Tetesi: Corona inapukutisha watu Dar. Kuna wanaolalamika ndugu zao kuzikwa kinguvu na Mamlaka Dar huko Bahari Beach, Buza na Mbweni

Tetesi: Corona inapukutisha watu Dar. Kuna wanaolalamika ndugu zao kuzikwa kinguvu na Mamlaka Dar huko Bahari Beach, Buza na Mbweni

Lilibeba maiti ngapi?
Wamekufa kumi tu. Hizo picha na videos mtandaoni mzipuuze, ni za mabeberu wanaotaka nchi isitawalike.
Hata lile lory la manispaa lililoandikwa Dar City Council burial services sio la serikali, hata Kama Lina namba SU.
Mkiliona linaranda randa maeneo ya makaburi mlipuuze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini unafikiri wangeacha kuzika? Huoni wanasaidia kupunguza maambukizi
Mimi kilio changu ni huu ugonjwa ulivyoachiwa kipuuzi mpaka kufikia hatua hii ni hao Watawala

Angalia Uganda walikuwa mbele yetu kabla hata sisi kufikiwa na ugonjwa wao mpaka sasa ni wagonjwa 50 na vifo ni vichache sana
 
..................Jamaa yangu Mohammed Fereji na ghorofa zake tatu pale Ilala na Kariakoo amezikwa kama kibudu jumanne jioni Ununio,nahisi upungufu wa vipimo vinafanya serikali kushindwa kutoa taarifa sahihi na kwa wakati sahihi so wanaamua kila anaekufa mazingira ya ghafla ni Corona kumbe wengine wanakuwa na maradhi mengine kabisa.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Tembeleeni usiku wa manane sehemu zilizotajwa kama Buza makaburini mkajionee
Bahari beach eneo la kondo Buza na Mbweni acheni kusifia mapambio ya mwami wa kihutu anaetupeleka kuzimu
Wewe lete ushahidi wa picha acha mipasho kwenye issues za msingi kama hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee uliyeenda umeshindaje kutumia hata picha ukaleta?.
Na hata hivyo kufa mbona ni jambo la kawaida.
Kufa kufa tu ukifa kwa corona au malaria ni kufa tuu.
Tembeleeni usiku wa manane sehemu zilizotajwa kama Buza makaburini mkajionee
Bahari beach eneo la kondo Buza na Mbweni acheni kusifia mapambio ya mwami wa kihutu anaetupeleka kuzimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Godzilla umeanza vizuri ila ulipomalizia hapo sijui upo eneo gani. Mfano Dar ambulance zimekua nyingi mno tena landcruiser mpya mpya ila haithibitishi kuwa zinabeba wagonjwa wa corona lakini zipo nyingi na zinazunguka mno. Pili uwepo wa magari ya HUDUMA ZA MAZIKO za jiji zikizunguka zunguka jijini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni dereva utanielewa, siku gari yako ikiwa na kasoro utawaona traffic police wengi sana. Sio kwamba siku zote hawapo la hasha unawaona sana kwasababu unakishtukia. Ambulance zipo vile vile tu ila sasa hivi kila ukiiona unaihusisha na Corona.
 
WanaJf mlioko Dar nawapa siri sehemu salama kwa sasa ni Mafia

La sivyo subiri uzikwe huku miguu iko nje na mgambo wa jiji
 
Mimi kilio changu ni huu ugonjwa ulivyoachiwa kipuuzi mpaka kufikia hatua hii ni hao Watawala

Angalia Uganda walikuwa mbele yetu kabla hata sisi kufikiwa na ugonjwa wao mpaka sasa ni wagonjwa 50 na vifo ni vichache sana
Wewe kwa mtazamo wako ulitaka serikali ichukue hatua gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara ya mwisho kuangalia takwimu zilionyesha hakuna mtu wa kuanzia mwaka 0 mpaka 19 aliyefariki kwa corona. Hivi hii haitakiwi kumaanisha kitu? Najua hii ni off topic ila how come kirusi kinachoitrick seli nyeupe na kujificha ndani mpaka immunity system haikioni kwa watu wa umri huo kwao iwe tofauti?
Mkuu siyo kwamba immunity haikioni bali immunity at that age inauwezo mkubwa wa kupambana na vinelea vya magonjwa ukilinhanisha na hao walioenda umri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom