CORONA isiwe mtaji wa kisiasa, hawakujali hata kama tungeisha wote

CORONA isiwe mtaji wa kisiasa, hawakujali hata kama tungeisha wote

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
Tusipotoshwe kua Korona haikua na athari, huende sisi tuliadhirika zaidi kuliko mataifa menginge ni kwa vile hatukua na takwimu za walipoteza maisha walizificha. Ni kweli tulimpoteza ndugu zetu wengi sana kwa gonjwa hili na kwa sababu haikuwekwa wazi basi wanaendelea kutotuambia ukweli.

Sasa wanageuza Corona kama mtaji wa kisiasa wakati lengo lako halikuwa kututakia mema bali ilikua ni kubana bajeti na kuyumba kiuchumi.

Yaani ilikua ni kuogopa anguko za kisiasa kwa sababu ya kupoteza rasilimali ambazo zingetumika kwa ajili ya kukabiliana na Corona. Kwa mtanzania anayeelewa atajua dhamira kuhusu Korona ilikua nini na ndiyo maana inatumika kama mtaji wa kisiasa.
 
Sina ndugu wala rafiki aliekufa kwa corona so acha kupotosha. Ila pia kama watu wanatumia risasi 16 kama mtaji wa kisiasa kwanini waliotuvusha salama kwenye janga la corona wasilitumie kisiasa?
 
Sina ndugu wala rafiki aliekufa kwa corona so acha kupotosha. Ila pia kama watu wanatumia risasi 16 kama mtaji wa kisiasa kwanini waliotuvusha salama kwenye janga la corona wasilitumie kisiasa?
Ni wewe lakini wapo waengi waliopoteza ndugu zao kwa uzembe tu
 
Corana imekuja mwezi wa nne mwaka huu haiwezi wasaidia kuwapa kura. Kinachowanyima kura ni kusomeshwa namba watu wengi uhofia kusomeshwa namba tena
 
Tusipotoshwe kua Korona haikua na athari, huende sisi tuliadhirika zaidi kuliko mataifa menginge ni kwa vile hatukua na takwimu za walipoteza maisha walizificha. Ni kweli tulimpoteza ndugu zetu wengi sana kwa gonjwa hili na kwa sababu haikuwekwa wazi basi wanaendelea kutotuambia ukweli.

Sasa wanageuza Corona kama mtaji wa kisiasa wakati lengo lako halikuwa kututakia mema bali ilikua ni kubana bajeti na kuyumba kiuchumi.

Yaani ilikua ni kuogopa anguko za kisiasa kwa sababu ya kupoteza rasilimali ambazo zingetumika kwa ajili ya kukabiliana na Corona. Kwa mtanzania anayeelewa atajua dhamira kuhusu Korona ilikua nini na ndiyo maana inatumika kama mtaji wa kisiasa.
Kwahiyo wale waliotaka tujifungie ndani ndio walikuwa na akili wa kutumia huo mtaji?,Punguani mkubwa wewe.
Ngoja tuseme ukweli kuwa wapinzani walitaka kutupitisha pabaya.
HATA TUKIWAPA NCHI WATATUPITISHA PABAYA TUU.
WAOGOPENI WAPINZANI KAMA UKOMA.
 
Kwahiyo wale waliotaka tujifungie ndani ndio walikuwa na akili wa kutumia huo mtaji?,Punguani mkubwa wewe.
Ngoja tuseme ukweli kuwa wapinzani walitaka kutupitisha pabaya.
HATA TUKIWAPA NCHI WATATUPITISHA PABAYA TUU.
WAOGOPENI WAPINZANI KAMA UKOMA.
Punguani mama yk
 
Wewe ni Moja ya Matahira/Matahila wa kizazi hiki.

Sawa, Tufanye walifanya kama ulivyosema tusipate anguko la kisiasa na kubana budget.

Je, baada ya hicho unachokisema kama sababu, tulifanikiwa kupambana nayo au??

Huoni basi ilikuwa njia nzuri ya kupambana na "COVID" au ulitaka tujifunze kwa walioshindwa??

Siasa isikufanye ukawa punguani katika mambo ya msingi.
 
Hao viongozi wenu waliokuwa wakimtukana Magufuli kuwa Corona haiwezi kuondoka kwa maombi ndiyo walikuwa sahihi?

Leo hii ndiyo mnaona Mungu ana msaada kwenu?

Mbowe alisisitiza lockdown, Lissu akamtukana Magufuli kwa kuongoza taifa katika maombi.

Uongozi Bora Magufuli ameuonyesha na tumeona, anastahili mitano Tena.

Ni wachache tu ndiyo hawaelewi karama aliyonayo Magufuli.

More 5 again [emoji1241][emoji1241]
 
Wewe ni Moja ya Matahira/Matahila wa kizazi hiki.

Siasa isikufanye utoke wazimu. Umenikwaza sana na thread yako.
Tuondolee Ushamba wako hapo. Kama umekwaziks kachukue khanga kutundikwa kwenye paa umalize hasira zako. Tinaongelea mambo muhimu wewe unaleta upuuzi wako hapo? Very poor you
 
Wapuuzi hampati kura kwa kumchafua Magufuli kisiasa, mtakubali tu!

Magufuli mitano tena [emoji1241]
Acha upunguani, Magufuli anachaguliwa na nyie msosema ukweli mnampotosha kwa sababu ya matumbo yenu
 
Corana imekuja mwezi wa nne mwaka huu haiwezi wasaidia kuwapa kura. Kinachowanyima kura ni kusomeshwa namba watu wengi uhofia kusomeshwa namba tena
Lowassa ambaye miaka mingi tu alikuwa akitambulika na wananchi kama fisadi hafai kabisa ila 2015 ghafla tu kahamia upinzani kapewa nafasi ya kugombea urais na wananchi wakampigia kura bila shida yeyote kuhusu past yake.
 
Tusipotoshwe kua Korona haikua na athari, huende sisi tuliadhirika zaidi kuliko mataifa menginge ni kwa vile hatukua na takwimu za walipoteza maisha walizificha. Ni kweli tulimpoteza ndugu zetu wengi sana kwa gonjwa hili na kwa sababu haikuwekwa wazi basi wanaendelea kutotuambia ukweli.

Sasa wanageuza Corona kama mtaji wa kisiasa wakati lengo lako halikuwa kututakia mema bali ilikua ni kubana bajeti na kuyumba kiuchumi.

Yaani ilikua ni kuogopa anguko za kisiasa kwa sababu ya kupoteza rasilimali ambazo zingetumika kwa ajili ya kukabiliana na Corona. Kwa mtanzania anayeelewa atajua dhamira kuhusu Korona ilikua nini na ndiyo maana inatumika kama mtaji wa kisiasa.

Mwisho wa siku na mwisho wa yote
Screenshot_20200929-140107.jpg


Tunasema Tano tena kwa John Pombe Joseph Magufuli 😍👍
 
Lowassa ambaye miaka mingi tu alikuwa akitambulika na wananchi kama fisadi hafai kabisa ila 2015 ghafla tu kahamia upinzani kapewa nafasi ya kugombea urais na wananchi wakamchagua bila shida yeyote kuhusu past yake.
Amzidi aliyepo ambae ni wa 17 sasa afrika kwa kuwa na pesa ndefu Hali si mfanyabiashara.
 
Back
Top Bottom