Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,557
- 7,160
Mada kama hii yako ni ngumu mno kuiamini, na wala haiingii kabisa akilini.
Kukiwa na ukweli wowte juu ya haya uliyoandika hapa, basi hakuna serikali iliyowekwa madarakani na wananchi. Badala yake, kutakuwa na kitu kingine kabisa ambacho sina jina la kukipa.
Kuleta mada kama hii, halafu pasiwepo na aina yoyote ya ushahidi unaoipa mada uzito, angalau hata wa kimazingira tu, ni kulifedhehesha hili jamvi la JF.
Hii ni hatari sana kama kuna aina yoyote ya ukweli kwenye mada yako.
Huu ni Ukweli kabisa ,nnamjua mmoja alichimbiwa na Serikali.Alikuwa anafanya Biashara Jengo nililo Kodi na mimi pia.Siku 4 wanaifanyia Maiti uchunguzi na Ngugu hawakupewa Mwili.