- Thread starter
- #21
Wachumia tumbo wa chadema wanasemaje?
Usijisikie vibaya mkuu. Hili si la CCM, Chadema wala ACT. Huu ugonjwa hauna mwenye nao.
Hata France, Portugal na Greece wametajwa humo. Ustaarabu ni kila mmoja kupambana na hali yake:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachumia tumbo wa chadema wanasemaje?
Haaaaaa
Chanjo ya nini
Chanjeni tu inazuia maambukizi
Tukichanjwa tutasafiri kwa uhuru wewe chanja tu
Watu wemechanjwa bado wanaonekana watu hatarishi
tuache mbwembwe beberu hana rafiki...ona sasa anavyotufanya....JPM aliamua tu kuachana na mbwembwe...
Kwa hiyo wewe unataka tufanyeje kwa mfano?Iko kama "The Comedy" tu:
US puts Tanzania, five other countries on travel red list
Beberu sasa katupiga kalamu kama
ilivyo kwa France, Portugal, Cyprus au Andorra.
Wengine wanapambana na hali zao, ila washupavu sisi.
India ilitaarifu abiria kuwasili kwao kutokea kwetu akiwa na kirusi Omicron. Wenyewe kwa raha zetu tungali tunachunguza ati kuwa, inaweza kuwa alitokea kwingine.
COVID-19: India adds Ghana and Tanzania to list of 'at risk' countries - The Financial Express
Kwamba ni vita vya kiuchumi? Kwamba tunao uzoefu wa kuishi nao?
Labda ungekuwa ukimwi.
-------------
#COVID19 - Tujifunze kuyasoma maonyo ya COVID-19
Wengine tunaitwa eti wapotoshaji ngoja tuwaona hao waelimishaji wataishia wapii yaaani Mimi na JPM wapotoshaji kweli mtakiona......
Wanasema panua upwiro wamwage ndaniWachumia tumbo wa chadema wanasemaje?
Kwa hiyo wewe unataka tufanyeje kwa mfano?
Corona ianze kwao adhabu tupewe sisi
Chanjo nazo bado watazileta au?
Wanahangaika tu, Covid ni ya kuishi nayo tu, haiishi leo wala kesho. Alafu si wanechanja hawa? Wanaogopa nini sasa?
Sasa atasafiri vipi sasa na watu wake kutafuta masoko na wawekezajiHangaya yeye mwenyewe ansemaje kuhusu hiyo vita ya kiuchumi?
Sasa atasafiri vipi sasa na watu wake kutafuta masoko na wawekezaji
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Hapo itabidi awe likizo ya kusafiriSasa atasafiri vipi sasa na watu wake kutafuta masoko na wawekezaji
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Wewe ulikuwa mtangaza corona wakati uleee!! Naona sasa ajira yako imerudi. By the way USA siyo chakula cha watz. Sisi tunaendelea na maisha yetu kama kawaida tu. Bidhaa nyingi tunatoa china na wala si huko USAMtanzania kwenye ubora wako:
View attachment 2037310
Kuchunguza abiria wa India na chanjo za mhimbili ni sehemu ya ubora huo.