#COVID19 Corona: Marekani yaiweka Tanzania katika Mataifa Hatarini

#COVID19 Corona: Marekani yaiweka Tanzania katika Mataifa Hatarini

Wachumia tumbo wa chadema wanasemaje?

Usijisikie vibaya mkuu. Hili si la CCM, Chadema wala ACT. Huu ugonjwa hauna mwenye nao.

Hata France, Portugal na Greece wametajwa humo. Ustaarabu ni kila mmoja kupambana na hali yake:

IMG_20211208_075629_531.jpg
 
tuache mbwembwe beberu hana rafiki...ona sasa anavyotufanya....JPM aliamua tu kuachana na mbwembwe...

Gonjwa hili kama algebra Lina njia na jibu moja tu.

Maoni ya Tiganga na Siyani huku si kwao tena.

Beberu kwenye hilo yuko wazi. Ndiyo maana si France, Portugal, au Greece wametulizana isipokuwa wenye midomo!

Atalaumiwa sana dobi, ila kaniki ni rangi yake!
 
Wengine tunaitwa eti wapotoshaji ngoja tuwaona hao waelimishaji wataishia wapii yaaani Mimi na JPM wapotoshaji kweli mtakiona......
 
Iko kama "The Comedy" tu:

US puts Tanzania, five other countries on travel red list

Beberu sasa katupiga kalamu kama
ilivyo kwa France, Portugal, Cyprus au Andorra.

Wengine wanapambana na hali zao, ila washupavu sisi.

India ilitaarifu abiria kuwasili kwao kutokea kwetu akiwa na kirusi Omicron. Wenyewe kwa raha zetu tungali tunachunguza ati kuwa, inaweza kuwa alitokea kwingine.

COVID-19: India adds Ghana and Tanzania to list of 'at risk' countries - The Financial Express

Kwamba ni vita vya kiuchumi? Kwamba tunao uzoefu wa kuishi nao?

Labda ungekuwa ukimwi.

-------------
#COVID19 - Tujifunze kuyasoma maonyo ya COVID-19
Kwa hiyo wewe unataka tufanyeje kwa mfano?
 
Corona ianze kwao adhabu tupewe sisi
 
Wengine tunaitwa eti wapotoshaji ngoja tuwaona hao waelimishaji wataishia wapii yaaani Mimi na JPM wapotoshaji kweli mtakiona......

Kwamba:

1. Corona ni vita vya kiuchumi
2. Chanjo ni upigaji
3. Tupoje nyungu na tutumie matango pori

Huo ni upotoshaji. Kumbuka makalio ndiyo yanayoendelea kutuweka hatarini.

IMG_20211208_075629_531.jpg
 
Mtanzania kwenye ubora wako:

View attachment 2037310

Kuchunguza abiria wa India na chanjo za mhimbili ni sehemu ya ubora huo.
Wewe ulikuwa mtangaza corona wakati uleee!! Naona sasa ajira yako imerudi. By the way USA siyo chakula cha watz. Sisi tunaendelea na maisha yetu kama kawaida tu. Bidhaa nyingi tunatoa china na wala si huko USA
 
Back
Top Bottom