Kenyatta ni mlevi flani tu. Tena Kironiki alcoholic. Unao uhakika hiyo ni chanjo ya corona? Kama kadungwa water for injection kugeresha wananchi wake na wajinga wengine wa EA na Afrika.kwa ujumla?
Huyu hakuwa na mpango wa kuja Tanzania kuhani. Alishazunguka Nairobi na msafara wake akaenda ubalozini kutia sahihi kitabu cha kumuomboleza JPM akiwa na baadhi ya wapambe.
Alipona nyomi ya waombolezaji hapa Tanzania akaiona ile ni fursa, ghafla akaja Dodoma. Dodoma akasikia azana akaiheshimu kwa kumuiga mtu anatwa Najibu Balala ambaye alishafanya hivyo huko kipindi cha nyuma Kenya na hii ikawa moja ya tabia za kuigwa Kenya.
Kachanjwa chanjo ambayo na amini ni chanjo geresha/placebo tena kasubiria siku JPM anazikwa Chato. Wakijua watawapata wengi siku hiyo wakiwemo waliovutiwa na kitendo chake cha kupisha adhana, ili kutangaza huu upuuzi wao na wapiga deal wenzake wakina Bill Gates katika kukuza soko lao la kuuza chanjo za kumaliza kizazi cha Waafrika, barakoa, vipima joto na vifaa tiba vingine.