#COVID19 Corona ni Mtihani, Jee Ummy Mwalimu Amepasi Mtihani?. Mnaonaje Ampokee Majaaliwa as PM, na Majaliwa Ampokee Magufuli?.

#COVID19 Corona ni Mtihani, Jee Ummy Mwalimu Amepasi Mtihani?. Mnaonaje Ampokee Majaaliwa as PM, na Majaliwa Ampokee Magufuli?.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,
Nmemsikiliza Waziri Ummy Mwalimu akizungumzia changamoto za uwaziri wake kwenye Janga la Corona.

Kwanza naomba kukiri, kwa vile Waziri huyu ni mwanamke, na jinsi alivyo, muonekano wake wa sura, shape, macho yale, kaumbo portable fulani, ukijumlisha ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.

Lakini kupitia janga hili la Corona, kuna mambo ya chini kwa chini, mambo ya ndani kwa ndani yametokea ambayo yametokea na hayajatajwa mpaka sasa ila tumetangaziwa tuu matokeo,
  1. KM ambaye ni MD ameng'olewa, na kuhamishwa!, unajua why?!
  2. Chief Medical Officer ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  3. Mkurugenzi Mkuu wa Central Medical Laboratory ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?!.
  4. Mkurugenzi Mkuu wa MSD ambaye ni MD, ameng'olewa!, ameletwa mjeshi!, unajua why?.
  5. Naibu Waziri ambaye ni MD, ameng'olewa!, unajua why?.
Matokeo haya ni indications ya kulikuwa na mambo ya chini kwa chini, ndani kwa ndani ambayo sisi huku kwenye public hatuyajui bali tumeona tuu matokeo ya watu kupanguliwa!, hawa wanaopanguliwa ni madakitari na wataalamu wabobezi!, ila matokeo haya yanamfanya, kwenye janga hili la Corona, Ummy Mwalimu ambaye sio MD, amezungukwa na ma MDs 5, ambao wote wameng'olewa, kumemfanya huyu Ummy Mwalimu to stand as the odd man out!. Huu ni uthibitisho Ummy Mwalimu is very Special!. Swali la kujiuliza ni what is so special about her?. Ni uwezo wa kiutendaji kwenye ability au ni ule uwezo wa kutoka Tanga?. Andamana nami....

To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu



Na baada ya kumsikia rais Magufuli akimsifu, Ummy Mwalimu, sasa msikilize Mhe. Ummy Mwalimu mwenyewe akizungumza,


Naamini baada ya kusikiliza, utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka kweli kweli.

Sasa katika ulingo wa siasa za Tanzania, kwa muda mrefu tumekuwa tuki undermines "strength of a woman" kwenye politics kuwa Tanzania, ukimuondoa Makamo wa rais, Mama Samia Suluhu Hassan, hatuna mwanamke presidential material kama nilivyo uliza hapa..
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums

Jee sasa kupitia mtihani huu wa Corona, jee Mhe. Ummy Mwalimu, amepasi mtihani? Jee anaweza?, ni uwezo wa hata kuwa presidential material?, au haya ni mambo ya Tanga?!. Hivi kweli inawezekana vipi madaktari Bingwa hao wote watano waliomzunguka, wameng'olewa, na yeye ambaye wala sio daktari ndio kaibuka shujaa wa Corona?!. Ni utendaji uliotukuka, professionalism, or pia kuna Tangaism?!.

Jee mnaonaje, should we put her to a test kwanza kwa kumjaribu ampokee Majaliwa kwenye u PM, na Majaliwa ampokee Magufuli?, akiweza, then apande kule juu kileleni?.

NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?, anaweza?, atafiti?, au haya ya Corona ni mazingaumbwe tuu ya Tanga?.

Ombi: Katika kujadili hili, please tusilete stereotypes kwenye issue hii!.

Paskali
 
Itakuwa serkali ya waislamu rais.makamu wake maana lazima atoke Zanzibar pia ummy hapo italeta kasheshe mfano wakati wa kikwete na mwinyi ililazimika ma pm wote wawe wakristo ili kuunda ummoja wa kitaifa
 
Kama nchi tumepatwa na tumepatikana...!!
Daah kazi wachape watoa huduma za afya...
Sifa kemkem apewe mchonga maneno Ummy...!!!
Alafu PASKALI; najua kabisa yule mtoa sifa hapangiwagi...
Lakini hivi kweli hakuona mchango wa ile kamati ya kitaifa chini ya waziri mkuu...??
Nisije tafsiriwa vibaya.... Hivi PASKALI ni kuwa wagonjwa wamepungua au watu wamekacha kwenda hospitali?
Na je, kupungua kwa wagonjwa bila kujua hali halisi ya maambukizi huku madongokwinama ni conclusion muafaka kuwa Covid-19 nayo imepungua...??
Hivi PASKALI mbona mnapenda sana petty politics hadi kwenye uhai wa wananchi...??
Scientific problems call for scientific solutions...!!
 
Kama nchi tumepatwa na tumepatikana...!!
Daah kazi wachape watoa huduma za afya...
Sifa kemkem apewe mchonga maneno Ummy...
Alafu PASKALI; najua kabisa yule mtoa sifa hapangiwagi...
Lakini hivi kweli hakuona mchango wa ile kamati ya kitaifa chini ya waziri mkuu...??
Nisije tafsiriwa vibaya.... Hivi PASKALI ni kuwa wagonjwa wamepungua au watu wamekacha kwenda hospitali?
Na je, kupungua kwa wagonjwa bila kujua hali halisi ya maambukizi huku madongokwinama ni conclusion muafaka kuwa Covid-19 nayo imepungua...??
Scientific problems call for scientific solutions...!!
Hivi PASKALI mbona mnapenda sana petty politics hadi kwenye uhai wa wananchi...??
Sasa kuna tatizo gani kama watu hawaendi hospitali wanajiponya wenyewe hata huko ulaya walitangaza kwamba wale serious cases tu ndio waende hospitali after all ugonjwa wenyewe hauna dawa. Nchi zingine ulaya zikatutangazia kifo siye wazee wenye umri kuanzia miaka sitini tusionekane kabisa hospitali au hamkusoma jamani?
Tuombee nchi yetu Mungu atuepushe ni hili balaa kwani nikiangalia raia wa nchi yetu watu wemgi hata fedha ya kununua barakoa hawana na wengine wengi hawajui hili gonjwa na wengine wengi hawajali kama huku Arusha terrible kama utavamia kikwelikweli basi hakuna atakae baki mzima. Ndio maana tunaungana na Rais wetu mpendwa kwamba tuzidi kumuomba na kumshukuru Mungu. Wazungu walijua kwamba ikifika April Tanzania hasa Dar es alaam tutakufa kama kuku wanaogua kideri lakini wapi nguvu ya Mungu imetamalaki wao ndio wanapuputika pamoja na utajiri wao pamoja na elimu yao pamoja na majigambo yao. Usidharau dawa asili mke wangu ana wiki sasa amepona hapa hapa nyumbani Tunamshukuru Mungu.
 
Sasa kuna tatizo gani kama watu hawaendi hospitali wanajiponya wenyewe hata huko ulaya walitangaza kwamba wale srious cases tu ndio waende hospitali after all ugonjwa wenyewe hauna dawa. Nchi zingine ulaya zikatutangazia kifo siye wazee wenye umri kuanzia miaka sitini tusionekane kabisa hospitali au hamkusoma jamani?
Tuombee nchi yetu Mungu atuepushe ni hili balaa kwani nikiangalia raia wa nchi yetu watu hasa fedha ya kununua barakoa hawana na wengine wengi hawajui hili gonjwa na wengine wengi hawajali kama huku Arusha terrible kama utavamia kikwelikweli basi hakuna atakae baki mzima. Ndio maana tunaungana na Rais wetu mpendwa kwamba tuzidi kumuomba na kumshukuru Mungu. Wazungu walijua kwamba ikifika April tutakufa kama kuku wanaogua kideri lakini wapi nguvu ya Mungu imetamalaki wao ndio wanapuputika pamoja na utajiri wao pamoja na elimu yao pamoja na majigambo yao. Usidharau dawa asili mke wangu ana wili sasa amepona hapa hapa nyumbani.

Mkeo amepona nini Mkuu??
Umejuaje kuwa amepona??
Kuungana kusifu sawa lakini fahamu kuwa kuna haja ya kuimarisha huduma za afya zaidi ya kutegemea nyungu na miujiza...!!
Kwa nini tunafungua vyuo ili vijana wakasome kama tunapinga taaluma zao...??
Hili gonjwa litusaidie kubadilika na kueshimu taaluma za watu!!!
Scientific problems call for scientific solutions..!!
 
Kama nchi tumepatwa na tumepatikana...!!
Daah kazi wachape watoa huduma za afya...
Sifa kemkem apewe mchonga maneno Ummy...!!!
Alafu PASKALI; najua kabisa yule mtoa sifa hapangiwagi...
Lakini hivi kweli hakuona mchango wa ile kamati ya kitaifa chini ya waziri mkuu...??
Nisije tafsiriwa vibaya.... Hivi PASKALI ni kuwa wagonjwa wamepungua au watu wamekacha kwenda hospitali?
Na je, kupungua kwa wagonjwa bila kujua hali halisi ya maambukizi huku madongokwinama ni conclusion muafaka kuwa Covid-19 nayo imepungua...??
Scientific problems call for scientific solutions...!!
Hivi PASKALI mbona mnapenda sana petty politics hadi kwenye uhai wa wananchi...??
Ninyi mnamwona pascle yupi sawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom