It's too early to shout for victory.Hao majirani wakae mkao wa kula wasubiri second wave third wave, maybe fourth wave.... Wamefugia watu wao ndani wasiumwe na mdudu wa Corona, kitu ambacho kitakuja kuwa cost kwa namna moja au nyingine. At some point itabidi wafungiwe mipaka yao na kukaribisha watu wafanye biashara nchini mwao, wasipofungua uchumi ndio bye bye. Model ya kuweka watu quarantine haitaleta matunda maana watu hawawezi kupoteza wiki mbili za kukaa bure bila kufanya kazi yoyote.
Wakati wangetumia muda wa kupata wagonjwa wa aina mbali mbali na kufanya utafiti wa ugonjwa huo, wao wanawaficha watu wao na kueneza hofu. Ukifanya utafiti kwa mtu mwenye hofu HORMONES zao zitakupa majibu tofauti na yale unayoyataka.
Mbongo anaeona fahari kujiita Mkenya.This is purely Tanzanian SwahiliEndelea kujitahidi, iko siku utafaulu kuandika kwa kingereza, ila kwa sasa endelea kutapatapa.
Labda niawashauri Watanzania, acheni kujichokea kwa huo umaskini wenu, mnakata tamaa mapema sana, endeleeni kupambana, chukua tahadhari, acheni kusongamana kwenye vilabu vya pombe na machangu.
fanyeni yanayowahusu tz tuachien wenyeweNi vigumu kuchukua tahadhari bila hofu, fahamu hofu ni hisia za kibiolojia na iliumbwa kwenye miili yetu ili ituwezeshe kuchukua tahadhari panapostahiki, usingekua na hofu hata unaweza kwenda kumshika simba kidevu maana huogopi chochote, lazima jamii iingiwe na hofu ya kufahamu hiki kitu kipo na kinaua, hapo watatia akili na kuchukua tahadhari.
MK254 tuwache bwana, sisi ni dona kantri wenye maabara moja tu yenye uwezo wa kupima covid-19 ambayo nayo inayofanyiwa uchunguzi kama kweli "ina akili timamu". Ukweli mchungu, lakini ni wale tu ambao matumbo yao yameunyang'anya ubongo kazi ndiyo pekee wanaushabikia uongozi wa huu mchama wa MCC.Hiyo soon tutakua soon tutakua soon tutakua ni wimbo mumeimba sana, halafu nilishangaa sana kuona sehemu eti waziri mkuu wenu anasema kale kasafu kenu ka SGR Dar-Moro mpaka sasa ni 77%
Yaani mnavyojitutumua na kuhema na kutapatapa mpaka awamu ya tano inaisha hatamu ya kwanza hamna chochote mlichokamilisha cha kuonekana.
Awamu ya nne Kikwete aliwakimbiza kiana lakini kwa sasa naona ni mikwara na hasira tu hamna kitu, na ndio maana mnakua wakali kwa hili la corona, mnacheza tiki taka za mapaipai.
Ni vigumu kuchukua tahadhari bila hofu, fahamu hofu ni hisia za kibiolojia na iliumbwa kwenye miili yetu ili ituwezeshe kuchukua tahadhari panapostahiki, usingekua na hofu hata unaweza kwenda kumshika simba kidevu maana huogopi chochote, lazima jamii iingiwe na hofu ya kufahamu hiki kitu kipo na kinaua, hapo watatia akili na kuchukua tahadhari.
Kwa namna tulivyochukua hatua dhidi ya corona ilikuwa si rahisi kuficha vifo vya mtaani,yaani tungekuwa tunaokota maoti kibao kila siku lakini ni tofauti watu wote sisi tunaishi mitaani, tena huku uswahillini kabisa full michanganyiko, hakuna mtu anayejali kama kuna corona toka mwezi wa 3 cha kushangaza watu wapo kama kawaida, hafi mtu kama mlivyotabiri ,maisha yanasonga. Hamuwezi kuongopa sisi sote tunaishi mitaani,tena mitaa yenye mchanganyiko wa watu haswaaaa na tunaona maisha yanavyoendelea,imefika hatua sasa hadi malofa yaani watu huku mitaani wanaona kama corona hakuna,wanaona kama ilikuwa story tu,na watu wangekuwa wanakufa, tungeona maiti mtaani, tungeona muitiko wake.Kama takwimu hazitolewi wiki 2 wewe umejuaje
Unajua kusoma jina la nchi yako, mko namba ngapi hapa naomba majibu
The Poorest Countries in the World (2019-2023)
Suala la kuondokewa na ndugu wa karibu lipo miaka yote hata hiyo corona haijaja..Laiti ungepata uchungu na maumivu ya kuzika ndugu yako wa damu ukisaidiwa na wat wasiozidi 10 usingeropoka haya.
The pitch and feeling ya kuondokewa na ndg anayeipata na muhusika. Kaa kimya, omba Mungu lisikukite hasa kwa sbb ya Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwangu bado nipo kitandani hata kuamka sijaamka.
Hakuna namna, kama walichukua hatua na kufanya "lockdown" (hata kama ni kwa baadhi ya counties) wakati sisi tunalalama waTz kuwa ni masikini na hawataweza basi tuwatambue tu kuwa ni matajiri, tuwache roho mbaya!Hivi nyie Ni matajiri?
Lazima niwe nazo siwezi kwenda kumzika sio poa.Kaka yako kafariki jana afu una mahasira hivyo. Covid 19 ipo, but not to that extent. Hata nchi ziloathirika sana, wanaopona ni wengi zaidi ya wanaokufa, na WHO wamesema the disease is here to stay, so either isolate forever au prevent.
Sasa usiwe na moto kipindi hiki, you need to be more positive.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajizuia Kula? Sema bro kama huna chakula nipe nambako Mpesa tukuchangie...TZ tuna ukarimu chakula is necessary for everyone
Sent using Jamii Forums mobile app
That's normal in ugly rough Kenya.Kenya Gava turned his citizens to zombies
https://www.facebook.com/video.php?v=1944948085641180
Yaani sisi tumesongamana kwenye vilabu vya pombe na machangu? we jamaa unadharau kinoma.Wakati wenye bar wanalia huku.Sisi tunasonga mbele nyie endeleeni na utaratibu wenu huko Kenya.Labda niawashauri Watanzania, acheni kujichokea kwa huo umaskini wenu, mnakata tamaa mapema sana, endeleeni kupambana, chukua tahadhari, acheni kusongamana kwenye vilabu vya pombe na machangu.
Yaani sisi tumesongamana kwenye vilabu vya pombe na machangu? we jamaa unadharau kinoma.Wakati wenye bar wanalia huku.Sisi tunasonga mbele nyie endeleeni na utaratibu wenu huko Kenya.