Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,796
- 2,367
UM arudi bush akalime viazi. KM awe prez huko visiwani.
TL prez 2020.
corona ilivyolazimishwa kuondoka Tanzania mpaka yenyewe Ina shangaa[emoji16][emoji16].
Hii ndo Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanabodi,
Nilikuwa namsikiliza Waziri Ummy Mwalimu,
Kwanza naunga nikiri, kwa vile hii ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.
To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu
Lakini baada ya kumsikiliza rais Magufuli akimsifu, na kumsikia mwenyewe akizungumza,
Utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka, jee mnaonaje kama atampokea Majaliwa, na Majaliwa ampokee Magufuli?.
Hii ni kufuatia hoja za bandiko hili
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums
Jee Mhe. Ummy Mwalimu anaweza?.
NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?. Atafiti?.
P
Wanabodi,
Nilikuwa namsikiliza Waziri Ummy Mwalimu,
Kwanza naunga nikiri, kwa vile hii ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.
To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu
Lakini baada ya kumsikiliza rais Magufuli akimsifu, na kumsikia mwenyewe akizungumza,
Utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka, jee mnaonaje kama atampokea Majaliwa, na Majaliwa ampokee Magufuli?.
Hii ni kufuatia hoja za bandiko hili
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums
Jee Mhe. Ummy Mwalimu anaweza?.
NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?. Atafiti?.
P
HahahahaHongera PM kwa kututumua, kila post yako ina links zaidi ya 3, Wasukuma mna laana ya misifa hadi kero, ningezaa na msukuma ningejuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema tumshukuru rais wa Madagascar kwa kutupatia "kichupa cha corona" maana LA sivyo kurudi Dodoma ingekuwa DecemberTumpongeze Rais wetu Magufuli kwa kutoka Chato alikokua amejificha [emoji28] [emoji28] [emoji28] lazima amuone Ummy shujaa…[emoji28][emoji28]
Mh! Amefanya nini? She was receiving orders from Jiwe! Hakuna innovation yoyote aliyoifnya! Hata Majaliwa hana lolote ambalo hata Kingwendu asingeliweza kufanya!Wanabodi,
Nilikuwa namsikiliza Waziri Ummy Mwalimu,
Kwanza naunga nikiri, kwa vile hii ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.
To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu
Lakini baada ya kumsikiliza rais Magufuli akimsifu, na kumsikia mwenyewe akizungumza,
Utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka, jee mnaonaje kama atampokea Majaliwa, na Majaliwa ampokee Magufuli?.
Hii ni kufuatia hoja za bandiko hili
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums
Jee Mhe. Ummy Mwalimu anaweza?.
NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?. Atafiti?.
P
KM will make a good president.Ana hekima na Utu.Serious as wellMayalla toka upewe dongo na mkuu siku ile naona ueleweki na ukumbuke uliambiwa maana ya mayala ni njaa njaaa,sasa naona hapa unataka kutuletea njaa ya ufikiri bro cheza na vyote duniani sio uhai wa mtu.
Sent from my TECNO-J5 using Tapatalk
2020 sio?
Tanga kuna kitu kinaitwa " Mvuto"Wanabodi,
Nilikuwa namsikiliza Waziri Ummy Mwalimu,
Kwanza naunga nikiri, kwa vile hii ni Tanga line, hivyo mwanzo nilidhani kaupata uwaziri kwasababu zile!.
To start with, msikilize rais Magufuli akimzungumzia Waziri Ummy Mwalimu ambapo pia amedokeza sababu za kumtumbua mtu
Lakini baada ya kumsikiliza rais Magufuli akimsifu, na kumsikia mwenyewe akizungumza,
Utakubaliana na mimi, huyu ni mwanamke wa shoka, jee mnaonaje kama atampokea Majaliwa, na Majaliwa ampokee Magufuli?.
Hii ni kufuatia hoja za bandiko hili
Siku ya Wanawake Duniani: Je, Tuna Wanawake Wenye Sifa za Presidential Material?! - JamiiForums
Jee Mhe. Ummy Mwalimu anaweza?.
NB, sijasema lini, nimeuliza tuu mnaonaje?. Huyu atafaa hadi kuja kuwa mwanamke wa kwanza kukalia ile drivers seat?. Atafiti?.
P
Pascal Mayalla yule mwenye njaa...