SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Na yeye pia alifokolewaHuyo jamaa mke, dada na mamaye walipitiwa na Mbowe.
Ana hasira sana na Mbowe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na yeye pia alifokolewaHuyo jamaa mke, dada na mamaye walipitiwa na Mbowe.
Ana hasira sana na Mbowe.
Dikteta kashapotea udongoniMama hawajui vizuri Watanzania, wale wale waliompa JK ushindi wa ya 80& ndo haohao walimkataa yeye na chama chake Magufuli akakiokoa mdomoni mwa Simba.
Kujitenga na msimamo wa JPM ni kujitenga na CCM mpya iliyozaliwa na Magufuli,na kurudisha CCM ya Kikwete.
2025 majibu yatatoka.
Corona imepataje uhai baada tu ya Magufuli kufariki? GwajimaICU Dar, za hospitali kubwa zote zimejaa wagonjwa wa Covid 19, kiasi kwamba sasa hivi wagonjwa waliostahili kuwa ICU wanawekwa wodi za kawaida. Hali ni hiyo hiyo kwenye hospitali za rufaa za Mbeya, KCMC na Bugando.
Idadi ya wanaofariki kwa Covid 19 inazidi kupaa, halafu wewe kwa ujinga tu unasema eti Covid 19 ni siasa. Tuna watu wanaojua tu kusoma, kuandika na kuhesabu, lakini obervation, analysis ni zero.
Kweli aiseeHuyo jamaa mke, dada na mamaye walipitiwa na Mbowe.
Ana hasira sana na Mbowe.
Swali la kihanithi kabisa hiliCorona imepataje uhai baada tu ya Magufuli kufariki? Gwajima
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na yeye pia alifokolewa
Kwa hiyo wewe unawakana viongozi wa Ccm !!Ila Tanzania bwana[emoji23], huenda hapo ulipo huna lolote la maana na pengine labda hata kwenye ukoo wako ni mtu unaetumwa kunawisha watu mikono wakati wa vikao, ila upo hapa kuandika ukichaa wa mtu ambae mpaka unakufa huwezi kuingilia legacy yake.
Kwa level kubwa aliyokuwa amefikia ndani ya hilo Taifa,kamakweli alikuwa na kichaa Basi wewe ni Tutusa,kiazi,tahira,mavi kabisa.
Hii hii ambayo ma daktari wake wameuliwa kwa Corona .Unaongelea Bugando ya wapi? Acheni kupotosha watu!
Muulize Maghufuli Corona ni nini kama atakujibu unitag .Corona imepataje uhai baada tu ya Magufuli kufariki? Gwajima
Nani kakwambia kura ndo huwa zinaamua mshindi hapa tanzania. Hata jpm alijialia ashinde kwa asilimia 83 na ikawa hivyo. Kura siyo mwamzi bari tume ndo inaamua impe mgombea wa ccm asilimia ngapi.Mama hawajui vizuri Watanzania, wale wale waliompa JK ushindi wa ya 80& ndo haohao walimkataa yeye na chama chake Magufuli akakiokoa mdomoni mwa Simba.
Kujitenga na msimamo wa JPM ni kujitenga na CCM mpya iliyozaliwa na Magufuli,na kurudisha CCM ya Kikwete.
2025 majibu yatatoka.
Tena lenye mantiki.Swali la kihanithi kabisa hili
Corona ni aina gani ya siasa?Mwaka jana 2020 tuliona Corona ilivyowasumbua marais wengi duniani kisiasa. Championi wa Corona alikuwa Donald Trump's na Dr Magufuli.
Trump alipoteza Urais baada ya wapinzani kumzidi nguvu kuhusu Corona. Dr Magufuli aliwashinda wapinzani katika mapambano ya siasa ya Corona leo Mbowe hata barakoa havai na mikusanyiko kwake ni kawaida tu.
Sasa naona siasa kati ya Askofu Gwajima na sisi wafuasi wake KIMTAZAMO kuhusu Corona dhidi ya Mama na wafuasi wake.
Tuone tutaendaje mbele.
Je Corona ipo Tanzania au haipo?Tena lenye mantiki.
Mmeikaribisha kwa mikono yote miwili ije Tanzania, mmeipet pet we corona, mara oh mbona hatuvai mask kama wakenya, mbona hatuendi lockdown, mbona hatuleti chanjo, mbona mbona kibao, na yenyewe haina shida, ukiikaribisha imekaribia.
Namshangaa mama kwanini hatangazi lockdown waliyokuwa wanaitaka.
Afunge na makanisa na misikiti.
"Mtanikumbuka" - JPM.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Ila Tanzania bwana[emoji23], huenda hapo ulipo huna lolote la maana na pengine labda hata kwenye ukoo wako ni mtu unaetumwa kunawisha watu mikono wakati wa vikao, ila upo hapa kuandika ukichaa wa mtu ambae mpaka unakufa huwezi kuingilia legacy yake.
Kwa level kubwa aliyokuwa amefikia ndani ya hilo Taifa,kamakweli alikuwa na kichaa Basi wewe ni Tutusa,kiazi,tahira,mavi kabisa.
Si ndio maana namshauri mama atangaze lockdown.Je Corona ipo Tanzania au haipo?
Haipo.Je Corona ipo Tanzania au haipo?
Hili wimbi la corona mama kaliingia vibaya, kumzoazoa ni lazima! Kosa lake ni kung'oa nanga ya bingwa shujaa Mh. Dr. JPM (may his precious soul rest in eternal peace and power, 🙏)Mwaka jana 2020 tuliona Corona ilivyowasumbua marais wengi duniani kisiasa. Championi wa Corona alikuwa Donald Trump's na Dr Magufuli.
Trump alipoteza Urais baada ya wapinzani kumzidi nguvu kuhusu Corona. Dr Magufuli aliwashinda wapinzani katika mapambano ya siasa ya Corona leo Mbowe hata barakoa havai na mikusanyiko kwake ni kawaida tu.
Sasa naona siasa kati ya Askofu Gwajima na sisi wafuasi wake KIMTAZAMO kuhusu Corona dhidi ya Mama na wafuasi wake.
Tuone tutaendaje mbele.
Nyie wake za mwendazake mmezidisha sifa juu yake Sasa[emoji34][emoji34]Hili wimbi la corona mama kaliingia vibaya, kumzoazoa ni lazima! Kosa lake ni kung'oa nanga ya mbingu shujaa Mh. Dr. JPM (may his precious soul rest in eternal peace and power, [emoji120])