Corona na kusuasua kwa uchumi ndio kikwazo cha kuruhusu mikutano ya kisiasa, CHADEMA kuweni waelewa

Corona na kusuasua kwa uchumi ndio kikwazo cha kuruhusu mikutano ya kisiasa, CHADEMA kuweni waelewa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa sasa mkazo unawekwa katika kudhibiti wimbi la tatu la covid 19 pamoja na kuimarisha hali ya uchumi wetu ikiwemo kuwarejesha wawekezaji waliotukimbia.

Kuruhusu mikutano ya kisiasa na ile ya Katiba Mpya kutarudisha nyuma jitihada hizi kwani Tanzania siyo kisiwa.

Rais Samia yuko sahihi.

Mbowe na Tundu Lissu vuteni subira mambo mazuri yanakuja.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
 
Back
Top Bottom