CORONA isiwe mtaji wa kisiasa, hawakujali hata kama tungeisha wote

CORONA isiwe mtaji wa kisiasa, hawakujali hata kama tungeisha wote

Tusipotoshwe kua Korona haikua na athari, huende sisi tuliadhirika zaidi kuliko mataifa menginge ni kwa vile hatukua na takwimu za walipoteza maisha walizificha. Ni kweli tulimpoteza ndugu zetu wengi sana kwa gonjwa hili na kwa sababu haikuwekwa wazi basi wanaendelea kutotuambia ukweli.

Sasa wanageuza Corona kama mtaji wa kisiasa wakati lengo lako halikuwa kututakia mema bali ilikua ni kubana bajeti na kuyumba kiuchumi.

Yaani ilikua ni kuogopa anguko za kisiasa kwa sababu ya kupoteza rasilimali ambazo zingetumika kwa ajili ya kukabiliana na Corona. Kwa mtanzania anayeelewa atajua dhamira kuhusu Korona ilikua nini na ndiyo maana inatumika kama mtaji wa kisiasa.
Usidanganywe namtu yeye mwenyewe alijiweka karantini chato
 
Tusipotoshwe kua Korona haikua na athari, huende sisi tuliadhirika zaidi kuliko mataifa menginge ni kwa vile hatukua na takwimu za walipoteza maisha walizificha. Ni kweli tulimpoteza ndugu zetu wengi sana kwa gonjwa hili na kwa sababu haikuwekwa wazi basi wanaendelea kutotuambia ukweli.

Sasa wanageuza Corona kama mtaji wa kisiasa wakati lengo lako halikuwa kututakia mema bali ilikua ni kubana bajeti na kuyumba kiuchumi.

Yaani ilikua ni kuogopa anguko za kisiasa kwa sababu ya kupoteza rasilimali ambazo zingetumika kwa ajili ya kukabiliana na Corona. Kwa mtanzania anayeelewa atajua dhamira kuhusu Korona ilikua nini na ndiyo maana inatumika kama mtaji wa kisiasa.
Wewe acha kuleta porojo zako za kijiweni kwa kokosa expossure
Unafikiri unaweza kuficha vifo vinavyoletwa na ugonjwa wa mlipuko unao ua kwa kasi. Uliza Itally walikuwa wanazika watu wa ngapi kwa mji mmoja hadi wakaomba wanajeshi wapelekwe kusaidia kuzika
Kimsingi kuna mambo yanafanyiwa uchunguzi;
Mf: Pamoja na maombi yaliyofanyika, ni vitu gani vingine vimechangia kuimarisha kinga zetu kuliko mataifa mengine hasa Nchi zilizoendelea. Hiyo ndiyo reseach kubwa inaendeshwa na Jopo la madactari Bingwa duniani
 
Sina ndugu wala rafiki aliekufa kwa corona so acha kupotosha. Ila pia kama watu wanatumia risasi 16 kama mtaji wa kisiasa kwanini waliotuvusha salama kwenye janga la corona wasilitumie kisiasa?
Kwanini nawewe hukutembea mitaani ulikimbilia chato?
 
Tusipotoshwe kua Korona haikua na athari, huende sisi tuliadhirika zaidi kuliko mataifa menginge ni kwa vile hatukua na takwimu za walipoteza maisha walizificha. Ni kweli tulimpoteza ndugu zetu wengi sana kwa gonjwa hili na kwa sababu haikuwekwa wazi basi wanaendelea kutotuambia ukweli.

Sasa wanageuza Corona kama mtaji wa kisiasa wakati lengo lako halikuwa kututakia mema bali ilikua ni kubana bajeti na kuyumba kiuchumi.

Yaani ilikua ni kuogopa anguko za kisiasa kwa sababu ya kupoteza rasilimali ambazo zingetumika kwa ajili ya kukabiliana na Corona. Kwa mtanzania anayeelewa atajua dhamira kuhusu Korona ilikua nini na ndiyo maana inatumika kama mtaji wa kisiasa.
Jiwe alikuwatayari tuishe wote kwa course aliyoichukua maana kulikuwa na hatari ya terrible epidemic
 
menginge ni kwa vile hatukua na takwimu za walipoteza maisha walizificha
Takwimu zipi zilifichwa‼️⁉️, tupe takwimu zako wewe: katika ukoo wako walikufa wangapi, mtaani kwako walikufa wangapi, kijijini kwenu walikufa wangapi!?. Wewe unatafuta kick kwa kuleta uongo
 
Tusipotoshwe kua Korona haikua na athari, huende sisi tuliadhirika zaidi kuliko mataifa menginge ni kwa vile hatukua na takwimu za walipoteza maisha walizificha. Ni kweli tulimpoteza ndugu zetu wengi sana kwa gonjwa hili na kwa sababu haikuwekwa wazi basi wanaendelea kutotuambia ukweli.

Sasa wanageuza Corona kama mtaji wa kisiasa wakati lengo lako halikuwa kututakia mema bali ilikua ni kubana bajeti na kuyumba kiuchumi.

Yaani ilikua ni kuogopa anguko za kisiasa kwa sababu ya kupoteza rasilimali ambazo zingetumika kwa ajili ya kukabiliana na Corona. Kwa mtanzania anayeelewa atajua dhamira kuhusu Korona ilikua nini na ndiyo maana inatumika kama mtaji wa kisiasa.
Prof fake.
 
Tusipotoshwe kua Korona haikua na athari, huende sisi tuliadhirika zaidi kuliko mataifa menginge ni kwa vile hatukua na takwimu za walipoteza maisha walizificha. Ni kweli tulimpoteza ndugu zetu wengi sana kwa gonjwa hili na kwa sababu haikuwekwa wazi basi wanaendelea kutotuambia ukweli.

Sasa wanageuza Corona kama mtaji wa kisiasa wakati lengo lako halikuwa kututakia mema bali ilikua ni kubana bajeti na kuyumba kiuchumi.

Yaani ilikua ni kuogopa anguko za kisiasa kwa sababu ya kupoteza rasilimali ambazo zingetumika kwa ajili ya kukabiliana na Corona. Kwa mtanzania anayeelewa atajua dhamira kuhusu Korona ilikua nini na ndiyo maana inatumika kama mtaji wa kisiasa.
Kila mtu anayo haki ya kufa au kuishi! Kufungia watu kwa kisingizio cha Corona kama mataifa mengi yanavyofanya kwa kutumia mabavu ndio jambo baya zaidi! Tuliongozwa vyema sana na JPM vita ya Corona
 
Back
Top Bottom