Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nafikiri umeshindwa kutofautisha maana hizo ni picha mbili zilizopigwa na simu moja kwa kamera tofauti, ya kwanza kapigwa kwa kamera ya nyuma ya simu na ya pili kachukua selfii kwa kamera ya mbele so lazima udhani unachokifikiriDada wa taifa nae sindano ya chanjo kachoma mkono wa kushoto ila plasta kawekwa mkono wa kulia.View attachment 1736558View attachment 1736559
Hiyo hoja hata yeye kajitetea hivyo hivyo kama ulivyosema ila watu tumejaribu hiyo selfii hatujakutana na hicho unachokisema.Mkuu nafikiri umeshindwa kutofautisha maana hizo ni picha mbili zilizopigwa na simu moja kwa kamera tofauti, ya kwanza kapigwa kwa kamera ya nyuma ya simu na ya pili kachukua selfii kwa kamera ya mbele so lazima udhani unachokifikiri
Sasa hii dawa itakuwa inawekwa kwa kupitia kwenye pua kama bupijiHabari mbaya sana hii kwa mijamaa fulani ambayo kwa kujikatia tamaa kwayo au umbumbu wayo iko radhi tufe wote.
Haina tofauti na mi suicide bomber au ile mijamaa ya ISIS au ile ya kujitoa muhanga mi suicide bombers.
Kwamba haina cha kupoteza Shwain kabisa!

Nitrile Gloves Overstock!www.medical-and-lab-supplies.com
sasa anaingiliaje faragha za watu, kwa hiyo huo sio udikteta, chadema ni wagonjwa kweli mnahitaji tiba mbadalaMabibi na mabwana huyu ndiye aliye tutoa ushamba pale Dodoma majuzi:
View attachment 1735617
Nafasi hizi za kujifunza huwa haziko siku zote.
Janga hili linahitaji jitihada za makusudi sana na hasa kutokea juu.
Eeh mola wetu umjalie mama Samia hekima ya kutambua kwanini umempa wadhifa huu sasa.
Bila shaka huyu ndiye Joshua atakaye tufikisha Canaan hatimaye.
Eeh mola wetu ukazisikie Dua zetu.
Mabibi na mabwana huyu ndiye aliye tutoa ushamba pale Dodoma majuzi:
View attachment 1735617
Nafasi hizi za kujifunza huwa haziko siku zote.
Janga hili linahitaji jitihada za makusudi sana na hasa kutokea juu.
Eeh mola wetu umjalie mama Samia hekima ya kutambua kwanini umempa wadhifa huu sasa.
Bila shaka huyu ndiye Joshua atakaye tufikisha Canaan hatimaye.
Eeh mola wetu ukazisikie Dua zetu.
Mabibi na mabwana huyu ndiye aliye tutoa ushamba pale Dodoma majuzi:
View attachment 1735617
Nafasi hizi za kujifunza huwa haziko siku zote.
Janga hili linahitaji jitihada za makusudi sana na hasa kutokea juu.
Eeh mola wetu umjalie mama Samia hekima ya kutambua kwanini umempa wadhifa huu sasa.
Bila shaka huyu ndiye Joshua atakaye tufikisha Canaan hatimaye.
Eeh mola wetu ukazisikie Dua zetu.
Kuwa na mizigo minne, sio suala la mchezo mchezo hata kama hunywi maji ya ilala au machinjioni .Kwamba ni wapuuzi hawa:
View attachment 1735663
Alikuwapo mpiga tantalila kuliko huyu?
View attachment 1735661
Uko vizuri komaa hapo hapo.
Hatutakaa tupokee chanjo za Corona kama unataka nenda Kenya ukachanjwe, usifikiri watanzania wote ni WAPUMBAVU kama wewe.
Kuwa na mizigo minne, sio suala la mchezo mchezo hata kama hunywi maji ya ilala au machinjioni .
Hivyo juhudi lazima zichukuliwe kujihami wewe mwenyewe na jamii inayokuhusu
Nenda kachanjwe hapo Kenya Basi. K wewe....Nitajitolea kuchanjwa ili wajing a kama wewe mpate kuishi maisha marefu. Uliaminishwa corona ilikuja na kuua na kuuguza watu. Ukaaminishwa corona iliombewa na kuondoka zake. Bado hujaaminishwa ipo tena lakini unaambiwa nawa maji tiririka, vaa barakoa ya hapa nyumbani, na epuka mikusanyiko. Na unaamini unaambiwa hayo kwa sababu kuna kipindupindu.
Adui ujing a amekukamata kisawasawa. Nitachanjwa ili nitumike katika tafiti zitakazokusaidia.
Na CHARLES WASONGANitajitolea kuchanjwa ili wajing a kama wewe mpate kuishi maisha marefu. Uliaminishwa corona ilikuja na kuua na kuuguza watu. Ukaaminishwa corona iliombewa na kuondoka zake. Bado hujaaminishwa ipo tena lakini unaambiwa nawa maji tiririka, vaa barakoa ya hapa nyumbani, na epuka mikusanyiko. Na unaamini unaambiwa hayo kwa sababu kuna kipindupindu.
Adui ujing a amekukamata kisawasawa. Nitachanjwa ili nitumike katika tafiti zitakazokusaidia.
Watu saba wamefariki nchini Uingereza kutokana na damu kuganda mwilini baada ya kupewa chanjo ya Oxford-AstraZeneca, mamlaka ya kudhibiti dawa imethibitishia BBC.Hakuna asiyejihami yeye na wanaomhusu katika hali ya kawaida ila:
View attachment 1741234
Hiiiiii bagosha!
Watu saba wamefariki nchini Uingereza kutokana na damu kuganda mwilini baada ya kupewa chanjo ya Oxford-AstraZeneca, mamlaka ya kudhibiti dawa imethibitishia BBC.
Any data to confirm kwamba watu 32m wamechanjwa na disaster in only 7 kwa UK.Hadi sasa zaidi ya watu 32m wamechanjwa kwa kutumia AstraZeneca UK peke yake.
Watu 7 katika 32m ni 0.000022%. Hata kama ni failure basi failure rate hii ni more than justifiable.
Ikumbukwe pia kuwa, bado haupo ushahidi kuwa failure rate hii inasababishwa na chanjo hii.
Hivi by the way: nyungu, maombi, bupeji, covidol, nimricaf au yale mambo yetu na Prof kabudi ya kule Madagascar yako na data zipi hata za kutupia macho tu?
Ukweli mchungu hatunao ubavu wa ku discredit chanjo hizi za beberu achilia mbali kujaribu kuzibeza.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Any data to confirm kwamba watu 32m wamechanjwa na disaster in only 7
www.google.com
Kwani mimi nafanyanya kazi ya kuthibitisha accounts za watu, Mkuu vipi?Una uthibitisho upu kuwa uliyoattach inatoka kwenye account sahihi ya Uhuru Kenyatta rais wa jamhuri ya Kenya?