtaa gani? nani mjumbe wao wa washina?

Kwa jinsi ninavyo wajua mimi watanzania, kwa post habari picha na kurusha kwenye mitandao hizo picha zingezagaa kote tena kwa kasi ya 5G.

Ajali ya barabarani au mtu kafumaniwa na mke wa mtu raia wanarusha picha za kumwaga sembuse kifo cha corona ambayo ndiyo habari ya dunia!!!

Watanzania wenzangu CORANA IPO, TENA INAUA tuchukue taadhali.
 
KWELI KABISA WALIPUUZE TU...NA HATA LIKINASA LIKIWA NA MZIGO NA WASAIDIE KULISUKUMA TU
 
Tuonyeshe familiar moja mkuu Sio mnabumba bumba maneno ndio dar Corona ipo Ila haipo Kama unavyo ielezea wewe apo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…