Corona: Rais Kenyatta katika ubora wake na funzo jingine kwetu

Corona: Rais Kenyatta katika ubora wake na funzo jingine kwetu

Kwani mimi nafanyanya kazi ya kuthibitisha accounts za watu, Mkuu vipi?

Ni kweri huthibitishi accounts za watu ila wewe unaokota okota utopolo wowote na kuusambaza bila ya kuwa na uhakika wowote?

Huoni hiyo ni hatari sana mkuu? Vipi siku utakapokuta account fake yenye taarifa za uongo kukuhusisha wewe mwenyewe mkuu?

😂😂😂😂😂😂😂

Hiiiiii kweli kazi yako si kuthibitisha account za watu bila shaka utatuambia wamesema ati kumbe wewe ni mtoto wa punda.
 
Ni kweri huthibitishi accounts za watu ila wewe unaokota okota utopolo wowote na kuusambaza bila ya kuwa na uhakika wowote?

Huoni hiyo ni hatari sana mkuu? Vipi siku utakapokuta account fake yenye taarifa za uongo kukuhusisha wewe mwenyewe mkuu?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hiiiiii kweli kazi yako si kuthibitisha account za watu bila shaka utatuambia wamesema ati kumbe wewe ni mtoto wa punda.
Kashtaki sasa..
 
Kashtaki sasa..

Kuna hata haja kushitaki basi?

Habari za kuokoteza kuhalalisha ushamba ushamba mbona hata mwenyekiti mpya wa chama mboga mboga hazitaki tena.

Haya:

IMG_20210218_174254_207.jpg


yalikuwa zama zile.
 
Kuna hata haja kushitaki basi?

Habari za kuokoteza kuhalalisha ushamba ushamba mbona hata mwenyekiti mpya wa chama mboga mboga hazitaki tena.

Haya:

View attachment 1745608

yalikuwa zama zile.
Unajifanya mjuaji huna lolote.. Endelea na mambo yako bana, tusisumbuane mimi huwa sibishani hovyo, kingine mimi sio mfuasi mwenzio wa Lumumba FC...
 
Unajifanya mjuaji huna lolote.. Endelea na mambo yako bana, tusisumbuane mimi huwa sibishani hovyo, kingine mimi sio mfuasi mwenzio wa Lumumba FC...

Wewe mwenye lolote ndiye mjuaji?

Kweli nyani kuona kundule ni hadi anunue kioo! Kweri kabisa wewe huwa hubishani hovyo.

Inafahamika zama mpya hizi. Wengi kabisa wameikana timu yetu.

Hiiiiii bagosha!
 
Wewe mwenye lolote ndiye mjuaji?

Kweli nyani kuona kundule ni hadi anunue kioo! Kweri kabisa wewe huwa hubishani hovyo.

Inafahamika zama mpya hizi. Wengi kabisa wameikana timu yetu.

Hiiiiii bagosha!
Mkuu mbona una kiherehere sana cha kuni quote kunijibu kwa mihemko yako tu? Em fuatilia hata replies zangu uone kama mimi nlkua kikundi chenu cha mtukufu wenu huko Lumumba, wakuu huyu msela niaje [emoji23]...

Saa zingine piga hata nyeto kuondoka mihemko yako...
 
Mkuu mbona una kiherehere sana cha kuni quote kunijibu kwa mihemko yako tu? Em fuatilia hata replies zangu uone kama mimi nlkua kikundi chenu cha mtukufu wenu huko Lumumba, wakuu huyu msela niaje [emoji23]...

Saa zingine piga hata nyeto kuondoka mihemko yako...

Nifuatilie replies zako za nini mburula wewe?

Si uanzishe hata uzi kama una la maana?

Unashadadia nyuzi za watu kwani nani kakuita huku wakulungwa wewe?
 
Back
Top Bottom