Hofu ikitangazwa sana inasababisha white blood cell kufubaa matokeo yake hazitafanya kazi zake vizuri. Hata vitani kama askari wako ukawajengea hofu dhidi ya adui yako lazima adui akushinde! Therefore we are far ahead than you Kunya Country in combating the human-made COVID-19 apademic!
We jamaa umejawa Ujinga wakupindukiaHiyo soon tutakua soon tutakua soon tutakua ni wimbo mumeimba sana, halafu nilishangaa sana kuona sehemu eti waziri mkuu wenu anasema kale kasafu kenu ka SGR Dar-Moro mpaka sasa ni 77%
Yaani mnavyojitutumua na kuhema na kutapatapa mpaka awamu ya tano inaisha hatamu ya kwanza hamna chochote mlichokamilisha cha kuonekana.
Awamu ya nne Kikwete aliwakimbiza kiana lakini kwa sasa naona ni mikwara na hasira tu hamna kitu, na ndio maana mnakua wakali kwa hili la corona, mnacheza tiki taka za mapaipai.
Mkoloni aliondoka na akili zao.We jamaa umejawa Ujinga wakupindukia
Yaani Mada ni Corona ww umeenda kwenye SGR
Umeonyesha jinsi gani Huna hoja kuchangia zaidi yakuonyesha ulivyo Kilaza
Mkuu kuna uzi ulikometi,bora wafanye kama Tz,waache changanyuikeni wa kufa wafe,watakaobaki maisha yaendelee..
Hakuna namna nyingine ya kupambana na huo ugonjwa tumeshachelewa,wacha wa kujifia tufe na wa kubaki tubaki tulisongeshe..
Watu wakijifungia ndani wasipofanya kazi,njaa haiwezi kuwaacha salama
CCM OYEE!MISIMAMO DAIMA
Jamaa huwa zuzu kweliMkoloni aliondoka na akili zao.
Hiyo subiri ni mpaka zifike siku ngapi?COVID-19 ishaua wangapi Tanzania mpaka useme ni "FAILED MISSION"??? Ishaondoka na vigogo kibao na makapela wengi tushawalaza "UNUNIO".
Ndio zenu mnaosema vitu vya China ni "FAKE". Sasa Corona nayo ni "MADE IN CHINA", tusubiri tuone.
Laiti ungepata uchungu na maumivu ya kuzika ndugu yako wa damu ukisaidiwa na wat wasiozidi 10 usingeropoka haya.Tangu mwezi march mnatuambia tusubiri tuone...na sasa nusu ya mwezi may imeshakatika!
Kwani alokusudiwa kufa amekufa? au hujui kwa nini vibaraka wa mabeberu kila siku wanapiga mayowe aende Dar?COVID-19 ishaua wangapi Tanzania mpaka useme ni "FAILED MISSION"? Ishaondoka na vigogo kibao na makapela wengi tushawalaza "UNUNIO".
Ndio zenu mnaosema vitu vya China ni "FAKE". Sasa Corona nayo ni "MADE IN CHINA", tusubiri tuone. Na ubishi wa Rais wetu, nina amini majibu yatakua mazuri.
Mpo ndani ya mataifa kumi yaliyojichokea kwa umaskini Afrika, hivyo nawaelewa hamuna jeuri ya kujifanyia lockdown, mtaisha.
Umasikini ni njaa na mwaka huu mtakosa mpaka gidheriEndelea kujitahidi, iko siku utafaulu kuandika kwa kingereza, ila kwa sasa endelea kutapatapa.
Labda niawashauri Watanzania, acheni kujichokea kwa huo umaskini wenu, mnakata tamaa mapema sana, endeleeni kupambana, chukua tahadhari, acheni kusongamana kwenye vilabu vya pombe na machangu.
itafika hadi disemba hamna kitu sio tu mwezi mayTangu mwezi march mnatuambia tusubiri tuone...na sasa nusu ya mwezi may imeshakatika!
siku ikimfanya atajaa mimba azae mtungi wa chang'aa,saa hizi ni ule wivu tu unamsumbua.MK254 tanzania imekufanyia kitu gani kibaya mpaka unaisakama hivyo madhee ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, ni kweli Watanzania ni maskini, lakini masikini wa Tanzania ni tajiri ukilinganisha na masikini wa Kenya.Endelea kujitahidi, iko siku utafaulu kuandika kwa kingereza, ila kwa sasa endelea kutapatapa.
Labda niawashauri Watanzania, acheni kujichokea kwa huo umaskini wenu, mnakata tamaa mapema sana, endeleeni kupambana, chukua tahadhari, acheni kusongamana kwenye vilabu vya pombe na machangu.
Anadhani labda GOT wanajenga mitungi ya changaa kama ile yao [emoji23]Jamaa huwa zuzu kweli
Yaani Anataka SGR ya Bongo ijegwe kama yao
Leo hii Wanaumia moyoni Kwa Ahadi zakipuuzi walizo pewa 2013
Tutajenga Hata kama ni miaka 20
Ila Isiwe yakijinga kama yao