Iko kama "The Comedy" tu:
US puts Tanzania, five other countries on travel red list
Beberu sasa katupiga kalamu kama ilivyo kwa France, Portugal, Cyprus au Andorra.
Wengine wanapambana na hali zao, ila washupavu sisi.
India ilitaarifu abiria kuwasili kwao kutokea kwetu akiwa na kirusi Omicron. Wenyewe kwa raha zetu tungali tunachunguza ati kuwa, inaweza kuwa alitokea kwingine.
COVID-19: India adds Ghana and Tanzania to list of 'at risk' countries - The Financial Express
Kwamba ni vita vya kiuchumi? Kwamba tunao uzoefu wa kuishi nao?
Labda ungekuwa UKIMWI.
-------------
#COVID19 - Tujifunze kuyasoma maonyo ya COVID-19
US puts Tanzania, five other countries on travel red list
Beberu sasa katupiga kalamu kama ilivyo kwa France, Portugal, Cyprus au Andorra.
Wengine wanapambana na hali zao, ila washupavu sisi.
India ilitaarifu abiria kuwasili kwao kutokea kwetu akiwa na kirusi Omicron. Wenyewe kwa raha zetu tungali tunachunguza ati kuwa, inaweza kuwa alitokea kwingine.
COVID-19: India adds Ghana and Tanzania to list of 'at risk' countries - The Financial Express
Kwamba ni vita vya kiuchumi? Kwamba tunao uzoefu wa kuishi nao?
Labda ungekuwa UKIMWI.
-------------
#COVID19 - Tujifunze kuyasoma maonyo ya COVID-19