Corona: Rais Kenyatta katika ubora wake na funzo jingine kwetu

Corona: Rais Kenyatta katika ubora wake na funzo jingine kwetu

I wish hiyo chanjo ifike bongo as soon as possible mi nipigwe fasta nikae kwa Aman........ambao hamuitaki ruksa kubaki nyumbani
 
Kuna watu wasipotamka corona hawapati usingizi.

Labda ni katika jitihada zao za kupigania uhai wao na wa wengine ukiwamo wewe. Laiti kama jiwe angewasikia huenda angekuwa hai leo.

Si unawaona vyanda wake na pete?

2721819_Jafo.png


Kama vyenge vile baada ya damu kuwatoka masikioni, nyungu sasa imekuwa zilipendwa.
 
I wish hiyo chanjo ifike bongo as soon as possible mi nipigwe fasta nikae kwa Aman........ambao hamuitaki ruksa kubaki nyumbani

Kuna mijamaa imeshupaa eti na wengine tusichanjwe kwa vile tu yenyewe imejikatia tamaa na maisha au tu kwa umbumbu wao.

Iko kama ile miuwaji ya kujitoa muhanga.

Si hata ikajinyonge tu kama imechoka kuishi?
 
picha sioni
mi nataka majibu kutoka kwako mkuu
unaonekana una uelewa huo

Miye siyo Yesu Kristo wa kukutafutia wewe taarifa zote sahihi kwa ajili ya maisha yako.

Kama muda huna wasikilize wapiga nyungu. Ila Manju wao ndiyo huyu hapa:

2721819_Jafo.png


Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Mkuu huyu chizi ni wa kumhurumia tu. Huwa hana fikra nyingine kichwani mwake zaidi ya Corona. Anatamani watu wakae wanaimba Corona tu. Uzuri watu wameshamuona kama chizi na Corona zake.
Mi nilipokuja kugundua kuwa huyu jamaa sio mzima ni mwaka jana wakati wa kampeni hadi uchaguzi aliacha kuzungumzia corona kabisa n kuanza na kusifia nyomi za watu kwenye kampeni hakuongelea hata mara moja corona hadi uchaguzi ulipoisha ndio akarudia kuzungumzia corona.
 
Safi Sana! Tutaangalia madhara ya chanjo kwa majirani zetu hawa!! Baada ya miaka miwili kama hawajapata dhara lolote na sisi ndipo tutakapofikiria kuagiza chanjo!!
Hivi ni wewe yule uliyejinasibu kama mwanasayansi? Tz kweli kuna watu na viatu!
 
Safi Kenya,gongweni chanjo,gongweni mwanzo mwisho.
Kama zipo za kutosha alikeni pia na wabongo wanaotaka kugongwa chanjo waje uko muwagonge.
 
Kuna mijamaa imeshupaa eti na wengine tusichanjwe kwa vile tu yenyewe imejikatia tamaa na maisha au tu kwa umbumbu wao.

Iko kama ile miuwaji ya kujitoa muhanga.

Si hata ikajinyonge tu kama imechoka kuishi?
Binafsi ningekua na mpunga wa kutosha ningeifata hii chanjo popote ilipo nichome niishi kwa Aman na furaha
 
Death is inevitable, kifo hakiepukiki, uwe na chanjo, usiwe na chanjo, siku zako za kuishi zikiisha utakufa tu mjomba.

Covid-19 isn't the only disease that kills, due statistics from Johns Hopkins University, only 3% of patients contacted the CoronaVirus dies.

Mjomba, hiyo namba ni ndogo sana ukilinganisha na idadi ya watu wanaokufa kwa "Malaria" duniani.

"Death is inevitable, kifo hakiepukiki, uwe na chanjo usiwe na chanjo ..... Siku zikiisha utakufa tu mjomba."

Wewe ndiye uliye kuwa wapiga azana Dodoma siku ile? Imani yako si haba.

Unaona je kama ungeenda kununua kamba ya mbuzi ya jero au buku ukajinyonga labda siku yako ya kufa ni leo mkuu?

Fungua macho kutambua 3% ya namba kubwa sana ni namba kubwa vile vile.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Safi Kenya,gongweni chanjo,gongweni mwanzo mwisho.
Kama zipo za kutosha alikeni pia na wabongo wanaotaka kugongwa chanjo waje uko muwagonge.

Wameshasema hawana za kuwatosha wao wenyewe hivyo ulichoandika ni bora ungeacha tu. Hakuna jipya humo.
 
Binafsi ningekua na mpunga wa kutosha ningeifata hii chanjo popote ilipo nichome niishi kwa Aman na furaha

Tatizo ni kuwa haipo kokote inakowatosha wenyewe. Ndiyo maana kipaumbele ni walio hatarini. Hiyo ni world wide.
 
Wameshasema hawana za kuwatosha wao wenyewe hivyo ulichoandika ni bora ungeacha tu. Hakuna jipya humo.
Kwaiyo wabongo viherehere wa kugongwa chanjo watakosa,hata kidogo tu wongwe na wao wapate raha?
 
Hata watu wote wakifa iliwahi mfikirisha suicide bomber?
Swali lako la mfano aliendani!
Kenya wakiona mtz anafata chanjo uko,fukuza kabisa kama mbwa koko.
Wenyewe azijawatosha alafu wanaleta jamu uko.
 
Swali lako la mfano aliendani!
Kenya wakiona mtz anafata chanjo uko,fukuza kabisa kama mbwa koko.
Wenyewe azijawatosha alafu wanaleta jamu uko.

Aliendani = haliendani?
Uko = huko?
Aziwatoshi = haziwatoshi?

Mhitimu toka shule ya kata katika ubora wako.

Pande za huko Chatto hadi mpate mkoa safari bado sana.

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom