Kesho nenda kapime maana naona covid isha kupiga kwenye ubongoWw jamaa ni mtu mbaya sana Kwa watanzania.Tangu umepiga umbeya wa covid ,vitisho na matusi mengi Kwa JPM,Sasa tena umerudi.Bado huna aibu...huoni uongo na ukweli ulishajitenga,bado unakomaa tu.
Kwa Tanzania mpango wenu ovu wa hyo covid umefail..mjipange tena mbwa nyie.
Nenda mlingotini utawakuta kibaoHospital ipi
Wanataka kukubikiriWachumia tumbo wa chadema wanasemaje?
Wagonjwa wa ukimwi si unawaona hospital?
Sema unampenda Mbowe,sio wote tunapenda huyo gaidi,#I hate MboweMungu wa mbinguni mshike mkono mbowe wetu wa Tanzania asije pitishiwa kirusi corokoroni aliko tunampenda
Sema unampenda Mbowe,sio wote tunapenda huyo gaidi,#I hate Mbowe
Hizo travel bans kwa sasa ni upuuzi tu, Kuna nguvu kubwa inatumika kufanya ugonjwa wa corona uwe ugonjwa kutokea bara la Afrika
View attachment 2037474
Hata kabla ya Omricon, kuingia USA ilikuwa ni lazima uwe na cheti cha chanjo...
Pili, hadi sasa lazima uwe umejifunza kuwa hakuna nchi inaweza kuzuia kirusi cha korona kuingia kwenye nchi husika labda wafunge mipaka kabisa "total lockdown"
Kuna jamaa mmoja humu anaimba mapambio ya mama ananunua ambyulesi kila kijiji kwa ajili ya chanjo!.Pamoja na chanjo za aina zote tunazopokea bado hatuaminiki?
Kinachofanywa sasa hivi na hayo mataifa ni politics tu, hakuna ban iliyowekwa with proper scientific justification, hii ndio ilikuwa initial response ya "western" nations baada ya cases za Omicron kutangazwaKatika nchi 5 tajwa hapo ya Africa ni moja ambayo imetamka wazi kuwa yenyewe imeuzowea. Hata India iliponyanyua bendera yenyewe iko busy kukusanya watu Tanganyika packers na kesho Uhuru.
Sasa mkuu ulitaka kushangiliwa?
Kinachofanywa sasa hivi na hayo mataifa ni politics tu, hakuna ban iliyowekwa with proper scientific justification, hii ndio ilikuwa initial response ya "western" nations baada ya cases za Omicron kutangazwaView attachment 2037517
Kuna jamaa mmoja humu anaimba mapambio ya mama ananunua ambyulesi kila kijiji kwa ajili ya chanjo!.
Zile nyingine geresha walengwa ni wawili hapo.Kuna kitu wanataka kwa Ufaransa, SA, Portugal, Greece nk, au Tanzania tu?
Ndo ujue kwenye chanjo tumepigwa na kitu kizito kichwani, gen Collins alikuwa kachanja chanjo zote lkn ndiyo hivyo.Wanahangaika tu, Covid ni ya kuishi nayo tu, haiishi leo wala kesho. Alafu si wanechanja hawa? Wanaogopa nini sasa?
Zile nyingine geresha walengwa ni wawili hapo.
Acheni tu wazee wachache waliobaki hapa Tz wamalizwe na covid, watu wanapuuzia kuchanja,Kumbuka serikali hii ingali inajivuta vuta miguu. Kuna siasa ingali inafanya na huu ugonjwa.
Kabla ya kujitenga rasmi kutoka katika longo longo za yule bwana aliyekwenda, bado tungali tupo tupo sana kwenye vitabu vyeusi vya mabeberu:
EU vs Tanzania: Zijue sababu za EU Kuuma na Kupuliza
Acheni tu wazee wachache waliobaki hapa Tz wamalizwe na covid, watu wanapuuzia kuchanja,