#COVID19 Corona ni sawa na UKIMWI kwa wazungu, msitutishe!

#COVID19 Corona ni sawa na UKIMWI kwa wazungu, msitutishe!

Point kabisa corona ingekuwa kwetu kama ilivyo kwao Sasa wala wasinge angaika nacc kama ilivyo kua kwenye ebola
 
Kumezuka katabia ka watu kutishia wananchi Kuwa Corona ipo Tanzania utadhani wao wanaumwa Corona au ndugu zao wamekufa kwa CORONA. Watu wamebeba mabango Kuwa serikali inawaficha wagonjwa wa corona. Ukiwauliza wewe unaumwa? Ndugu yako anaumwa hiyo corona? Rafiki yako amekufa kwa corona? Wanabaki kusema watu wanakufa huko kwa Corona.

Niwaambie na kuwashauri Watanzania wenzagu Corona ipo Duniani kama ilivyo Malaria, UKIMWI n.k. Je Wazungu kule kwao Malaria ipo kama ili huku kwetu? Wazungu wanakufa UKIMWI kama tunavyofa Afrika? Kwani kipindi kile watu wanakufa Ebora huko Congo, Uganda n.k Tanzania au USA walikufa?

Hivi Kama Tanzania watu wanakufa kwa UKIMWI na Wazungu hawafi kwa UKIMWI ni dhambi kwa nchi nyingine watu kufa kwa Corona na Tanzania tukabaki salama? Huko kwenu kuna maiti zinaokotwa barabarani Kama walivyotutabilia? Tuache barbaric thinking. Badala ya kumshukuru Mungu Kuwa pamoja na watu huko Duniani kufa kwa corona Mungu umetuepusha na wingu hili tunabaki tunainung'unikia serikali kuwa inaficha utadhani wewe unaumwa na umefichwa! Hapana.

Mungu aliamua kutuachia UKIMWI na ametuepusha na Corona, shida nini? Watanzania tumerogwa na Nani? Inawezekana Tanzania corona ipo, lakini imedhibitiwa na aina ya vyakula tunavyo kula au aina ya maisha tunayoishi. Sasa kwa nini tulazishe tufe kama wanavyokufa wao? Nao Wazungu Mungu amewaepusha na UKIMWI na Malaria sauti sijasikia vizuri....na kazia kwenye lishe..serikali iendelee kudhibiti mbegu zinazoingia GMO's na hizo hybrid wazichunguze kabla hazijafika kwa mtumiaji...namfurahia sana mkuu wa nchi anavyokuwa cautious na hii situation..

Kumezuka katabia ka watu kutishia wananchi Kuwa Corona ipo Tanzania utadhani wao wanaumwa Corona au ndugu zao wamekufa kwa CORONA. Watu wamebeba mabango Kuwa serikali inawaficha wagonjwa wa corona. Ukiwauliza wewe unaumwa? Ndugu yako anaumwa hiyo corona? Rafiki yako amekufa kwa corona? Wanabaki kusema watu wanakufa huko kwa Corona.

Niwaambie na kuwashauri Watanzania wenzagu Corona ipo Duniani kama ilivyo Malaria, UKIMWI n.k. Je Wazungu kule kwao Malaria ipo kama ili huku kwetu? Wazungu wanakufa UKIMWI kama tunavyofa Afrika? Kwani kipindi kile watu wanakufa Ebora huko Congo, Uganda n.k Tanzania au USA walikufa?

Hivi Kama Tanzania watu wanakufa kwa UKIMWI na Wazungu hawafi kwa UKIMWI ni dhambi kwa nchi nyingine watu kufa kwa Corona na Tanzania tukabaki salama? Huko kwenu kuna maiti zinaokotwa barabarani Kama walivyotutabilia? Tuache barbaric thinking. Badala ya kumshukuru Mungu Kuwa pamoja na watu huko Duniani kufa kwa corona Mungu umetuepusha na wingu hili tunabaki tunainung'unikia serikali kuwa inaficha utadhani wewe unaumwa na umefichwa! Hapana.

Mungu aliamua kutuachia UKIMWI na ametuepusha na Corona, shida nini? Watanzania tumerogwa na Nani? Inawezekana Tanzania corona ipo, lakini imedhibitiwa na aina ya vyakula tunavyo kula au aina ya maisha tunayoishi. Sasa kwa nini tulazishe tufe kama wanavyokufa wao? Nao Wazungu Mungu amewaepusha na UKIMWI na Malaria.
Ongeza sauti kidogo...mimi nakazia kwenye issue ya lishe hapo..serikali iwe makini pia kwenye mbegu zinazoletwa GMOs na hybrid wasije wakapenyeza watu tukakosa virutubisho stahiki...nina mpongeza sana kiongozi wa nchi anavyokuwa cautious na hii situation
 
Dah atutishe tuna nini kikubwa kwani? Wakati misaada yote inatoka kwakwe
 
Kundi kubwa la wapiga debe wa haya mambo ni walewale waliotoka na kulikimbia BUNGE wakati ule!

Adhabu yao waliyoipata toka kwa wananchi ilikuwa kupigwa chini katika majimbo yote ya uchaguzi nchini.
Sasa wanatumia mbinu hii mpya wakishirikiana na Mabeberu ili kumkwamisha #JPM.

Mabeneru wana hasira na #JPM sababu amewapa kisogo na kuwanyima miradi yote mikubwa kama walivyokuwa wamezowea hapo awali na huku akikataa kuruhusu uchotwaji wa rasilimali zetu.
 
Corona ni moja ya magonjwa Hatari Sana kwa wazungu. Na sisi huku tuna ugonjwa yetu hatari. Km Malaria, kipindupindu, Ukimwi na utapiamlo. TUSIPANGIANE MAISHA. KILA MTU APAMBANE NA HALI YAKE.
 
Kumezuka katabia ka watu kutishia wananchi Kuwa Corona ipo Tanzania utadhani wao wanaumwa Corona au ndugu zao wamekufa kwa CORONA. Watu wamebeba mabango Kuwa serikali inawaficha wagonjwa wa corona. Ukiwauliza wewe unaumwa? Ndugu yako anaumwa hiyo corona? Rafiki yako amekufa kwa corona? Wanabaki kusema watu wanakufa huko kwa Corona.

Niwaambie na kuwashauri Watanzania wenzagu Corona ipo Duniani kama ilivyo Malaria, UKIMWI n.k. Je Wazungu kule kwao Malaria ipo kama ili huku kwetu? Wazungu wanakufa UKIMWI kama tunavyofa Afrika? Kwani kipindi kile watu wanakufa Ebora huko Congo, Uganda n.k Tanzania au USA walikufa?

Hivi Kama Tanzania watu wanakufa kwa UKIMWI na Wazungu hawafi kwa UKIMWI ni dhambi kwa nchi nyingine watu kufa kwa Corona na Tanzania tukabaki salama? Huko kwenu kuna maiti zinaokotwa barabarani Kama walivyotutabilia? Tuache barbaric thinking. Badala ya kumshukuru Mungu Kuwa pamoja na watu huko Duniani kufa kwa corona Mungu umetuepusha na wingu hili tunabaki tunainung'unikia serikali kuwa inaficha utadhani wewe unaumwa na umefichwa! Hapana.

Mungu aliamua kutuachia UKIMWI na ametuepusha na Corona, shida nini? Watanzania tumerogwa na Nani? Inawezekana Tanzania corona ipo, lakini imedhibitiwa na aina ya vyakula tunavyo kula au aina ya maisha tunayoishi. Sasa kwa nini tulazishe tufe kama wanavyokufa wao? Nao Wazungu Mungu amewaepusha na UKIMWI na Malaria.

Mwambie Mkuchika aache dawa za corona kama haipo. Fala wa hedi
 
Tatizo letu ni kuwa na kelele nyingiiii,
lakini kuchukua hatua kwendana na kelele hizo zero!
Kuvaa barakoa tunaopanda basi tunaona noma!
Umefika ofisini mojakwamoja Jamiiforums, "Ooh! watu hawachukui hasta tahadhari kwenye vyombo vya usafiri"
Ni kama mtoto anaewashtaki wenzie wamelamba sukari jikoni kumbe tupunje twa sukari tumenasa juu ya pua yake! Mama anamwangaliaa inabidi aanze kucheka!
Mtoto anaona bonge la ujiko!
 
Back
Top Bottom