Corona: Rais Kenyatta katika ubora wake na funzo jingine kwetu

Corona: Rais Kenyatta katika ubora wake na funzo jingine kwetu

Aiseee nilifikiri uko serious na hii issue ya chanjo, kumbe umeanzisha thread ili ufanye utani, basi endelea na jokes za hii thread yako ya kimagumashi!

Thread imesimama ila magumashi yako ya kwenda kuchanjwa kenya baki nayo kwenu nanyamba!
 
Vipi biashara ya nyungu @ 5,000/person bado inalipa?

View attachment 1735937

Kama Manju mwenyewe ndiyo huyo kungali na usalama kweri?
Sisi hatuna mpango na corona yenu kwani hujatuona barabarani wakati wa kumuaga Jemedari wetu? Angali video clip hii hapa chini.

 
Nielewesheni.
Mbona sasa wanaomchanja wamevaa barakoa? maana hao pia walishachanja chanjo inakuaje qavae barakoa

Wanaochanja wapo kwenye group linalokutana na possible cases nyingi.

Kumbuka pia chanjo inakamilika baada ya kupata jab ya pili ambayo inatolewa angalau wiki 4 baada ya jab ya mwanzo.

Kwani pia umesahau kuwa tangu kenya waanze kuchanja wiki 4 bado hazijatimia?
 
Sisi hatuna mpango na corona yenu kwani hujatuona barabarani wakati wa kumuaga Jemedari wetu? Angali video clip hii hapa chini.

View attachment 1735944

Ninapata taabu na neno sisi yaani ninyi. Una maana ni hawa hapa?

IMG_20210218_174254_207.jpg


Kama ni hao nani asiyejua mko vizuri?

Wengine sisi humo hatumo jombi!
 
Haka kajamaa kaleta mada kaiogopa corona vibaya mno!
 
Kenyatta ni mlevi flani tu. Tena Kironiki alcoholic. Unao uhakika hiyo ni chanjo ya corona? Kama kadungwa water for injection kugeresha wananchi wake na wajinga wengine wa EA na Afrika.kwa ujumla?

Huyu hakuwa na mpango wa kuja Tanzania kuhani. Alishazunguka Nairobi na msafara wake akaenda ubalozini kutia sahihi kitabu cha kumuomboleza JPM akiwa na baadhi ya wapambe.

Alipona nyomi ya waombolezaji hapa Tanzania akaiona ile ni fursa, ghafla akaja Dodoma. Dodoma akasikia azana akaiheshimu kwa kumuiga mtu anatwa Najibu Balala ambaye alishafanya hivyo huko kipindi cha nyuma Kenya na hii ikawa moja ya tabia za kuigwa Kenya.

Kachanjwa chanjo ambayo na amini ni chanjo geresha/placebo tena kasubiria siku JPM anazikwa Chato. Wakijua watawapata wengi siku hiyo wakiwemo waliovutiwa na kitendo chake cha kupisha adhana, ili kutangaza huu upuuzi wao na wapiga deal wenzake wakina Bill Gates katika kukuza soko lao la kuuza chanjo za kumaliza kizazi cha Waafrika, barakoa, vipima joto na vifaa tiba vingine.

Kwamba?

Haya hapa chini yanakuhusu:

IMG_20210327_191711_303.jpg


Kwa hizi porojo zenu hata Chatto vijijini mtawapata wachache mno!
 
Wanaochanja wapo kwenye group linalokutana na possible cases nyingi.

Kumbuka pia chanjo inakamilika baada ya kupata jab ya pili ambayo inatolewa angalau wiki 4 baada ya jab ya mwanzo.

Kwani pia umesahau kuwa tangu kenya waanze kuchanja wiki 4 bado hazijatimia?
oh kwahiyo kwa kitambo hicho cha wiki 4
baada ya hapo watachoma ingine ndio kinga iwe kamili sasa?
 
oh kwahiyo kwa kitambo hicho cha wiki 4
baada ya hapo watachoma ingine ndio kinga iwe kamili sasa?

Jipatie muda wa kufuatilia mambo mkuu.

Vinginevyo utaingizwa sana mjini kama ilivyo kuwa na wapiga nyungu uchwara hawa:

2721819_Jafo.png
 
Mkuu usijibizane na hili zwazwa lina ugonjwa wa kuiwaza Corona masaa 24. Alisikitika wiki nzima story zilipokuwa ni msiba wa JPM tu. Sasa hivi karudi tena na Corona yake.
Kuna watu wasipotamka corona hawapati usingizi.
 
Kenyata anautumikia uraisi kwa umakini huku akiwa hacomplicate mambo
 
Back
Top Bottom