#COVID19 Corona: Marekani yaiweka Tanzania katika Mataifa Hatarini

#COVID19 Corona: Marekani yaiweka Tanzania katika Mataifa Hatarini

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Iko kama "The Comedy" tu:

US puts Tanzania, five other countries on travel red list

Beberu sasa katupiga kalamu kama ilivyo kwa France, Portugal, Cyprus au Andorra.

Wengine wanapambana na hali zao, ila washupavu sisi.

India ilitaarifu abiria kuwasili kwao kutokea kwetu akiwa na kirusi Omicron. Wenyewe kwa raha zetu tungali tunachunguza ati kuwa, inaweza kuwa alitokea kwingine.

Screen Shot 2021-12-09 at 12.30.20.png


COVID-19: India adds Ghana and Tanzania to list of 'at risk' countries - The Financial Express

Kwamba ni vita vya kiuchumi? Kwamba tunao uzoefu wa kuishi nao?

Labda ungekuwa UKIMWI.

-------------
#COVID19 - Tujifunze kuyasoma maonyo ya COVID-19
 
Iko kama "The Comedy" tu:

US puts Tanzania, five other countries on travel red list

Beberu sasa katupiga kalamu kama
ilivyo kwa France, Portugal, Cyprus au Andorra.

Wengine wanapambana na hali zao, ila washupavu sisi.

India ilitaarifu abiria kuwasili kwao kutokea kwetu akiwa na kirusi Omicron. Wenyewe kwa raha zetu tungali tunachunguza ati kuwa, inaweza kuwa alitokea kwingine.

COVID-19: India adds Ghana and Tanzania to list of 'at risk' countries - The Financial Express

Kwamba ni vita vya kiuchumi? Kwamba tunao uzoefu wa kuishi nao?

Labda ungekuwa ukimwi.

-------------
#COVID19 - Tujifunze kuyasoma maonyo ya COVID-19
Hangaya yeye mwenyewe ansemaje kuhusu hiyo vita ya kiuchumi?
 
Kwetu ngoja tuchunguze kwanza.

Aliyesema hayo aliwahi pia kusema pale Mhimbili wanamalizia malizia kutengeneza chanjo yetu. Kisha kimya kama vile hakuwahi kusema.

Watakuwa wanatuona mazuzu kweri kweri.
Dawa ya bishoo ni kuwa bishoo zaidi yake
 
Back
Top Bottom